Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,205
- 18,929
Walimu nyama wakivaa zile T-shirt za CWT huwa wanavimba wanaona wamewin, ni walimu hao mwenye ukipita kwao lazima wakatwe kuchangia mbona hatusikii kwa wengine??, mna chama cha kuwatetea lakini mbona hakiwatetei, mainjia hivi wana chama?Wao wenyewe ndo wa kwanza pia kuvaa kofia na vitenge vya ccm toleo la kwanza🤣
walimu wanamuogopa mpaka mwalimu mwenzao, kikumbwa tu akiitwa mkuu wa shule kah! wanaogopa sana maisha, wanaogopa sana kufukuzwaShida yenu uoga na uchawa.