Ukiona Mtu anashabikia Ubabe Wa CAG

Ukiona Mtu anashabikia Ubabe Wa CAG

Kwani wabunge wanatetea maslahi ya nani wewee. Tatizo ni lile neno...ni lini CAG alifanya tathmini ya utendaji wa bunge na kutoa hiyo ripoti kwa vyombo husika..? Swali hili hakina jibu..sasa iweje leo anaitathmini bunge mdomoni tu ghafla bila research findings..wajameni hivi CAG si msomi yule au...sio...anatia aibu wasomi nchi hii..hiviiii yule..ni..........yaani najizuia kusema maneno mabaya kwasababu natumia busara..siropoki..vinginevyo ningekuwa sina busara ningeropoka maneno mabaya sana hapa..inaudhi sana..hivi niulize ameshawahi kuwasikia CAG waliopita wakina Utouh..wakitoa maneno kama hayo..? Au udhaifu umeanza awamu hii atuambie basi..na huko awamu nyingine hakukukuwa na udhaifu..sawa...?

Povu kama lote.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mtu huyo Lazima atakuwa na tabia za Kichadema, Tabia za kutaka Taifa liharibikiwe tu, kutaka Serikali iliyoko madarakani iharibikiwe, kutaka CCM iharibikiwe, Mijitu hii ni Rahisi mno kuijua. Kwa kupitia comments mitandaoni
Kwa hiyo wewe unashabikia ubabe wa Spika ?!. Ya kutaka watu wapigwe pingu kumfurahisha nafsi !! Hii ndiyo sifa ya ki ccm . Umefirisika mawazo kama si akili.

CAG anasababishaje serikali kushindwa kuongoza ?!
Mleta mada mpuuzi kabisa
 
Mtu huyo Lazima atakuwa na tabia za Kichadema, Tabia za kutaka Taifa liharibikiwe tu, kutaka Serikali iliyoko madarakani iharibikiwe, kutaka CCM iharibikiwe, Mijitu hii ni Rahisi mno kuijua. Kwa kupitia comments mitandaoni
Sikujua kwamba wewe ndo ******!!
 
Pole Sana mkuu bilashaka utakuwa mrengwa upande was kulia
Kwani wabunge wanatetea maslahi ya nani wewee. Tatizo ni lile neno...ni lini CAG alifanya tathmini ya utendaji wa bunge na kutoa hiyo ripoti kwa vyombo husika..? Swali hili hakina jibu..sasa iweje leo anaitathmini bunge mdomoni tu ghafla bila research findings..wajameni hivi CAG si msomi yule au...sio...anatia aibu wasomi nchi hii..hiviiii yule..ni..........yaani najizuia kusema maneno mabaya kwasababu natumia busara..siropoki..vinginevyo ningekuwa sina busara ningeropoka maneno mabaya sana hapa..inaudhi sana..hivi niulize ameshawahi kuwasikia CAG waliopita wakina Utouh..wakitoa maneno kama hayo..? Au udhaifu umeanza awamu hii atuambie basi..na huko awamu nyingine hakukukuwa na udhaifu..sawa...?
 
Kwani wabunge wanatetea maslahi ya nani wewee. Tatizo ni lile neno...ni lini CAG alifanya tathmini ya utendaji wa bunge na kutoa hiyo ripoti kwa vyombo husika..? Swali hili hakina jibu..sasa iweje leo anaitathmini bunge mdomoni tu ghafla bila research findings..wajameni hivi CAG si msomi yule au...sio...anatia aibu wasomi nchi hii..hiviiii yule..ni..........yaani najizuia kusema maneno mabaya kwasababu natumia busara..siropoki..vinginevyo ningekuwa sina busara ningeropoka maneno mabaya sana hapa..inaudhi sana..hivi niulize ameshawahi kuwasikia CAG waliopita wakina Utouh..wakitoa maneno kama hayo..? Au udhaifu umeanza awamu hii atuambie basi..na huko awamu nyingine hakukukuwa na udhaifu..sawa...?
hivi wewe msemaji wa serikali ya ccm, ulitaka cag afanye utafiti upi zaidi ya ripoti ya ukaguzi aliyowapelekea wabunge mwaka jana ikiwa na kila taarifa ya mapato na matumizi na jinsi pesa zilivyoliwa lakini bunge halikufanya kazi yake ya kuishauri serikali kama sehemu ya wajibu wao?
Ni vyombo gani vilitakiwa kupewa taarifa hiyo vinavyohusika na bunge zaidi ya wananchi?
Wananchi ndio wamiliki wa bunge na siyo kinyume chake na ndio maana tunamtaka spika aongoze mjadala wa ripoti ya cag na siyo mipasho ya kutaka ajiuzulu kwani yeye siyo kazi yake na siyo mwajiri wake!
Ccm mkiamua kumuunga mkono spika mjiandae kupotea kwenye ramani za siasa za bongo kwani ukimya na utulivu wa wananchi haumaanishi kuwa ni wajinga bali wanatafuta pa kuwafyekelea mbali!
 
Mtu huyo Lazima atakuwa na tabia za Kichadema, Tabia za kutaka Taifa liharibikiwe tu, kutaka Serikali iliyoko madarakani iharibikiwe, kutaka CCM iharibikiwe, Mijitu hii ni Rahisi mno kuijua. Kwa kupitia comments mitandaoni
We fala CAG hajawekwa na chama chochote zaidi ya katiba! Yupo kwa matakwa ya kisheria not matakwa ya CCM wala polepole.
 
Mtu huyo Lazima atakuwa na tabia za Kichadema, Tabia za kutaka Taifa liharibikiwe tu, kutaka Serikali iliyoko madarakani iharibikiwe, kutaka CCM iharibikiwe, Mijitu hii ni Rahisi mno kuijua. Kwa kupitia comments mitandaoni
Duh
Screenshot_2019-04-19_203716.jpg
 
Mkuu kuna mambo hayahitaji Siasa,kama kila kitu kinafanywa kisiasa ni hatari na UDHAIFU
 
Mtu huyo Lazima atakuwa na tabia za Kichadema, Tabia za kutaka Taifa liharibikiwe tu, kutaka Serikali iliyoko madarakani iharibikiwe, kutaka CCM iharibikiwe, Mijitu hii ni Rahisi mno kuijua. Kwa kupitia comments mitandaoni
Jibuni kwanza madudu yaliyopo kwenye ripoti ya CAG ndio muendelee chuki zenu dhidi ya wengine.
 
CAG ni mteule Wa Nani, aliyemteua nikutoka Chama gani, na Serikali ya chama gani? Fikiria kabla ya kubwbwaja
Hapana mkuu! Wabunge wa ccm wapo pale kutetea maslahi yao na ya chama Chao tu! Ndiyo maana waliipinga katiba mpya,na sasa hawataki CAG! Na Cag yupo pale kulinda maslahi ya wananchi dhidi ya serikali ambayo wabunge wa ccm ni sehemu yake!
 
Mtu huyo Lazima atakuwa na tabia za Kichadema, Tabia za kutaka Taifa liharibikiwe tu, kutaka Serikali iliyoko madarakani iharibikiwe, kutaka CCM iharibikiwe, Mijitu hii ni Rahisi mno kuijua. Kwa kupitia comments mitandaoni
Tuharibikiwe mara ya ngapi?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wewe ndiye uliyefilisika vibaya sana, CAG ni Mteule Wa Nani, badala ya kumsifia Mbowe kwa kukopa Mamilioni ya Chama Chake wewe unakomaa na CAG ukiacha chama chako kikiteketea
Kwa hiyo wewe unashabikia ubabe wa Spika ?!. Ya kutaka watu wapigwe pingu kumfurahisha nafsi !! Hii ndiyo sifa ya ki ccm . Umefirisika mawazo kama si akili.

CAG anasababishaje serikali kushindwa kuongoza ?!
Mleta mada mpuuzi kabisa
 
Katiba ipi? Maana ya 1977 mliikataa, mkataka ya Waryoba. Leo tena umesahau? Kweli ubongo Wa Panzi ni shida
We fala CAG hajawekwa na chama chochote zaidi ya katiba! Yupo kwa matakwa ya kisheria not matakwa ya CCM wala polepole.
 
Back
Top Bottom