Hahaha
Siasa hazikwepekiUkifuatilia sana siasa za bongo, lazima uwe mtumwa wa fikra za wanasiasa
Magwanda mtavaa. Maandamano mtafanya. Mikutano mtafanya. Lakini kuongoza Serikali au Bunge Tukufu la nchi hii ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, SAHAUNI KABISA!Hebu itazame kwa makini halafu tuambie.
View attachment 2535070
Miongoni mwa watu hawa unaowaona hapo hakuna ambaye hajawahi kukamatwa, kufungwa jela au kulogwa, lakini kwa nguvu ya Mungu leo wanadunda.
Utukufu wa Mungu ni wa Ajabu sana.
Je, yale ya Hichilema wa Zambia yatajirudia 2025 nchini Tanzania?
wewe ni nani ?Magwanda mtavaa. Maandamano mtafanya. Mikutano mtafanya. Lakini kuongoza Serikali au Bunge Tukufu la nchi hii ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, SAHAUNI KABISA!
ccmKulogwa??
Wanalogwa na TLP au UDP??
Hakujawahi kuwa na siasa za matusi kutoka opposition parties kwa TZ, Jiwe ndiyo ali-brainwash watu wake kuwa ukisemwa ukweli unaomuhusu yeye basi itafsiriwe kwamba ametukanwa kwake siasa za kistaarabu ilikuwa ni pale anaposifiwa tu yaani hata ukiwa na mtazamo tofauti naye kwenye issue yoyote hilo lilitafsiriwa kama tusi.Mama ashukuriwe sana kwa kuirejesha na kuimarisha demokrasia ya vyama vingi nchini.
Sasa kinacho takiwa kwa wanasiasa ni kutumia uhuru vyema kwa kuiweka Tanzania mbele sio kupandikiza chuki na kuchochea vurugu.
Wananchi tunataka kusikia siasa za maendeleo sio matusi na kejeli.
Yule ngiri traitor hafai na kumuweka hapo ni kukiweka chama rehani japo nimesikia yuko anabembeleza wampokee, wakikubali litakuwa ni kosa kubwa sana kwani msemo wa 'once bitten twice shy' huwa na maana kubwa sana.Hapo simuoni Dr. Slaa,
Maana upende usipende Dr. Slaa ndio nguzo ya chadema,
Hebu itazame kwa makini halafu tuambie.
View attachment 2535070
Miongoni mwa watu hawa unaowaona hapo hakuna ambaye hajawahi kukamatwa, kufungwa jela au kulogwa, lakini kwa nguvu ya Mungu leo wanadunda.
Utukufu wa Mungu ni wa Ajabu sana.
Je, yale ya Hichilema wa Zambia yatajirudia 2025 nchini Tanzania?
I am Whom I am!wewe ni nani ?
Soma post yako tena !Kipi kimekuonesha kuwa Mimi mgeni!?
Magufuri alishapitisha chekecheke, pumba zote zilienda CCMTatizo siasa za bongo uongo na usaliti ni mwingi
Wote hao wamekwisha umizwa bila makosa, ya Zambia hayawezi kufanyika Tanzania kwsni hapa tayari rais amekwisha simikwa bado tu kuapishwa, wenyewe wanasema utamaduni wao ni miaka kumi!Hebu itazame kwa makini halafu tuambie.
View attachment 2535070
Miongoni mwa watu hawa unaowaona hapo hakuna ambaye hajawahi kukamatwa, kufungwa jela au kulogwa, lakini kwa nguvu ya Mungu leo wanadunda.
Utukufu wa Mungu ni wa Ajabu sana.
Je, yale ya Hichilema wa Zambia yatajirudia 2025 nchini Tanzania?
Hao wote ni wachumia tumbo tu,kama waliopo madarakani tu.