Hakika wananchi tunataka kuona siasa za kistaarabuu kama Rais Samia Suluhu alivyoagizaMama ashukuriwe sana kwa kuirejesha na kuimarisha demokrasia ya vyama vingi nchini.
Sasa kinacho takiwa kwa wanasiasa ni kutumia uhuru vyema kwa kuiweka Tanzania mbele sio kupandikiza chuki na kuchochea vurugu.
Wananchi tunataka kusikia siasa za maendeleo sio matusi na kejeli.