mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
Habari za leo wandugu
Juzi kati apa kuna jamaa yangu alipata kazi kampuni za simu 2 tofauti. Moja ilimuajiri kwa nafasi ya hapa Dsm na nyingine ilitaka impeleke huko Sumbawanga... Tofauti ya mishahara ilikua kama laki 1 tu i mean ile ya mkoani ilizidi kwa laki 1. Jamaa akaikataa ile ya mkoani akabaki Dar, hakuwa na ishu yoyote hapa Dar ya ziada...!
Mimi nilishamshauri, wewe ungemshauri vp aende porini au abaki mjini!?
Juzi kati apa kuna jamaa yangu alipata kazi kampuni za simu 2 tofauti. Moja ilimuajiri kwa nafasi ya hapa Dsm na nyingine ilitaka impeleke huko Sumbawanga... Tofauti ya mishahara ilikua kama laki 1 tu i mean ile ya mkoani ilizidi kwa laki 1. Jamaa akaikataa ile ya mkoani akabaki Dar, hakuwa na ishu yoyote hapa Dar ya ziada...!
Mimi nilishamshauri, wewe ungemshauri vp aende porini au abaki mjini!?