ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,503
- 126,828
Umeelewaje mjukuu 😅Uwiiiii🤣🤣 sawa
Umeelewaje mjukuu 😅Uwiiiii🤣🤣 sawa
Shikamoo baba ake na babu yangu🫡Kipindi tunamaliza Mwinyi Raisi,waziri mkuu John Malecela,Kuna mwamba tulisoma nae mke wa Malecela ni mama yake mkubwa SI kwa kututambia na mikate!
Nimeelewa kwamba wewe ni babu kwa mbaliii🤣🤣Umeelewaje mjukuu 😅
Hahaha, mmeanza kututenga wazee...mimi ni babu yako!Nimeelewa kwamba wewe ni babu kwa mbaliii🤣🤣
Kwakifupi Wasabato adui yao mkubwa ni Wakatoliki sio Shetani😀😀.Sijawahi kuwasikia Wasabato wakiwashambulia Lutheran,T.A.G,Moravian ila kilasiku utawasikia eti ooh Papa na Marekani ndio alama ya mnyama sasa cha kushangaza makao makuu ya Wasabato wote duniani yapo Marekani hukohuko kwenye nchi wanayoiponda😅😅😅Mimi kila nikipita youtube kwa wasabato nakutana na mashambulizi dhidi ya Papa. Inawezekana ni kweli dhehebu hilo lilianzishwa ili tu kumpinga Papa
Chakushangaza headquarters ya Wasabato ipo Marekani hukohuko wanakosema ndio alama ya 666.Sasa kama wanaamini hivyo si wangeshaondoka wahamie kwenye nchi zingine 😆😆😆Ulaji wa nguruwe
USA&UKATOLIKI(Myama)666
Siku ya Jumamosi
Ndio mafundisho yao makuu wakusanikapo.
Shikamoo😊Hahaha, mmeanza kututenga wazee...mimi ni babu yako!
Marahaba,ila kifo nakigopaa!Shikamoo baba ake na babu yangu🫡
Mbona hao jamaa huwa naona nje ya diniUlaji wa nguruwe
USA&UKATOLIKI(Myama)666
Siku ya Jumamosi
Ndio mafundisho yao makuu wakusanikapo.
Sote tutakufaMarahaba,ila kifo nakigopaa!
Vita vitaanzia Hukohuko Marekani!Kwakifupi Wasabato adui yao mkubwa ni Wakatoliki sio Shetani😀😀.Sijawahi kuwasikia Wasabato wakiwashambulia Lutheran,T.A.G,Moravian ila kilasiku utawasikia eti ooh Papa na Marekani ndio alama ya mnyama sasa cha kushangaza makao makuu ya Wasabato wote duniani yapo Marekani hukohuko kwenye nchi wanayoiponda😅😅😅
Marahaba mjukuu!Shikamoo😊
Agano la kale lipo?Hakuna agano jipya.
Walioigawanya na kuipanga Biblia ndio waliamua kuita hivyo.
Agano la kale lipo,Ni Mwanzo Hadi Malaki,Agano jipya ni Mathayo Hadi Ufunuo.Agano la kale lipo?
Hapo ndio inaitwa Biblia.Agano la kale lipo,Ni Mwanzo Hadi Malaki,Agano jipya ni Mathayo Hadi Ufunuo.
Naelewa lipo ila nilikuwa na maana fulani kumuuliza mtibeli hilo swali.Agano la kale lipo,Ni Mwanzo Hadi Malaki,Agano jipya ni Mathayo Hadi Ufunuo.
Kaingia mitini!Naelewa lipo ila nilikuwa na maana fulani kumuuliza mtibeli hilo swali.
Agano la kale lipo?