FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,069
- 40,732
Hilo swali kamuulize Abdallah Zimbe na wenzake, usituulize sisi
Niki refer na tukio la juzi la Hamza Bado hili swala haliniingii akilini. Wapo watu wanaomtetea Hamza kwa kusema alionewa. 1. What justifies murder kwa kuwa ulionewa? Haya according to the rumors kaonewa na askari wawili. Who will pay for the blood of the other two ambao hawakuhusika. Wengi mna rely kwenye hearsay tu kwamba alidhulumiwa dhahabu sijui nini. Sasa alisema saa ngapi kwamba alidhulumiwa? It means kuna mtu alimwambia either ndugu au rafiki kuwa amedhulumiwa na lazima adhma yake aliionesha wakati anasimulia. Ina maana kati ya hao ndugu au marafiki wapo waliojua tukio ambalo angeenda kulitenda. Kwa sisi ambao tunasikiliza story za mashuhuda wa siku hiyo hakuna mahala alipotaja madini wala kudhulumiwa. Something is not right. Tusi justify mauaji na sababu za kijinga. The kid amekosea apumzike panapo stahili. Done.
NOTHING JUSTIFIES MURDER❌ Na tukisema hapa kila mtu akamalizie stress zake mitaani tutageuka uwanja wa vita. Let’s take good control of our actions.
NB: nimeattach video ambayo nimeiskiliza. Nataka kujua alichokua analalamika hapa kwamba vijana tupo tutapigana. Alikua anaongelea madini yake?
We unataka mtu akidhulumiwa afanye nini? ShedeshiNiki refer na tukio la juzi la Hamza Bado hili swala haliniingii akilini. Wapo watu wanaomtetea Hamza kwa kusema alionewa. 1. What justifies murder kwa kuwa ulionewa? Haya according to the rumors kaonewa na askari wawili. Who will pay for the blood of the other two ambao hawakuhusika. Wengi mna rely kwenye hearsay tu kwamba alidhulumiwa dhahabu sijui nini. Sasa alisema saa ngapi kwamba alidhulumiwa? It means kuna mtu alimwambia either ndugu au rafiki kuwa amedhulumiwa na lazima adhma yake aliionesha wakati anasimulia. Ina maana kati ya hao ndugu au marafiki wapo waliojua tukio ambalo angeenda kulitenda. Kwa sisi ambao tunasikiliza story za mashuhuda wa siku hiyo hakuna mahala alipotaja madini wala kudhulumiwa. Something is not right. Tusi justify mauaji na sababu za kijinga. The kid amekosea apumzike panapo stahili. Done.
NOTHING JUSTIFIES MURDER Na tukisema hapa kila mtu akamalizie stress zake mitaani tutageuka uwanja wa vita. Let’s take good control of our actions.
NB: nimeattach video ambayo nimeiskiliza. Nataka kujua alichokua analalamika hapa kwamba vijana tupo tutapigana. Alikua anaongelea madini yake?
Kwa hiyo Mkuu waliomdhulumu Hamza walikuwa wako Salendar? Na ndio hao aliowakuta na kuwaua? Unasemaje kuhusu yule mlinzi wa kampuni ya security ambae nae alikuwa? Nae alihusika pia kumdhulumu Hamza? Hivi kweli, haya masoko yote ya dhahabu yaliyowekwa na serikali, ambayo mtu yeyote anaweza kwenda kuuza bila kuuliza, hugo Hamza hakuyajua? Unaweza kutuambia huko Misri alikwenda kusomea kozi gani? Ya professional gani? Hebu tuache kuwatetea watu wanautumia kwa ugaidi.Hamza hakuingja mtaani kuua "watu" hovyo. Alienda Salenda darajani, (sio kituoni) kuua polisi wa pale. Hakwenda Msinbazi, wala Central, Jiulze kapishana na polisi wangapi njiani akawaaacha akafuata specifically wale wa pale kibandani...
Hanza angetaka kuua watu hovyo asingesubiri afike salenda... angejisogeza hapo sokoni Kariakoo na ingekuwa historia...
Sasa nyie mapoliishi punguzeni mathread ya malalamiko, tendeni haki ili kina Hamza wengine wasizaliwe....
NB: Unaweza kututhibitishia pasipo shaka hiyo clip uliyobandika ni ya kweli au ndio ile mliyoitengeneza ili mjisafishe?
Umeandika kitoto sana dogo wa miaka 20 au 18 anaweza kumpokonya bunduki mwanajeshi yeyote unaemuamini ishu ya bunduki ni timing tuu ukute dogo alienda kama kuuliza kitu harafu kutaamaki wanamimiwa risasi utafanyeje yaani wewe umewaza kama yule askari wa getini alienda kumrushia risasi Hamza na bastola akiwa hana kinga yeyote...Kama tunataka kuliponya taifa tuwazuie police wetu kubeba bunduki maana wanapokonywa kirahisi mno
Police wabebe smartphone, camera,mikoba midogo ya kubebea hela za kubrashia viatu full stop bunduki waachiwe maJW maana haiwezekani upokonywe bunduki na dogo wa miaka 30
Watu wamekosa imani na vyombo vyetu vya kutoa hakiNiki refer na tukio la juzi la Hamza Bado hili swala haliniingii akilini. Wapo watu wanaomtetea Hamza kwa kusema alionewa. 1. What justifies murder kwa kuwa ulionewa? Haya according to the rumors kaonewa na askari wawili. Who will pay for the blood of the other two ambao hawakuhusika. Wengi mna rely kwenye hearsay tu kwamba alidhulumiwa dhahabu sijui nini. Sasa alisema saa ngapi kwamba alidhulumiwa? It means kuna mtu alimwambia either ndugu au rafiki kuwa amedhulumiwa na lazima adhma yake aliionesha wakati anasimulia. Ina maana kati ya hao ndugu au marafiki wapo waliojua tukio ambalo angeenda kulitenda. Kwa sisi ambao tunasikiliza story za mashuhuda wa siku hiyo hakuna mahala alipotaja madini wala kudhulumiwa. Something is not right. Tusi justify mauaji na sababu za kijinga. The kid amekosea apumzike panapo stahili. Done.
NOTHING JUSTIFIES MURDER❌ Na tukisema hapa kila mtu akamalizie stress zake mitaani tutageuka uwanja wa vita. Let’s take good control of our actions.
NB: nimeattach video ambayo nimeiskiliza. Nataka kujua alichokua analalamika hapa kwamba vijana tupo tutapigana. Alikua anaongelea madini yake?
Niki refer na tukio la juzi la Hamza Bado hili swala haliniingii akilini. Wapo watu wanaomtetea Hamza kwa kusema alionewa. 1. What justifies murder kwa kuwa ulionewa? Haya according to the rumors kaonewa na askari wawili. Who will pay for the blood of the other two ambao hawakuhusika. Wengi mna rely kwenye hearsay tu kwamba alidhulumiwa dhahabu sijui nini. Sasa alisema saa ngapi kwamba alidhulumiwa? It means kuna mtu alimwambia either ndugu au rafiki kuwa amedhulumiwa na lazima adhma yake aliionesha wakati anasimulia. Ina maana kati ya hao ndugu au marafiki wapo waliojua tukio ambalo angeenda kulitenda. Kwa sisi ambao tunasikiliza story za mashuhuda wa siku hiyo hakuna mahala alipotaja madini wala kudhulumiwa. Something is not right. Tusi justify mauaji na sababu za kijinga. The kid amekosea apumzike panapo stahili. Done.
NOTHING JUSTIFIES MURDER❌ Na tukisema hapa kila mtu akamalizie stress zake mitaani tutageuka uwanja wa vita. Let’s take good control of our actions.
NB: nimeattach video ambayo nimeiskiliza. Nataka kujua alichokua analalamika hapa kwamba vijana tupo tutapigana. Alikua anaongelea madini yake?
In Islam, revenge is justice..
Yawezekana japo sina ushahidi. Yule mlinzi kama ulifuatilia kosa lake lilikuwa kukoki bunduki kutaka kumshambulia Hamza. Kosa lake ni kiherehere cha kuingilia jambo lisilomhusu...Kwa hiyo Mkuu waliomdhulumu Hamza walikuwa wako Salendar? Na ndio hao aliowakuta na kuwaua? Unasemaje kuhusu yule mlinzi wa kampuni ya security ambae nae alikuwa? Nae alihusika pia kumdhulumu Hamza? Hivi kweli, haya masoko yote ya dhahabu yaliyowekwa na serikali, ambayo mtu yeyote anaweza kwenda kuuza bila kuuliza, hugo Hamza hakuyajua? Unaweza kutuambia huko Misri alikwenda kusomea kozi gani? Ya professional gani? Hebu tuache kuwatetea watu wanautumia kwa ugaidi.
Nimewawekea hadi clip ya hamza. It’s beyond rumours watu wametengeneza story chap ili kufukia adhma ya hamza. He is a killer. FullstopKwa hiyo Mkuu waliomdhulumu Hamza walikuwa wako Salendar? Na ndio hao aliowakuta na kuwaua? Unasemaje kuhusu yule mlinzi wa kampuni ya security ambae nae alikuwa? Nae alihusika pia kumdhulumu Hamza? Hivi kweli, haya masoko yote ya dhahabu yaliyowekwa na serikali, ambayo mtu yeyote anaweza kwenda kuuza bila kuuliza, hugo Hamza hakuyajua? Unaweza kutuambia huko Misri alikwenda kusomea kozi gani? Ya professional gani? Hebu tuache kuwatetea watu wanautumia kwa ugaidi.