Mwanamke wa kuoa hupatikana kutoka mahali popote lakini nakwambia mwanamke ukimpata toka maeneo haya atakua anafaa zaidi kuwa mke.
1 Mwanamke mwenye dini na anaijua vyema dini,ni vyema mkawa wa dini moja.
2 Kahaba (yani anayejiuza au alisha wahi kufanya kazi hiyo) akikubali kuolewa oa atakuja akufae na atakawa mvumilivu mno.
3 Mwanamichezo lakini asiwe mwanamziki,mwanamitindo wala muigizaji hawa hawatakufaa kwa ndoa labda kama kwa kuliwazana tu.
4 Mjane (mwanamke aliyefiwa na mmewe), awe kashaa kaa eda na uwe na uhakika kuwa sio mwasilika,
5 Mkimbizi iwe ni kwa vita,njaa au machafuko,ukimpata oa atakufaa.
6 Mwanamke anayefanya kazi baa ama kwenye nyumba za kulala wageni,akilidhia kuolewa owa ni mwamke ambaye atakuwa amefanya maamzi ya kuolewa kwa moyo wake.
7 Mfanyakazi ila awe na kazi kubwa yaani awe kwenye kitengo cha juu mfano mbunge,meneja,waziri,mkuu katika idara za serikali ama awe na kampuni lake,hii itamfanye asiwe na majivuno kama walivyo wanawake wenye ajira za kawaida yaani viwango vya chini na kati.
1 Mwanamke mwenye dini na anaijua vyema dini,ni vyema mkawa wa dini moja.
2 Kahaba (yani anayejiuza au alisha wahi kufanya kazi hiyo) akikubali kuolewa oa atakuja akufae na atakawa mvumilivu mno.
3 Mwanamichezo lakini asiwe mwanamziki,mwanamitindo wala muigizaji hawa hawatakufaa kwa ndoa labda kama kwa kuliwazana tu.
4 Mjane (mwanamke aliyefiwa na mmewe), awe kashaa kaa eda na uwe na uhakika kuwa sio mwasilika,
5 Mkimbizi iwe ni kwa vita,njaa au machafuko,ukimpata oa atakufaa.
6 Mwanamke anayefanya kazi baa ama kwenye nyumba za kulala wageni,akilidhia kuolewa owa ni mwamke ambaye atakuwa amefanya maamzi ya kuolewa kwa moyo wake.
7 Mfanyakazi ila awe na kazi kubwa yaani awe kwenye kitengo cha juu mfano mbunge,meneja,waziri,mkuu katika idara za serikali ama awe na kampuni lake,hii itamfanye asiwe na majivuno kama walivyo wanawake wenye ajira za kawaida yaani viwango vya chini na kati.