Ukipata kazi Dar na mkoani ndani huko utachagua ipi?

mkonowapaka

JF-Expert Member
Feb 19, 2010
1,493
767
Habari za leo wandugu

Juzi kati apa kuna jamaa yangu alipata kazi kampuni za simu 2 tofauti. Moja ilimuajiri kwa nafasi ya hapa Dsm na nyingine ilitaka impeleke huko Sumbawanga... Tofauti ya mishahara ilikua kama laki 1 tu i mean ile ya mkoani ilizidi kwa laki 1. Jamaa akaikataa ile ya mkoani akabaki Dar, hakuwa na ishu yoyote hapa Dar ya ziada...!

Mimi nilishamshauri, wewe ungemshauri vp aende porini au abaki mjini!?
 
kama kwenye pay slip ya sumbawanga ilizidi laki 1 in real life ilizidi laki hata 3. Life in sumbawanga +other towns upcountry is cheap. Ukiingia hutamani kutoka.
 
kama kwenye pay slip ya sumbawanga ilizidi laki 1 in real life ilizidi laki hata 3. Life in sumbawanga +other towns upcountry is cheap. Ukiingia hutamani kutoka.

pamoja na hayo mkuu, life in remote areas ina matatizo yake washikaji zako wanaweza kuwa wale wanywa gongo maarufu in that place, given that you'll be having money with no life challenges unaweza kuishia kubaya sana.
 
Mimi niko uko uswekeni mnakokusema yaani marafifki zako ni RC, DC, RPC sasa kaa Dsm utaona kama waweza mingle na hao watu.

Huku uswekeni unaweza save b'se maisha ni cheap then unaenda spend Dsm wakati wa likizo.

DSM kuna joto, foleni na karaha za hapa na pale
 
Mimi niko uko uswekeni mnakokusema yaani marafifki zako ni RC, DC, RPC sasa kaa Dsm utaona kama waweza mingle na hao watu.

Huku uswekeni unaweza save b'se maisha ni cheap then unaenda spend Dsm wakati wa likizo.

DSM kuna joto, foleni na karaha za hapa na pale

Mkuu please usikuite uswekeni na wa Dar - Yombo Buza, Charambe etc aiteje?

Ndiyo raha ya mkoani hiyo, mshahara ukiwa ni kuanzia laki nne tu, rafiki zako ni RC, RPC, RAS, DAS, DC, OCD. hulali njaa. Na hali ya hewa ni murua kabisa.
 
pamoja na hayo mkuu, life in remote areas ina matatizo yake washikaji zako wanaweza kuwa wale wanywa gongo maarufu in that place, given that you'll be having money with no life challenges unaweza kuishia kubaya sana.

itakuwa ajabu utoke dar uende mkoani ku-grap kazi ya U-Afisa Mtendaji wa Kijiji au Afisa Mtendaji wa Kata. Maana hapo kwenye blue pana -portray kazi hizi-kukimbizana na wapika gongo na wanywaji wake.
 
inategemea na mtu binafsi anavyoyachululia maisha, na jinsi anavyotaka maisha yake yawe, Mwingine nje ya kazi anataka ajishughulishe na biashara za hapa na pale, maduka (nguo, vifaa vya ujenzi, nk), bar nk.

Sasa wengi wa hao wanapenda kuwa katika miji mikubwa ili ku-monitor biashara zao, wengine ule mshahara anaopata unamtosha na hajaamua kuwa maisha yake yawe wapi, hivyo huyo yuko radhi kukaa kokote, na wengine ni watu wa starehe kila weekend ni kujirusha tu hivyo mjini kwake ni poa zaidi

Hapa hakuna formula kila mtu na utashi wake tu
 
Mikoani ni kuzuri kwa kutafuta pesa na dar ni kuzuri kwa kutumia pesa.

Kwa sasa ningemshauri aende mkoa akakusanye pesa ili aweze kuja kuitumia jijini dar hapo baadae. Isitoshe mikoani matumizi si makubwa ukilinganisha na dar na pia hali ya hewa bado ni nzuri.

Mwambie anunue laptop na moderm ya zantel ili aweze kupata japo huduma ya internet akiwa huko mkoani


 
Mkuu please usikuite uswekeni na wa Dar - Yombo Buza, Charambe etc aiteje?

Ndiyo raha ya mkoani hiyo, mshahara ukiwa ni kuanzia laki nne tu, rafiki zako ni RC, RPC, RAS, DAS, DC, OCD. hulali njaa. Na hali ya hewa ni murua kabisa.

Umefika Yombo buza au huko Charambe ? au unasifu mahala kwa uzuri wa jina, like Regeant Estate,Oysterbay etc

Grow up dude...??!!
 
Habari za leo wandugu

Juzi kati apa kuna jamaa yangu alipata kazi kampuni za simu 2 tofauti. Moja ilimuajiri kwa nafasi ya hapa Dsm na nyingine ilitaka impeleke huko Sumbawanga... Tofauti ya mishahara ilikua kama laki 1 tu i mean ile ya mkoani ilizidi kwa laki 1. Jamaa akaikataa ile ya mkoani akabaki Dar, hakuwa na ishu yoyote hapa Dar ya ziada...!

Mimi nilishamshauri, wewe ungemshauri vp aende porini au abaki mjini!?

Hiyo ya Sumbawanga bado ipo? i have great ideas for cellphone companies especially in rural areas...
please answer me ASAP! sijali ni kampuni gani..na hata kama mshahara utashushwa to the sam ya huo wa Dar..pse!!!
 
Umefika Yombo buza au huko Charambe ? au unasifu mahala kwa uzuri wa jina, like Regeant Estate,Oysterbay etc

Grow up dude...??!!

stupid, didi I ever mentioned regent estate or oysterbay?
 
Habari za leo wandugu

Juzi kati apa kuna jamaa yangu alipata kazi kampuni za simu 2 tofauti. Moja ilimuajiri kwa nafasi ya hapa Dsm na nyingine ilitaka impeleke huko Sumbawanga... Tofauti ya mishahara ilikua kama laki 1 tu i mean ile ya mkoani ilizidi kwa laki 1. Jamaa akaikataa ile ya mkoani akabaki Dar, hakuwa na ishu yoyote hapa Dar ya ziada...!

Mimi nilishamshauri, wewe ungemshauri vp aende porini au abaki mjini!?
Huyo ni mwehu.............. atakufa na tai shingoni........ Fikiri hili...........

Kuna watu wa kampuni za simu wapo mikoani............siku walipopata nafasi hizo walisita sana.....lakini leo hii ukiwaambia warudi Dar hawataki hata kusikia..........Hao jamaa ni ma-Engineer.........sababu za msingi kwao kukataa kurudi Dar ni hizi..........
1. Akiwa huko ana usafiri ambao 100 percent of time analo yeye.......... hebu fikiri akitoka asubuhi kwenda Kirando wale abiria waliochwa na SUMRY wote wake.............. mara kwenda na kurudi ..............HAGUSI MSHAHARA

2. Ofisi yake ni gari alilonalo amabalo linajazwa mafuta na kampuni............. anajipangia mwenyewe aende mnara gani na lini........pamoja na kwamba kuna wakati atapigiwa simu na NETWORK MANAGEMENT CENTRE (NMC or NOC) lakini ana uhuru wake.

3. Kula vijiwe vyao ni pamoja na ma RPC, wakuu wa wilaya, wakuu wa matrafic nk

4. Heshima yao ni kubwa sana huko kiasi kwamba huduma za kijamii kwao ni meremko

5. Bei ya vyakula (say maziwa pale njia ya kuelekea KARAGWE LITA 5 NI Tshs. 2000/= wakati huku dar hiyo ni bei ya lita moja)

WAKITOKA HUKO MKONI WANAKUJA KUWANUNUA WOOTEE NA KAMA UMEPANGA NDO UNANUNULIWA PAMOJA NA NYUMBA
 
pamoja na hayo mkuu, life in remote areas ina matatizo yake washikaji zako wanaweza kuwa wale wanywa gongo maarufu in that place, given that you'll be having money with no life challenges unaweza kuishia kubaya sana.
Kwa huku Dar hakuna wanywa Gongo........??? Ndugu.....Ulaya ni popote swala ni hela.............. unaweza ukaishi polini kabisaa lakini ukawaleta FM akademia waje wapige nyumbani kwako
 
Mimi niko uko uswekeni mnakokusema yaani marafifki zako ni RC, DC, RPC sasa kaa Dsm utaona kama waweza mingle na hao watu.

Huku uswekeni unaweza save b'se maisha ni cheap then unaenda spend Dsm wakati wa likizo.

DSM kuna joto, foleni na karaha za hapa na pale
Vile vile wengi wa wanaomention uzuri wa DAR ni wale wanaoishi nyumba za ajabu msasani maandazi road IN THE NAME OF GHOROFA LA JIRANI........... NAWEZA NIKAISHI MANZESE NA NIKAYAFANYA MAZINGIRA YANGU YAKAWA YA DUNIA YA KWANZA..............
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom