Ukiona Picha hii Unajisikiaje?

Ukiona Picha hii Unajisikiaje?

Mama ashukuriwe sana kwa kuirejesha na kuimarisha demokrasia ya vyama vingi nchini.

Sasa kinacho takiwa kwa wanasiasa ni kutumia uhuru vyema kwa kuiweka Tanzania mbele sio kupandikiza chuki na kuchochea vurugu.

Wananchi tunataka kusikia siasa za maendeleo sio matusi na kejeli.
Hakika wananchi tunataka kuona siasa za kistaarabuu kama Rais Samia Suluhu alivyoagiza
 
Sioni kama hicho kikundi kinaweza kushika nchi ...Bado wanahitaji kujitangaza zaidi kwa sasa pametulia wapambane na sera safi maana 2025 ni kama keshokutwa tu ...


Wazidi kutumia hii nafasi kupata ushawishi mkubwa kila mkoa na kanda zote hii itawaletea nguvu zaidi ila kwa ....Kundi kama vijana bodaboda kwa nyuma hapo ndo wengi wakae nao vizuri sio.


Kwa hao labda kutetea viti bungeni uwezo mkubwa wanao ila sio kushika nchi ...Bado sana wafanye dominance mda upo wa kutosha wazunguke kanda zote kujenga ushawishi.
 
Sioni kama hicho kikundi kinaweza kushika nchi ...Bado wanahitaji kujitangaza zaidi kwa sasa pametulia wapambane na sera safi maana 2025 ni kama keshokutwa tu ...


Wazidi kutumia hii nafasi kupata ushawishi mkubwa kila mkoa na kanda zote hii itawaletea nguvu zaidi ila kwa ....Kundi kama vijana bodaboda kwa nyuma hapo ndo wengi wakae nao vizuri sio.


Kwa hao labda kutetea viti bungeni uwezo mkubwa wanao ila sio kushika nchi ...Bado sana wafanye dominance mda upo wa kutosha wazunguke kanda zote kujenga ushawishi.
JamiiForums195514995_540x540.jpg
 
Hebu itazame kwa makini halafu tuambie.

View attachment 2535070
Miongoni mwa watu hawa unaowaona hapo hakuna ambaye hajawahi kukamatwa, kufungwa jela au kulogwa, lakini kwa nguvu ya Mungu leo wanadunda.

Utukufu wa Mungu ni wa Ajabu sana.

Je, yale ya Hichilema wa Zambia yatajirudia 2025 nchini Tanzania?
Naona niwendawazimu wanahanja barabarani
 
Hebu itazame kwa makini halafu tuambie.

View attachment 2535070
Miongoni mwa watu hawa unaowaona hapo hakuna ambaye hajawahi kukamatwa, kufungwa jela au kulogwa, lakini kwa nguvu ya Mungu leo wanadunda.

Utukufu wa Mungu ni wa Ajabu sana.

Je, yale ya Hichilema wa Zambia yatajirudia 2025 nchini Tanzania?
Hili ni kundi la wahuni ndugu
 
Unashindwa kujua hivi naa huyu atabadilika kama wale waliopata vyeo?

Nchi masikini ukipata madaraka unasahau ulikotoka unaanza kejeli na dhihaka kwa waliokupa ugali

Tunawajua wengi sana
Usimuamini mtu maishani period
 
Hebu itazame kwa makini halafu tuambie.

View attachment 2535070
Miongoni mwa watu hawa unaowaona hapo hakuna ambaye hajawahi kukamatwa, kufungwa jela au kulogwa, lakini kwa nguvu ya Mungu leo wanadunda.

Utukufu wa Mungu ni wa Ajabu sana.

Je, yale ya Hichilema wa Zambia yatajirudia 2025 nchini Tanzania?
Nachoona ni sura geni mingi ila kwajili kitu cheusi kina onekana mapema kwenye rangi nyeupe wenye pupa wata bebwa wengi na pupa
 
Hebu itazame kwa makini halafu tuambie.

View attachment 2535070
Miongoni mwa watu hawa unaowaona hapo hakuna ambaye hajawahi kukamatwa, kufungwa jela au kulogwa, lakini kwa nguvu ya Mungu leo wanadunda.

Utukufu wa Mungu ni wa Ajabu sana.

Je, yale ya Hichilema wa Zambia yatajirudia 2025 nchini Tanzania?
Sasa wavuta bange na wezi wa wa magari wasikamatwe?

KENGE
 
Back
Top Bottom