Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,430
- 108,589
Sasa kama kwao ndoa ni issue mbana wanazinguwa sana mpaka watu hawana mpango tena na ndoa?Sio kwa wanawake mkuu
Sasa kama kwao ndoa ni issue mbana wanazinguwa sana mpaka watu hawana mpango tena na ndoa?Sio kwa wanawake mkuu
😂😂😂😂😂😂😂Sisteri anamnyoosha mwalimu wetu hadi basi.Muache kidogo dada yetu kaumia 🤣🤣🤣🤣sasa ww ndo unaongeza maumivu tuwaonee huruma walim wetu.
Walimu wasioweza kujifundisha, kweli mganga hajigangi, tatizo lilianziaga walimu wa shule za msingi miaka hii hadi walimu wa sekondari ni walewaleWalimu wa Tanzania hususan wa shule za serikali mna kalba zifuatazo;
1)Mna inferiority complex kubwa sana hiyo ndio imezalisha nidhamu ya uoga kiasi cha kunyenyekea hadi wasiopaswa kunyenyekewa,japo haistahili mtu kunyenyekewa.
2)Mna play victim too much,kiasi mnajidogosha kuonekana wenye shida ni ninyi na mnaoonewa sana kuliko wote ni ninyi.
3)Mambo mengi yanapozungumzwa kuhusu ninyi mnayachukulia kwa mawazo Hasi/negativity,mfano mkubwa ni wewe hapo madam.
Hizi kalba tatu zimewaletea tabu kiasi mmekua watu wa kuburuzwa sana aisee katika maisha in all aspects.
Angalau wenzenu wa English medium wamejitutumua kiasi chake.
Sasa hizo kalba za hapo juu ndizo zikazalisha mambo ambayo madam Kapeace ameyaelezea.
Pia ninyi ndio mfano kwa jamii nzima,ila imekua tofauti ninyi mkajisahau badala ya kuwa viongozi wa mfano mkawa nyumbu fuata mkumbo.
Ninyi ni sawa na viongozi wasioweza kujiongoza.
Hapo kwenye bla bla blaa umenikumbusha katuni ya Hotel transylvania blee blee blee😂😂😂😂😂.Unalalama mnadharaulika ndo tunakupa sababu inayopelekea kudharaulika kwwnye jamii, usitafute chaka la kuzidiwa mara mmetufundisha inakuwa kama mama anaedaiwa na mwanae akianza kuleta visababu vya unajua nimekuzaa niliteseka sana, hizo ni bla bla blaaa blaaa
Sasa kama kwao ndoa ni issue mbana wanazinguwa sana mpaka watu hawana mpango tena na ndoa?
Kwahiyo unalazimisha nielewe kitu ambacho sikielewi?Una kichwa kigumu kuelewa
Kwahiyo unalazimisha nielewe kitu ambacho sikielewi?
😂😂😂😂😂Unajua madam ungekua karibu ningekupiga konzi la komwe aiseee!!??Yote nimekuelewa mkuu,lakini bado mwapeleka watoto kwa hao wasioweza jiongoza,je hamuoni kwamba nyie ndo wapumbavu?
Halafu kwa ku play victim sasa kama mama anayedaiwa na mwanaye.Walimu wasioweza kujifundisha, kweli mganga hajigangi, tatizo lilianziaga walimu wa shule za msingi miaka hii hadi walimu wa sekondari ni walewale
Madam umemsikia Xi Jinping !???Yote nimekuelewa mkuu,lakini bado mwapeleka watoto kwa hao wasioweza jiongoza,je hamuoni kwamba nyie ndo wapumbavu?
Ndo akili zenyewe za kiuanafunzi nilizosema mwanzoni kule, ooh nimekufundisha ulikuwa unatokwa kamasi bla bla za kuficha madhaifu yaoHalafu kwa ku play victim sasa kama mama anayedaiwa na mwanaye.
Ndo nilishaambiwa najiinua! Kama nimekuwa pepo vile, 😂😂😂We mdada una kauli nyoofu duh!!
Aagh😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Amejileta mwenyewe kwenye mfumo, hapo Mpwayungu Village bado hajatia timu.Embu muacheni le Madame To yeye😁
Wanapewa malipo ya kazi yao, kubutuliwa huko ni kawaida yao kutafuta pa kushushia hasira zao nashukuru saiv wanabanwa na serikali katika jambo zima la adhabu, sasa machungu aliyonayo mtoa mada unadhani mtoto asipoelewa aeiou nini kitamkuta!Oooh jaman mbona una hasira na mwalimu wetu humu jf leo🤣au kuna ticha keshawahi kubutua bila kosa enzi zako
sio kushukuriwa,,ni kama tunawadharau , kwaio anataka tuache eti
Niache kwanza bro nipo nalilia chooni....😹
Mwiteni mie nasubiriAmejileta mwenyewe kwenye mfumo, hapo Mpwayungu Village bado hajatia timu.