Ukiondoa haya, hakuna usabato

Ukiondoa haya, hakuna usabato

Mimi dhehebu langu ni Msabato.

Wasabato tunaweza kuwa na madhaifu fulani lakini katika mafundisho tumesheheni.

Usabato ni biblia nzima. Ni sheria za Mungu wa Torati.
Mimi kila nikipita youtube kwa wasabato nakutana na mashambulizi dhidi ya Papa. Inawezekana ni kweli dhehebu hilo lilianzishwa ili tu kumpinga Papa
 
Back
Top Bottom