Ukipata mwanamke toka makundi haya basi oa

Ukipata mwanamke toka makundi haya basi oa

MTU KAZI

Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
85
Reaction score
31
Mwanamke wa kuoa hupatikana kutoka mahali popote lakini nakwambia mwanamke ukimpata toka maeneo haya atakua anafaa zaidi kuwa mke.

1 Mwanamke mwenye dini na anaijua vyema dini,ni vyema mkawa wa dini moja.

2 Kahaba (yani anayejiuza au alisha wahi kufanya kazi hiyo) akikubali kuolewa oa atakuja akufae na atakawa mvumilivu mno.

3 Mwanamichezo lakini asiwe mwanamziki,mwanamitindo wala muigizaji hawa hawatakufaa kwa ndoa labda kama kwa kuliwazana tu.

4 Mjane (mwanamke aliyefiwa na mmewe), awe kashaa kaa eda na uwe na uhakika kuwa sio mwasilika,

5 Mkimbizi iwe ni kwa vita,njaa au machafuko,ukimpata oa atakufaa.

6 Mwanamke anayefanya kazi baa ama kwenye nyumba za kulala wageni,akilidhia kuolewa owa ni mwamke ambaye atakuwa amefanya maamzi ya kuolewa kwa moyo wake.

7 Mfanyakazi ila awe na kazi kubwa yaani awe kwenye kitengo cha juu mfano mbunge,meneja,waziri,mkuu katika idara za serikali ama awe na kampuni lake,hii itamfanye asiwe na majivuno kama walivyo wanawake wenye ajira za kawaida yaani viwango vya chini na kati.
 
Ukiwa na ufahamu wa kutosha. Hutopata shida katika ku select mtu sahihi katika wakati sahihi!
 
Ndio maana siku hizi vijana wengi hawaoi kutokana na kuwa na theory nyingi kichwani huku wakisahau ndoa ni lazima na matatizo kwenye ndoa ni dharula ukikutana nayo mbele kwa mbele utajua namna ya kuyatatua though haimaanishi uoe yoyote
 
Just keep in mind people are not dynamic,that means they are subject to change with alot of complexity!!!!!!!
 
Mwanamke wa kuoa hupatikana kutoka mahali popote lakin nakwambia mwanamke ukimpata toka maeneo haya atakua anafaa zaidi kuwa mke. 1 Mwanamke mwenye dini na anaijua vyema dini,ni vyema mkawa wa dini moja,2 Kahaba (yani anayejiuza au alisha wahi kufanya kazi hiyo) akikubali kuolewa oa atakuja akufae na atakawa mvumilivu mno, 3 Mwanamichezo lakini asiwe mwanamziki,mwanamitindo wala muigizaji hawa hawatakufaa kwa ndoa labda kama kwa kuliwazana tu.4 Mjane (mwanamke aliyefiwa na mmewe), awe kashaa kaa eda na uwe na uhakika kuwa sio mwasilika, 5 Mkimbizi iwe ni kwa vita,njaa au machafuko,ukimpata oa atakufaa, 6 Mwanamke anayefanya kazi baa ama kwenye nyumba za kulala wageni,akilidhia kuolewa owa ni mwamke ambaye atakuwa amefanya maamzi ya kuolewa kwa moyo wake.7 Mfanyakazi ila awe na kazi kubwa yaani awe kwenye kitengo cha juu mfano mbunge,meneja,waziri,mkuu katika idara za serikali ama awe na kampuni lake,hii itamfanye asiwe na majivuno kama walivyo wanawake wenye ajira za kawaida yaani viwango vya chini na kati.

You are so selfish, you just want to impose your personal belief on other people..
 
Katika thread yako yote point ni moja tu. Mwanamke mshika dini. Hayo mengine si lolote maana jasiri haachi asili. Watu wavuruge vuruge mpaka mnyeo then mimi ndo nioe-KINYAAAAAAAA.
 
kinyume cha hayo...

mshika dini asie shika dini

kwahiyo huyu anataka twende nyumba za ibada tuanze kutongozana siyo? mimi sijamwelewa kabisa vigezo vyake hivi mimi kazi ya mwanamke inanihusu nini kwenye masuala ya ndoa? je namna hii watu wanapata wapi ujasiri wa kusema wanawake wa siku hizi wanapenda pesa?

kama mwanaume selection yake iko hivi vipi kuhusu mtoto wa kike?
 
Nimezungumzia ufahamu. Sioni kama mtu akiwa mshika dini kama anakua ni mtu sahihi, maana naona kuna ndoa nying za wachungaji zina paranganyika na hata masheikh pia ambao ni washika dini wazuri. Ukienda katika maswala ya kiimani, ukamili wa mwenza wako ndio ukamilifu wake, yaani pale ulipo pungukiwa na mwenza wako akawa amaekamilika, basi kupitia ukamilifu wake unaweza nawe pia ukawa mkamilifu, na huko ndio kubebeana msalaba.

na we mwenyewe uwe sahihi usitake mshika dini wakat we mwenyewe ni kanjanja.....

BTW mtoa mada hapo kwenye mkimbiz muelewesho please
 
kwahiyo huyu anataka twende nyumba za ibada tuanze kutongozana siyo? mimi sijamwelewa kabisa vigezo vyake hivi mimi kazi ya mwanamke inanihusu nini kwenye masuala ya ndoa? je namna hii watu wanapata wapi ujasiri wa kusema wanawake wa siku hizi wanapenda pesa?

kama mwanaume selection yake iko hivi vipi kuhusu mtoto wa kike?

hahaa naona sie tutakuwa na list ndefu sana
Matola unajua number ya Tanesco kuwapigia kama una tatizo la umeme
 
Last edited by a moderator:
hata kwenye biblia kuna mstari unasema nitawapatia wakufanana nao so kama wewe ni kigego utapata kigego mwenzio mshika dini hakufai!!
 
hata kwenye biblia kuna mstari unasema nitawapatia wakufanana nao so kama wewe ni kigego utapata kigego mwenzio mshika dini hakufai utamtesa bureeee!
 
Just keep in mind people are not dynamic,that means they are subject to change with alot of complexity!!!!!!!

You mean people are not static..which means they are subject to change with a lot of complexities right....??? Excuse moi..mon amere...!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom