Ukiondoa haya, hakuna usabato

Ukiondoa haya, hakuna usabato

1. Siku ya ibada, Sabato.
Hili wengi wanaliona kama fundisho kuu. Kutokana ndio utambulisho wa kanisa. Sio ajabu kanisa linaitwa SDA yaani seventh day Adventist church yaani kanisa la Sabato la marejeo ya kristo.

2. Marejeo ya kristo (kurudi mara ya pili kwa Yesu)
Hili ni fundisho la pili. Na linalotiliwa mkazo.

3. Amri za Mungu.
Hapa zipo Amri nyingi sana ambazo wasabato wanazihubiri. Lakini inayojitokeza mara kwa mara ni amri ya nne. Kuheshimu na kuitunza Sabato.
Amri hii inapohubiriwa ndipo unaona Wanaotunza jumapili wakitajwa kwani lazima watu wafundishwe Sabato ya kweli ni ipi katika zile siku saba za juma.

Amri zingine ni kama amri za vyakula, hapo ndipo Nguruwe anapopata umaarufu.

4. Ubatizo wa Maji mengi.
Hapo pia lazima Wakatoliki watajwe kwa sababu wanatofautiana na wasabato. Na wapo kinyume na Biblia.

5. Fundisho la utatu.
Hili linawaunganisha Wakristo wengi. Wasabato na Wakatoliki hapa wanakuwa kitu kimoja.
Ingawaje mimi Mtibeli naliona kama fundisho la kikafiri(kipagani)

6. Fundisho la Maisha baada ya kifo.
Wasabato hapa wanapishana na Wakatoliki. Wasabato wanafuata fundisho la biblia kwamba mtu akifa amekufa anarudi udongoni.
Wakatoliki wao wanaamini kuzimu maisha yanaendelea huku kukiwa na adhabu kwa watakatifu ili kuwatakasa.

7. Fundisho la ndoa, na Kaya na familia.
Hili pia ni fundisho kuu ambalo utalisikia kwa wasabato.
Hapa msingi mkuu wa maisha ya kiroho unaanzia kwenye familia.
Wasabato wanaamini kwenye Mke, mume mmoja. Wanaungana na Wakatoliki

8. Fundisho la uwakili.
Hili ni fundisho kubwa lililosheheni mambo mengi. Hapa utafundishwa kwamba sisi wote ni mawakili wa Mungu. Tunamwakilisha kwa kila kitu alichotupa kama Baraka.
Wakili wa muda, wakili wa mali na kipato, wakili wa kila jambo.

Na mafundisho mengine
Umemaliza. Uzi ufungwe
 
1. Siku ya ibada, Sabato.
Hili wengi wanaliona kama fundisho kuu. Kutokana ndio utambulisho wa kanisa. Sio ajabu kanisa linaitwa SDA yaani seventh day Adventist church yaani kanisa la Sabato la marejeo ya kristo.

2. Marejeo ya kristo (kurudi mara ya pili kwa Yesu)
Hili ni fundisho la pili. Na linalotiliwa mkazo.

3. Amri za Mungu.
Hapa zipo Amri nyingi sana ambazo wasabato wanazihubiri. Lakini inayojitokeza mara kwa mara ni amri ya nne. Kuheshimu na kuitunza Sabato.
Amri hii inapohubiriwa ndipo unaona Wanaotunza jumapili wakitajwa kwani lazima watu wafundishwe Sabato ya kweli ni ipi katika zile siku saba za juma.

Amri zingine ni kama amri za vyakula, hapo ndipo Nguruwe anapopata umaarufu.

4. Ubatizo wa Maji mengi.
Hapo pia lazima Wakatoliki watajwe kwa sababu wanatofautiana na wasabato. Na wapo kinyume na Biblia.

5. Fundisho la utatu.
Hili linawaunganisha Wakristo wengi. Wasabato na Wakatoliki hapa wanakuwa kitu kimoja.
Ingawaje mimi Mtibeli naliona kama fundisho la kikafiri(kipagani)

6. Fundisho la Maisha baada ya kifo.
Wasabato hapa wanapishana na Wakatoliki. Wasabato wanafuata fundisho la biblia kwamba mtu akifa amekufa anarudi udongoni.
Wakatoliki wao wanaamini kuzimu maisha yanaendelea huku kukiwa na adhabu kwa watakatifu ili kuwatakasa.

7. Fundisho la ndoa, na Kaya na familia.
Hili pia ni fundisho kuu ambalo utalisikia kwa wasabato.
Hapa msingi mkuu wa maisha ya kiroho unaanzia kwenye familia.
Wasabato wanaamini kwenye Mke, mume mmoja. Wanaungana na Wakatoliki

8. Fundisho la uwakili.
Hili ni fundisho kubwa lililosheheni mambo mengi. Hapa utafundishwa kwamba sisi wote ni mawakili wa Mungu. Tunamwakilisha kwa kila kitu alichotupa kama Baraka.
Wakili wa muda, wakili wa mali na kipato, wakili wa kila jambo.

Na mafundisho mengine
Kwa nini Wasabato wengine hawanywi chai ya rangi, kahawa na coca-cola??
 
Kwakifupi Wasabato adui yao mkubwa ni Wakatoliki sio Shetani😀😀.Sijawahi kuwasikia Wasabato wakiwashambulia Lutheran,T.A.G,Moravian ila kilasiku utawasikia eti ooh Papa na Marekani ndio alama ya mnyama sasa cha kushangaza makao makuu ya Wasabato wote duniani yapo Marekani hukohuko kwenye nchi wanayoiponda😅😅😅
Wanazingua sana hao jamaa mafundi yao ni kupinga ukatoliki kula nguruwe hata mikutano yao ya effot ndio ajenda zao kuu.
 
Chakushangaza headquarters ya Wasabato ipo Marekani hukohuko wanakosema ndio alama ya 666.Sasa kama wanaamini hivyo si wangeshaondoka wahamie kwenye nchi zingine 😆😆😆
Wana ujinga mwingi sana,
 
Ni wazinzi balaa ila hawaoni ni kosa kubwa kama kula mdudu🤣.
Wengi wanafiki na wamejawa na chuki moyoni kwa ambao sio wasali jumamos wanatamani dunia nzima wasali jumamosi kitu ambacho haitokuja tokea
 
Back
Top Bottom