Kodi zetu tunajichanga kuwalipa watesaji wetu ambao wamegawanywa maeneo mbali mbali kama mahakamani, bungeni na serikalini.Nchi ilipofikia hakuna namna,tunalipo kodi halafu hatupewe huduma stahiki hakuna bunge,hakuna mahakama,hakuna serikali hivi hizo haki tukatoe wapi!!
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app