Hawataki kuukubali ukweli. Hamza mwengine atatokea katikati ya mji hatosema anataka police au raia. Atazimimina risasi na mtasema haya maneno tena? Mimi nataka hawa wanaobisha waniletee ushahidi wa hamza akisema amedhulumiwaMi Najua wanaficha ila sababu Ni wAllah hawAkubar
Ushahidi wa dhuluma hiyo upo wapi?? Mimi namsikia anasema anapigana kwasababu ya AllahMasahihisho hajaua watu ameua polisi 3 na sungu sungu 1.swali la kujiuliza KWANINI HUDHULUMU?
Na ndo hawa wamejazana humu kushangiliaHapa ndipo ulipo msingi wa Ugaidi.
Kwa kweli inashangaza sana!
Si aliongea mwenyewe hata clip inasemaMi Najua wanaficha ila sababu Ni wAllah hawAkubar
Kwani wewe unasemaje?Niki refer na tukio la juzi la Hamza Bado hili swala haliniingii akilini. Wapo watu wanaomtetea Hamza kwa kusema alionewa. 1. What justifies murder kwa kuwa ulionewa? Haya according to the rumors kaonewa na askari wawili. Who will pay for the blood of the other two ambao hawakuhusika. Wengi mna rely kwenye hearsay tu kwamba alidhulumiwa dhahabu sijui nini. Sasa alisema saa ngapi kwamba alidhulumiwa? It means kuna mtu alimwambia either ndugu au rafiki kuwa amedhulumiwa na lazima adhma yake aliionesha wakati anasimulia. Ina maana kati ya hao ndugu au marafiki wapo waliojua tukio ambalo angeenda kulitenda. Kwa sisi ambao tunasikiliza story za mashuhuda wa siku hiyo hakuna mahala alipotaja madini wala kudhulumiwa. Something is not right. Tusi justify mauaji na sababu za kijinga. The kid amekosea apumzike panapo stahili. Done.
NOTHING JUSTIFIES MURDER❌ Na tukisema hapa kila mtu akamalizie stress zake mitaani tutageuka uwanja wa vita. Let’s take good control of our actions.
NB: nimeattach video ambayo nimeiskiliza. Nataka kujua alichokua analalamika hapa kwamba vijana tupo tutapigana. Alikua anaongelea madini yake?
kama wasingemuua tungejua dhuluma aliyofanyia.hamza aliishiwa risasi akanyoosha mikono juu lakini haikutosha wakampiga vyuma.TAFAKARIUshahidi wa dhuluma hiyo upo wapi?? Mimi namsikia anasema anapigana kwasababu ya Allah
Hamza hakuingja mtaani kuua "watu" hovyo. Alienda Salenda darajani, (sio kituoni) kuua polisi wa pale. Hakwenda Msinbazi, wala Central, Jiulze kapishana na polisi wangapi njiani akawaaacha akafuata specifically wale wa pale kibandani...
Hanza angetaka kuua watu hovyo asingesubiri afike salenda... angejisogeza hapo sokoni Kariakoo na ingekuwa historia...
Sasa nyie mapoliishi punguzeni mathread ya malalamiko, tendeni haki ili kina Hamza wengine wasizaliwe....
NB: Unaweza kututhibitishia pasipo shaka hiyo clip uliyobandika ni ya kweli au ndio ile mliyoitengeneza ili mjisafishe?
kama hamza angekuwa gaidi basi hao wanne alioua ni wachache sana.pale sarenda kuna kuwa na foleni kuna magari ya kawaida na ya abiria.angeamua kumwaga vyuma pale kuelekezea kwenye magari yale leo tungesema mengine.pia hamza alipishana na watu barabarani wala hakuwa na habari nao.Katika watu ambao sio shabiki wa matendo ya police na mimi nipo. lakini sijawahi kuwaza kuwaua. acheni ujinga wa kutetea mauaji. Hamza angerusha risasi pale ikampata an innocent person mngesema haya???? Nyie subirini muiskie sababu yake ya kuua ndo mtaelewa. Fuatilieni vitu
Clips huwa zinafanyiwa editing ya kutosha na kuongeza sauti za watu. Kwanza hatuijui hata hiyo sauti ya Hamza inasound vipi.Nimewawekea hadi clip ya hamza. It’s beyond rumours watu wametengeneza story chap ili kufukia adhma ya hamza. He is a killer. Fullstop
Huyu mlinzi binafsi kiherehere alitaka kucheza ngoma sio ykeSubiri atokee hamza mwingine ana hasira na polisi aende kuwafuata eneo arushe risasi ikupate wewe au mtu wako wa karibu. Haya pale ubalozi wa ufaransa pana kituo cha polisi? Mlinzi wa kampuni binafsi anahusika? Nyie watu mnawaza kutumia viungo gani vya mwili? Mimi nauliza what justifies murder? Hata mimi nimeonewa na mengi hata mtu mwengine pia kaonewa na mengi, tukisema wote tuingie vituoni kuua askari patakuwaje? Alafu nani alisema amedhulumiwa mimi nataka ushahidi wa hilo
Akikujibu hili kiufasaha nijulishe...Hamza hakuingja mtaani kuua "watu" hovyo. Alienda Salenda darajani, (sio kituoni) kuua polisi wa pale. Hakwenda Msinbazi, wala Central, Jiulze kapishana na polisi wangapi njiani akawaaacha akafuata specifically wale wa pale kibandani...
Hanza angetaka kuua watu hovyo asingesubiri afike salenda... angejisogeza hapo sokoni Kariakoo na ingekuwa historia...
Sasa nyie mapoliishi punguzeni mathread ya malalamiko, tendeni haki ili kina Hamza wengine wasizaliwe....
NB: Unaweza kututhibitishia pasipo shaka hiyo clip uliyobandika ni ya kweli au ndio ile mliyoitengeneza ili mjisafishe?
Hamza kuua askari kwa hoja ya kudhulumiwa hakumpi haki. Lakini kila tukio lina sababu. Wewe pamoja na wenzio, akiwemo IGP na viongozi wote wa serikali, mnamhukumu Hamza, wakati inadaiwa kuna dhuluma alifanyiwa na polisi na kuwa chanzo cha sakata hili. Mnakwepa kufanya uchunguzi kubaini uhusika wa polisi, ambao si ajabu ndio katj ya hao wanaodaiwa kufa kishujaa na kupewa maziko ya kijeshi.Niki refer na tukio la juzi la Hamza Bado hili swala haliniingii akilini. Wapo watu wanaomtetea Hamza kwa kusema alionewa. 1. What justifies murder kwa kuwa ulionewa? Haya according to the rumors kaonewa na askari wawili. Who will pay for the blood of the other two ambao hawakuhusika. Wengi mna rely kwenye hearsay tu kwamba alidhulumiwa dhahabu sijui nini. Sasa alisema saa ngapi kwamba alidhulumiwa? It means kuna mtu alimwambia either ndugu au rafiki kuwa amedhulumiwa na lazima adhma yake aliionesha wakati anasimulia. Ina maana kati ya hao ndugu au marafiki wapo waliojua tukio ambalo angeenda kulitenda. Kwa sisi ambao tunasikiliza story za mashuhuda wa siku hiyo hakuna mahala alipotaja madini wala kudhulumiwa. Something is not right. Tusi justify mauaji na sababu za kijinga. The kid amekosea apumzike panapo stahili. Done.
NOTHING JUSTIFIES MURDER Na tukisema hapa kila mtu akamalizie stress zake mitaani tutageuka uwanja wa vita. Let’s take good control of our actions.
NB: nimeattach video ambayo nimeiskiliza. Nataka kujua alichokua analalamika hapa kwamba vijana tupo tutapigana. Alikua anaongelea madini yake?
Kwa technolojia ya leo usiamini video hizo 100%, (unless ur among them) Zinaweza kuwa fake! Hata za kuonesha Hamza akimchinja polisi zinaweza tengenezwa. Kumbuka mapanga, mashoka, visu, pinde na mishale vilivyo kuwa vikioneshwa kwamba vimeagizwa toka nje na CUF enzi hizo.Niki refer na tukio la juzi la Hamza Bado hili swala haliniingii akilini. Wapo watu wanaomtetea Hamza kwa kusema alionewa. 1. What justifies murder kwa kuwa ulionewa? Haya according to the rumors kaonewa na askari wawili. Who will pay for the blood of the other two ambao hawakuhusika. Wengi mna rely kwenye hearsay tu kwamba alidhulumiwa dhahabu sijui nini. Sasa alisema saa ngapi kwamba alidhulumiwa? It means kuna mtu alimwambia either ndugu au rafiki kuwa amedhulumiwa na lazima adhma yake aliionesha wakati anasimulia. Ina maana kati ya hao ndugu au marafiki wapo waliojua tukio ambalo angeenda kulitenda. Kwa sisi ambao tunasikiliza story za mashuhuda wa siku hiyo hakuna mahala alipotaja madini wala kudhulumiwa. Something is not right. Tusi justify mauaji na sababu za kijinga. The kid amekosea apumzike panapo stahili. Done.
NOTHING JUSTIFIES MURDER Na tukisema hapa kila mtu akamalizie stress zake mitaani tutageuka uwanja wa vita. Let’s take good control of our actions.
NB: nimeattach video ambayo nimeiskiliza. Nataka kujua alichokua analalamika hapa kwamba vijana tupo tutapigana. Alikua anaongelea madini yake?
Yawezekana japo sina ushahidi. Yule mlinzi kama ulifuatilia kosa lake lilikuwa kukoki bunduki kutaka kumshambulia Hamza. Kosa lake ni kiherehere cha kuingilia jambo lisilomhusu...
Kuhusu kusomea Misri huwezi kumhukumu kwa tukio hilo. Ni watanzania wangapi wamesoma Misri na hawakufanya haya. Au tuambie Misri kuna chuo cha Ugaidi? Nitajie chuo hicho nami nikutajie Hamza alisoma chuo
Uko very correct, not only just a killer - He was a trained terrorist.Nimewawekea hadi clip ya hamza. It’s beyond rumours watu wametengeneza story chap ili kufukia adhma ya hamza. He is a killer. Fullstop
Kamanda Siro anawaasa wazazi wasizae au kulea watoto wakorofi, na waharifu. Anasahau kuwa jeshi lake ndio linaharibu watoto wa watu. Polisi wanalalamikiwa kutenda maovu mengi, tabia hiyo wamefunzwa huko polisi kwani kabla ya kuajiriwa huchujwa ngazi tofauti tofauti kuanzia mtaani. Au si watu, bali ni robot wametengenezwa kiwanda cha polisi?Hamza hakuingja mtaani kuua "watu" hovyo. Alienda Salenda darajani, (sio kituoni) kuua polisi wa pale. Hakwenda Msinbazi, wala Central, Jiulze kapishana na polisi wangapi njiani akawaaacha akafuata specifically wale wa pale kibandani...
Hanza angetaka kuua watu hovyo asingesubiri afike salenda... angejisogeza hapo sokoni Kariakoo na ingekuwa historia...
Sasa nyie mapoliishi punguzeni mathread ya malalamiko, tendeni haki ili kina Hamza wengine wasizaliwe....
NB: Unaweza kututhibitishia pasipo shaka hiyo clip uliyobandika ni ya kweli au ndio ile mliyoitengeneza ili mjisafishe?