Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,426
- 283,680
Hebu itazame kwa makini halafu tuambie.
Miongoni mwa watu hawa unaowaona hapo hakuna ambaye hajawahi kukamatwa, kufungwa jela au kulogwa, lakini kwa nguvu ya Mungu leo wanadunda.
Utukufu wa Mungu ni wa Ajabu sana.
Je, yale ya Hichilema wa Zambia yatajirudia 2025 nchini Tanzania?
Miongoni mwa watu hawa unaowaona hapo hakuna ambaye hajawahi kukamatwa, kufungwa jela au kulogwa, lakini kwa nguvu ya Mungu leo wanadunda.
Utukufu wa Mungu ni wa Ajabu sana.
Je, yale ya Hichilema wa Zambia yatajirudia 2025 nchini Tanzania?