Ukionewa ni sahihi kushika bunduki na kuingia mtaani kuua watu?

Mi Najua wanaficha ila sababu Ni wAllah hawAkubar
Hawataki kuukubali ukweli. Hamza mwengine atatokea katikati ya mji hatosema anataka police au raia. Atazimimina risasi na mtasema haya maneno tena? Mimi nataka hawa wanaobisha waniletee ushahidi wa hamza akisema amedhulumiwa
 
Katika watu ambao sio shabiki wa matendo ya police na mimi nipo. lakini sijawahi kuwaza kuwaua. acheni ujinga wa kutetea mauaji. Hamza angerusha risasi pale ikampata an innocent person mngesema haya???? Nyie subirini muiskie sababu yake ya kuua ndo mtaelewa. Fuatilieni vitu
 
Niki refer na tukio la juzi la Hamza Bado hili swala haliniingii akilini. Wapo watu wanaomtetea Hamza kwa kusema alionewa. 1. What justifies murder kwa kuwa ulionewa? Haya according to the rumors kaonewa na askari wawili. Who will pay for the blood of the other two ambao hawakuhusika. Wengi mna rely kwenye hearsay tu kwamba alidhulumiwa dhahabu sijui nini. Sasa alisema saa ngapi kwamba alidhulumiwa? It means kuna mtu alimwambia either ndugu au rafiki kuwa amedhulumiwa na lazima adhma yake aliionesha wakati anasimulia. Ina maana kati ya hao ndugu au marafiki wapo waliojua tukio ambalo angeenda kulitenda. Kwa sisi ambao tunasikiliza story za mashuhuda wa siku hiyo hakuna mahala alipotaja madini wala kudhulumiwa. Something is not right. Tusi justify mauaji na sababu za kijinga. The kid amekosea apumzike panapo stahili. Done.

NOTHING JUSTIFIES MURDER❌ Na tukisema hapa kila mtu akamalizie stress zake mitaani tutageuka uwanja wa vita. Let’s take good control of our actions.

NB: nimeattach video ambayo nimeiskiliza. Nataka kujua alichokua analalamika hapa kwamba vijana tupo tutapigana. Alikua anaongelea madini yake?
Kwani wewe unasemaje?
 
Hamza hakuingja mtaani kuua "watu" hovyo. Alienda Salenda darajani, (sio kituoni) kuua polisi wa pale. Hakwenda Msinbazi, wala Central, Jiulze kapishana na polisi wangapi njiani akawaaacha akafuata specifically wale wa pale kibandani...

Hanza angetaka kuua watu hovyo asingesubiri afike salenda... angejisogeza hapo sokoni Kariakoo na ingekuwa historia...

Sasa nyie mapoliishi punguzeni mathread ya malalamiko, tendeni haki ili kina Hamza wengine wasizaliwe....

NB: Unaweza kututhibitishia pasipo shaka hiyo clip uliyobandika ni ya kweli au ndio ile mliyoitengeneza ili mjisafishe?

Kabisa ,policcm wametengeneza clip ili ionekane hamza ni gaidi,mashuhuda hakuna hata mmoja aliyemsikia akisema hayo maneno....Jamaa kadhulumiwa tu na ma askari.
 
Katika watu ambao sio shabiki wa matendo ya police na mimi nipo. lakini sijawahi kuwaza kuwaua. acheni ujinga wa kutetea mauaji. Hamza angerusha risasi pale ikampata an innocent person mngesema haya???? Nyie subirini muiskie sababu yake ya kuua ndo mtaelewa. Fuatilieni vitu
kama hamza angekuwa gaidi basi hao wanne alioua ni wachache sana.pale sarenda kuna kuwa na foleni kuna magari ya kawaida na ya abiria.angeamua kumwaga vyuma pale kuelekezea kwenye magari yale leo tungesema mengine.pia hamza alipishana na watu barabarani wala hakuwa na habari nao.
 
Nimewawekea hadi clip ya hamza. It’s beyond rumours watu wametengeneza story chap ili kufukia adhma ya hamza. He is a killer. Fullstop
Clips huwa zinafanyiwa editing ya kutosha na kuongeza sauti za watu. Kwanza hatuijui hata hiyo sauti ya Hamza inasound vipi.
Na kwa nini clip ilitolewa siku tatu baada ya tukio? Hapa ndiyo utata ulipoanza.
 
Subiri atokee hamza mwingine ana hasira na polisi aende kuwafuata eneo arushe risasi ikupate wewe au mtu wako wa karibu. Haya pale ubalozi wa ufaransa pana kituo cha polisi? Mlinzi wa kampuni binafsi anahusika? Nyie watu mnawaza kutumia viungo gani vya mwili? Mimi nauliza what justifies murder? Hata mimi nimeonewa na mengi hata mtu mwengine pia kaonewa na mengi, tukisema wote tuingie vituoni kuua askari patakuwaje? Alafu nani alisema amedhulumiwa mimi nataka ushahidi wa hilo
Huyu mlinzi binafsi kiherehere alitaka kucheza ngoma sio yke
 
Hamza hakuingja mtaani kuua "watu" hovyo. Alienda Salenda darajani, (sio kituoni) kuua polisi wa pale. Hakwenda Msinbazi, wala Central, Jiulze kapishana na polisi wangapi njiani akawaaacha akafuata specifically wale wa pale kibandani...

Hanza angetaka kuua watu hovyo asingesubiri afike salenda... angejisogeza hapo sokoni Kariakoo na ingekuwa historia...

Sasa nyie mapoliishi punguzeni mathread ya malalamiko, tendeni haki ili kina Hamza wengine wasizaliwe....

NB: Unaweza kututhibitishia pasipo shaka hiyo clip uliyobandika ni ya kweli au ndio ile mliyoitengeneza ili mjisafishe?
Akikujibu hili kiufasaha nijulishe...
 
Niki refer na tukio la juzi la Hamza Bado hili swala haliniingii akilini. Wapo watu wanaomtetea Hamza kwa kusema alionewa. 1. What justifies murder kwa kuwa ulionewa? Haya according to the rumors kaonewa na askari wawili. Who will pay for the blood of the other two ambao hawakuhusika. Wengi mna rely kwenye hearsay tu kwamba alidhulumiwa dhahabu sijui nini. Sasa alisema saa ngapi kwamba alidhulumiwa? It means kuna mtu alimwambia either ndugu au rafiki kuwa amedhulumiwa na lazima adhma yake aliionesha wakati anasimulia. Ina maana kati ya hao ndugu au marafiki wapo waliojua tukio ambalo angeenda kulitenda. Kwa sisi ambao tunasikiliza story za mashuhuda wa siku hiyo hakuna mahala alipotaja madini wala kudhulumiwa. Something is not right. Tusi justify mauaji na sababu za kijinga. The kid amekosea apumzike panapo stahili. Done.

NOTHING JUSTIFIES MURDER Na tukisema hapa kila mtu akamalizie stress zake mitaani tutageuka uwanja wa vita. Let’s take good control of our actions.

NB: nimeattach video ambayo nimeiskiliza. Nataka kujua alichokua analalamika hapa kwamba vijana tupo tutapigana. Alikua anaongelea madini yake?
Hamza kuua askari kwa hoja ya kudhulumiwa hakumpi haki. Lakini kila tukio lina sababu. Wewe pamoja na wenzio, akiwemo IGP na viongozi wote wa serikali, mnamhukumu Hamza, wakati inadaiwa kuna dhuluma alifanyiwa na polisi na kuwa chanzo cha sakata hili. Mnakwepa kufanya uchunguzi kubaini uhusika wa polisi, ambao si ajabu ndio katj ya hao wanaodaiwa kufa kishujaa na kupewa maziko ya kijeshi.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Pamoja na yote yaliyotokea ambayo sio halali, lakini ukweli ni kwamba hakuna haki katika jamii yetu, kuanzia serikalini, vyombo vya dola ,mahakama,bunge dini na jamii yote kwa ujumla.

Watu pekee wa kuleta haki ni mahakama lakini matukio ya hivi karibuni yana thibitisha haki haipatikani huko tena.

Police wamekua ni watu wa kati ya jamii na mahakama lakini matokeo yake polisi wametugeuka!

Matokeo yake ni haya ya ndugu hamza na watu wengi kuwa upande wa hamza kwa sababu wengi wetu tumekuwa waathirika kwa namna moja ama nyingine na polisi.

Kinachopaswa polisi wajisahihishe kwa kweli, ama kuwe na mjadala wa kitaifa namna polisi watakavyo fanya imani kwa jamii na utumishi wao kwa jamii uthaminike tena.


Pole kwa wote walio athirika, pole kwa familia ya hamza, pole kwa familia ya ndugu polisi waliopoteza maisha, na taifa kwa ujumla.

Lakini igp umeweza kukosea tena, jisahihishe, polisi kwa ujumla wote nanyi mjisahihishe.

Jana ilikuwa bora kadhalika na na leo lakini kesho ni bora zaidi, ila kesho bora huandaliwa na leo.
Jisahihisheni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niki refer na tukio la juzi la Hamza Bado hili swala haliniingii akilini. Wapo watu wanaomtetea Hamza kwa kusema alionewa. 1. What justifies murder kwa kuwa ulionewa? Haya according to the rumors kaonewa na askari wawili. Who will pay for the blood of the other two ambao hawakuhusika. Wengi mna rely kwenye hearsay tu kwamba alidhulumiwa dhahabu sijui nini. Sasa alisema saa ngapi kwamba alidhulumiwa? It means kuna mtu alimwambia either ndugu au rafiki kuwa amedhulumiwa na lazima adhma yake aliionesha wakati anasimulia. Ina maana kati ya hao ndugu au marafiki wapo waliojua tukio ambalo angeenda kulitenda. Kwa sisi ambao tunasikiliza story za mashuhuda wa siku hiyo hakuna mahala alipotaja madini wala kudhulumiwa. Something is not right. Tusi justify mauaji na sababu za kijinga. The kid amekosea apumzike panapo stahili. Done.

NOTHING JUSTIFIES MURDER Na tukisema hapa kila mtu akamalizie stress zake mitaani tutageuka uwanja wa vita. Let’s take good control of our actions.

NB: nimeattach video ambayo nimeiskiliza. Nataka kujua alichokua analalamika hapa kwamba vijana tupo tutapigana. Alikua anaongelea madini yake?
Kwa technolojia ya leo usiamini video hizo 100%, (unless ur among them) Zinaweza kuwa fake! Hata za kuonesha Hamza akimchinja polisi zinaweza tengenezwa. Kumbuka mapanga, mashoka, visu, pinde na mishale vilivyo kuwa vikioneshwa kwamba vimeagizwa toka nje na CUF enzi hizo.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Simuhukumu kwa kusoma Misri; ila inaonekana kuna mambo alijifunza huko; ambayo yanamtofautisha na raia/mwananchi wa kawaida. Moja wapo ni lile la kutumia silaha nzito kama zile; hakuna mafunzo kama yale yanayofundishwa kwa raia wa kawaida. Tena alikuwa anazitumia kwa ufanisi wa kulenga target kwa hali ya juu sana. Hayo mafunzo hayatolewi kwa raia wa kawaida. Pia kuwa na ile roho (sipirit) ya kuua. Binadamu wa kawaida ni ngumu kuwa na hiyo spirit; tena ukichukulia alianza tu from no where; na kuua polisi wawili; na kuchukua silaha zao. Hivyo vitu ndio vinaashiria kuna kitu alikuwa nacho zaidi ya raia/mwananchi wa kawaida. Huyo alipata training ya kufanya hivyo. Kibaya zaidi ni kuwa kwa umri wake; yeye hakuwahi hata kupitia JKT - maana wakati wao kulikuwa hakuna hayo mafunzo. Hivyo kuna sehemu amejifunza binafsi. Sasa tujiulize; alijifunza akiwa na lengo gani?
Yawezekana japo sina ushahidi. Yule mlinzi kama ulifuatilia kosa lake lilikuwa kukoki bunduki kutaka kumshambulia Hamza. Kosa lake ni kiherehere cha kuingilia jambo lisilomhusu...

Kuhusu kusomea Misri huwezi kumhukumu kwa tukio hilo. Ni watanzania wangapi wamesoma Misri na hawakufanya haya. Au tuambie Misri kuna chuo cha Ugaidi? Nitajie chuo hicho nami nikutajie Hamza alisoma chuo
 
Hamza hakuingja mtaani kuua "watu" hovyo. Alienda Salenda darajani, (sio kituoni) kuua polisi wa pale. Hakwenda Msinbazi, wala Central, Jiulze kapishana na polisi wangapi njiani akawaaacha akafuata specifically wale wa pale kibandani...

Hanza angetaka kuua watu hovyo asingesubiri afike salenda... angejisogeza hapo sokoni Kariakoo na ingekuwa historia...

Sasa nyie mapoliishi punguzeni mathread ya malalamiko, tendeni haki ili kina Hamza wengine wasizaliwe....

NB: Unaweza kututhibitishia pasipo shaka hiyo clip uliyobandika ni ya kweli au ndio ile mliyoitengeneza ili mjisafishe?
Kamanda Siro anawaasa wazazi wasizae au kulea watoto wakorofi, na waharifu. Anasahau kuwa jeshi lake ndio linaharibu watoto wa watu. Polisi wanalalamikiwa kutenda maovu mengi, tabia hiyo wamefunzwa huko polisi kwani kabla ya kuajiriwa huchujwa ngazi tofauti tofauti kuanzia mtaani. Au si watu, bali ni robot wametengenezwa kiwanda cha polisi?

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom