Ukipenda,fungua usome!

Jaguar

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,438
1,026
Watu wengi wanakumbuka walizaliwa lini,lakini ni siku ipi ya wiki?jumatatu,jumanne,jumatano?hapo sio wote wanaokumbuka!ukipenda nifuate.zingatia table hii:january=0,feb=3,mar=3,apr=6,may=1,june=4,july=6,august=2,sept=5,oct=0,nov=3,dec=5. (STEP1);e.g ulizaliwa 23/june/1986. (STEP 2);Namba ya mwezi june ni 4. (STEP3);Tarehe uliyozaliwa ni 23. (STEP4);Chukua namba mbili za mwisho za mwaka uliozaliwa i.e 86,kisha gawanya kwa 4,chukua jibu kamili ambalo ni 21,achana na desimali au sehemu. (STEP5)Sasa jumlisha hizo namba nne;4 23 86 21=134.
(STEP 6)Gawanya 134 kwa 7=19 baki 1.Hii baki i.e 1 ndiyo inayokutajia siku ya wiki uliyozaliwa!.sunday=0,monday=1,Tuesday=2,wed=3,thurs=4,frid=5,sat=6.Kwa hiyo kama baki ni 1 ulizaliwa JUMATATU.Ooops!kwa wale waliozaliwa mwaka 2000>>,mkifika STEP 5,jibu mtakalopata mtatoa 1 kabla ya kwenda STEP 6.
 
Duh, ama unaeza kwenda kwenye computer yako uka-backdate tarehe mpaka upate siku uliyozaliwa!???lol
 
Duh, ama unaeza kwenda kwenye computer yako uka-backdate tarehe mpaka upate siku uliyozaliwa!???lol
Kweli kabisa mr.mentor,waweza pia ku-backdate hata kwa mobile phone yako.Hii technic ni pale umekosa vifaa kama kalenda ya zamani,simu au kompyuta.
 
Japokuwa kuna softcated ways za kujua hiyo siku kwa urahisi sana kama baadhi ya wadau walivyochangia ila hii ni moja ya changamoto za kubrain storm.

Inawezekana formula yako inafanya kazi kwa tarehe nyingi ila si ZOTE.

Kwa mfano mtu aliyezaliwa tarehe 25 February 2000

Step 1 25/Feb/2000
Step 2 Namba ya mwezi ni Feb = 3
Step 3 Tarehe ya kzaliwa = 25
Step 4 Namba mbili za mwisho = 00 gawa kwa 4 = 0
Step 5 Jumlisha namba hizo nne = 3+25+0+0= 28
Toa jibu kwa 1 = 28-1= 27
Step 6 Gawa jibu kwa 7 = 27/7= 3 baki 6

Haya jibu lililobaki ni 6 means 25/February 2000 ilikuwa Saturday. Na hata usipotoa jibu la step 5 kwa 1 itakuwa 28/7= 4 baki 0 ambayo kwa formula yako ni Sunday Ambayo si kweli, hii siku ilikuwa ni FRIDAY !!!!!!!

Cheerz

 
Japokuwa kuna softcated ways za kujua hiyo siku kwa urahisi sana kama baadhi ya wadau walivyochangia ila hii ni moja ya changamoto za kubrain storm.Inawezekana formula yako inafanya kazi kwa tarehe nyingi ila si ZOTE.Kwa mfano mtu aliyezaliwa tarehe 25 February 2000Step 1 25/Feb/2000Step 2 Namba ya mwezi ni Feb = 3Step 3 Tarehe ya kzaliwa = 25Step 4 Namba mbili za mwisho = 00 gawa kwa 4 = 0Step 5 Jumlisha namba hizo nne = 3+25+0+0= 28Toa jibu kwa 1 = 28-1= 27Step 6 Gawa jibu kwa 7 = 27/7= 3 baki 6Haya jibu lililobaki ni 6 means 25/February 2000 ilikuwa Saturday. Na hata usipotoa jibu la step 5 kwa 1 itakuwa 28/7= 4 baki 0 ambayo kwa formula yako ni Sunday Ambayo si kweli, hii siku ilikuwa ni FRIDAY !!!!!!!Cheerz
Duh!ni kweli mkuu,thanks kwa kuni-alert!
 
Au kama una computer yenye Microsoft Excel fanya hivi:
Chagua cell, kwa mfano cell B1. Kwenye hiyo cell (b1) andika tarehe unayotaka ukianza na mwezi/tarehe/mwaka eg.tarehe ya leo 7/12/2011.
Then nenda kwenye cell nyingine yeyote kwa mfano cell b5 halafu andika hii formula: =TEXT(b1,"dddd"), hii formula itarudisha jina la siku kwenye formula b5. Unaweza sasa ukaingiza tarehe yeyote kwenye b1.
Thanks,
 
watu wengi wanakumbuka walizaliwa lini,lakini ni siku ipi ya wiki?jumatatu,jumanne,jumatano?hapo sio wote wanaokumbuka!ukipenda nifuate.zingatia table hii:january=0,feb=3,mar=3,apr=6,may=1,june=4,july=6,august=2,sept=5,oct=0,nov=3,dec=5. (step1);e.g ulizaliwa 23/june/1986. (step 2);namba ya mwezi june ni 4. (step3);tarehe uliyozaliwa ni 23. (step4);chukua namba mbili za mwisho za mwaka uliozaliwa i.e 86,kisha gawanya kwa 4,chukua jibu kamili ambalo ni 21,achana na desimali au sehemu. (step5)sasa jumlisha hizo namba nne;4 23 86 21=134. (step 6)gawanya 134 kwa 7=19 baki 1.hii baki i.e 1 ndiyo inayokutajia siku ya wiki uliyozaliwa!.sunday=0,monday=1,tuesday=2,wed=3,thurs=4,frid=5,sat=6.kwa hiyo kama baki ni 1 ulizaliwa jumatatu.ooops!kwa wale waliozaliwa mwaka 2000>>,mkifika step 5,jibu mtakalopata mtatoa 1 kabla ya kwenda step 6.
si kweli, haikubali kwa tarehe zote labda baadhi
 
Watu wengi wanakumbuka walizaliwa lini,lakini ni siku ipi ya wiki?jumatatu,jumanne,jumatano?hapo sio wote wanaokumbuka!ukipenda nifuate.zingatia table hii:january=0,feb=3,mar=3,apr=6,may=1,june=4,july=6,august=2,sept=5,oct=0,nov=3,dec=5. (STEP1);e.g ulizaliwa 23/june/1986. (STEP 2);Namba ya mwezi june ni 4. (STEP3);Tarehe uliyozaliwa ni 23. (STEP4);Chukua namba mbili za mwisho za mwaka uliozaliwa i.e 86,kisha gawanya kwa 4,chukua jibu kamili ambalo ni 21,achana na desimali au sehemu. (STEP5)Sasa jumlisha hizo namba nne;4 23 86 21=134. (STEP 6)Gawanya 134 kwa 7=19 baki 1.Hii baki i.e 1 ndiyo inayokutajia siku ya wiki uliyozaliwa!.sunday=0,monday=1,Tuesday=2,wed=3,thurs=4,frid=5,sat=6.Kwa hiyo kama baki ni 1 ulizaliwa JUMATATU.Ooops!kwa wale waliozaliwa mwaka 2000>>,mkifika STEP 5,jibu mtakalopata mtatoa 1 kabla ya kwenda STEP 6.
hii fomula haikubali kwa aliezaliwa tar 5.2.1955
 
Back
Top Bottom