melusine8
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 6,299
- 7,748
Hapo simuoni Dr. Slaa,
Maana upende usipende Dr. Slaa ndio nguzo ya chadema,
Pamoja na Covid 19, wale kina mama ni ngangari haswa!
Hapo simuoni Dr. Slaa,
Maana upende usipende Dr. Slaa ndio nguzo ya chadema,
Sioni kama hicho kikundi kinaweza kushika nchi ...Bado wanahitaji kujitangaza zaidi kwa sasa pametulia wapambane na sera safi maana 2025 ni kama keshokutwa tu ...
Wazidi kutumia hii nafasi kupata ushawishi mkubwa kila mkoa na kanda zote hii itawaletea nguvu zaidi ila kwa ....Kundi kama vijana bodaboda kwa nyuma hapo ndo wengi wakae nao vizuri sio.
Kwa hao labda kutetea viti bungeni uwezo mkubwa wanao ila sio kushika nchi ...Bado sana wafanye dominance mda upo wa kutosha wazunguke kanda zote kujenga ushawishi.
Not appealing to people who are allergic to conmen.
Hebu itazame kwa makini halafu tuambie.
View attachment 2535070
Miongoni mwa watu hawa unaowaona hapo hakuna ambaye hajawahi kukamatwa, kufungwa jela au kulogwa, lakini kwa nguvu ya Mungu leo wanadunda.
Utukufu wa Mungu ni wa Ajabu sana.
Je, yale ya Hichilema wa Zambia yatajirudia 2025 nchini Tanzania?
Kila siku siyo JumapiliMmeanza kua wehu mapema, chadema haiwezi kupewa nchi kwa karatasi za kura, mlishinda 2015 na hamkupewa hivo hamna jipya
Nani kakwambia bodaboda wamelaaniwa? Kazi yao ndio imelaaniwa.Wananchi gani hawa waliyolaaniwa?(bodaboda)
Naona hadi Slaa akili imeanza kumrudiHebu itazame kwa makini halafu tuambie.
View attachment 2535070
Miongoni mwa watu hawa unaowaona hapo hakuna ambaye hajawahi kukamatwa, kufungwa jela au kulogwa, lakini kwa nguvu ya Mungu leo wanadunda.
Utukufu wa Mungu ni wa Ajabu sana.
Je, yale ya Hichilema wa Zambia yatajirudia 2025 nchini Tanzania?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Nani kakwambia bodaboda wamelaaniwa? Kazi yao ndio imelaaniwa.
Ni kama Magu, hakuna aliyesema amelaaniwa bali yale matendo yake ndio yalikuwa yamelaaniwa.
Na ndio maana alipoambiwa aache kujifananisha na Mungu haraka la sivyo atakufa na alipopuuza ilitumwa corona tuu kumfyeka na hakukuwepo wa kuzuia
Nikiona picha hiyo najisikia NÒ ESCAPE FROM SOBIBO.Hebu itazame kwa makini halafu tuambie.
View attachment 2535070
Miongoni mwa watu hawa unaowaona hapo hakuna ambaye hajawahi kukamatwa, kufungwa jela au kulogwa, lakini kwa nguvu ya Mungu leo wanadunda.
Utukufu wa Mungu ni wa Ajabu sana.
Je, yale ya Hichilema wa Zambia yatajirudia 2025 nchini Tanzania?
Kwenu wapi? North Korea, China, Russia au BelarusianHivi wenzetu huko nao wanafanya mambo kama hayo?
Lema Bwana umerudi na ndoto za alinacha. Kauli yako kwa Boda Boda itakupa pigo na kizungu chako Cha kihuni "shit men". Utajua rangi halisi ya watanzania 2025Hebu itazame kwa makini halafu tuambie.
View attachment 2535070
Miongoni mwa watu hawa unaowaona hapo hakuna ambaye hajawahi kukamatwa, kufungwa jela au kulogwa, lakini kwa nguvu ya Mungu leo wanadunda.
Utukufu wa Mungu ni wa Ajabu sana.
Je, yale ya Hichilema wa Zambia yatajirudia 2025 nchini Tanzania?
Mtu anayefanya kitu chenye laana anakwepaje laana na kuwa mwenye laana? Kwa mujibu wa Nabii Lema ni kwamba Bodaboda ni laana hivyo wenye kujihusisha na kuendesha bodaboda ni watu wa laana, sasa sijui unaogopa nini kunyoosha maelezo?Nani kakwambia bodaboda wamelaaniwa? Kazi yao ndio imelaaniwa.
Ni kama Magu, hakuna aliyesema amelaaniwa bali yale matendo yake ndio yalikuwa yamelaaniwa.
Na ndio maana alipoambiwa aache kujifananisha na Mungu haraka la sivyo atakufa na alipopuuza ilitumwa corona tuu kumfyeka na hakukuwepo wa kuzuia
Mimi kwangu ni Tanzania.Kwenu wapi? North Korea, China, Russia au Belarusian
Kulogwa? Na nani wakati wachawi wote wako CHADEMAHebu itazame kwa makini halafu tuambie.
View attachment 2535070
Miongoni mwa watu hawa unaowaona hapo hakuna ambaye hajawahi kukamatwa, kufungwa jela au kulogwa, lakini kwa nguvu ya Mungu leo wanadunda.
Utukufu wa Mungu ni wa Ajabu sana.
Je, yale ya Hichilema wa Zambia yatajirudia 2025 nchini Tanzania?
Historia ya huyu bwana na mikasa aliyopitia hadi akafika hapo alipo binafsi siijui.Je, yale ya Hichilema wa Zambia yatajirudia 2025 nchini Tanzania?
Hichilema amekamatwa na kufungwa mara nyingi sana chini ya utawala wa Dikteta Lungu , mara ya mwisho alipewa uhaini pale alipokataa kupisha msafara wa Rais barabara iliyokuwa mbali na msafara huo , akatolewa jela kwa shinikizo la Wazungu kama alivyotolewa Mbowe .Historia ya huyu bwana na mikasa aliyopitia hadi akafika hapo alipo binafsi siijui.
Lakini kwa sasa amejipambanua wazi kabisa kwamba kiongozi huyo ni kwa maslahi ya nchi anayoongoza. Kwa hilo ninamkubali sana.
Ninachoweza kuchangia hapa kidogo na kumtofautisha yeye na hawa wetu hapa CHADEMA ni kwamba "Jamaa hakutekwa masaa machache akiwa njiani kuelekea huko aliko sasa.
Hii ndiyo itakayokuwa tofauti kubwa sana kati ya yeye na hawa wa hapa kwetu CHADEMA.
Ninaelewa bado kuna mawingu/moshi/mvuke tele kuiona hali halisi itakavyokuwa hapa kwetu, lakini dalili zinaonyesha mwelekeo unakokwenda sasa hivi.
Kwa hiyo ninakutahadharisha kuweka mlinganisho huo na kufikia hitimisho lolote kwa sasa.
Naukubali huo "mfananisho" hadi hapo mwisho wa sentensi "...alivyotolewa Mbowe."Hichilema amekamatwa na kufungwa mara nyingi sana chini ya utawala wa Dikteta Lungu , mara ya mwisho alipewa uhaini pale alipokataa kupisha msafara wa Rais barabara iliyokuwa mbali na msafara huo , akatolewa jela kwa shinikizo la Wazungu kama alivyotolewa Mbowe .
Huu ndio ufanano wake na Chadema .
Aliyekuwa kawafunga kwa hila kafaaaa k mmqHebu itazame kwa makini halafu tuambie.
View attachment 2535070
Miongoni mwa watu hawa unaowaona hapo hakuna ambaye hajawahi kukamatwa, kufungwa jela au kulogwa, lakini kwa nguvu ya Mungu leo wanadunda.
Utukufu wa Mungu ni wa Ajabu sana.
Je, yale ya Hichilema wa Zambia yatajirudia 2025 nchini Tanzania?
Majadiliano hayajawahi kuwa na mwisho mbaya , wala hakuna haja ya kuyaogopaNaukubali huo "mfananisho" hadi hapo mwisho wa sentensi "...alivyotolewa Mbowe."
Baada ya "Hichilema kutolewa..." na yeye alimwagiwa maji ya barafu kumpoza? Hapo ndipo sipajui bado.
Na hapo ndipo panapoweza kuwa na tofauti kubwa kabisa kuhusu mlinganisho huo.