Ukiona Mtu anashabikia Ubabe Wa CAG

Ukiona Mtu anashabikia Ubabe Wa CAG

Kichwani hazitoshi. Unaona ufahali gani mtu mmemuita kqenye kamati amekuja mmejadili na baadae unakataa taarifa ya jinsi pesa za wanyonge zinavyotumika.
Unaona heri kugomea na mmejadili nae akakuelewesha neno dhaifu hata hivyo akakuambia pole kwa kuwa nimekupeleka mbali kwa kutoelewana terminology kesho yake unagoma UNAFIKI na u mama mama kabisa.
Sina chama ila ni mzalendo wa kweli
 
Kwani wabunge wanatetea maslahi ya nani wewee. Tatizo ni lile neno...ni lini CAG alifanya tathmini ya utendaji wa bunge na kutoa hiyo ripoti kwa vyombo husika..? Swali hili hakina jibu..sasa iweje leo anaitathmini bunge mdomoni tu ghafla bila research findings..wajameni hivi CAG si msomi yule au...sio...anatia aibu wasomi nchi hii..hiviiii yule..ni..........yaani najizuia kusema maneno mabaya kwasababu natumia busara..siropoki..vinginevyo ningekuwa sina busara ningeropoka maneno mabaya sana hapa..inaudhi sana..hivi niulize ameshawahi kuwasikia CAG waliopita wakina Utouh..wakitoa maneno kama hayo..? Au udhaifu umeanza awamu hii atuambie basi..na huko awamu nyingine hakukukuwa na udhaifu..sawa...?
CAG anatoa mapendekezo baada ya report ambayo bunge linatakiwa lifanyie kazi, sasa kama haliwezi kufanyia kazi kwa mjibu wa sheria unataka nn?
 
Kwani wabunge wanatetea maslahi ya nani wewee. Tatizo ni lile neno...ni lini CAG alifanya tathmini ya utendaji wa bunge na kutoa hiyo ripoti kwa vyombo husika..? Swali hili hakina jibu..sasa iweje leo anaitathmini bunge mdomoni tu ghafla bila research findings..wajameni hivi CAG si msomi yule au...sio...anatia aibu wasomi nchi hii..hiviiii yule..ni..........yaani najizuia kusema maneno mabaya kwasababu natumia busara..siropoki..vinginevyo ningekuwa sina busara ningeropoka maneno mabaya sana hapa..inaudhi sana..hivi niulize ameshawahi kuwasikia CAG waliopita wakina Utouh..wakitoa maneno kama hayo..? Au udhaifu umeanza awamu hii atuambie basi..na huko awamu nyingine hakukukuwa na udhaifu..sawa...?
Kwa uandishi huu,Hii ni type ya watu kama Henry Kisanduku, yule aliyemtolea Nape bastola Hanna kitu kichwani
 
Kwani wabunge wanatetea maslahi ya nani wewee. Tatizo ni lile neno...ni lini CAG alifanya tathmini ya utendaji wa bunge na kutoa hiyo ripoti kwa vyombo husika..? Swali hili hakina jibu..sasa iweje leo anaitathmini bunge mdomoni tu ghafla bila research findings..wajameni hivi CAG si msomi yule au...sio...anatia aibu wasomi nchi hii..hiviiii yule..ni..........yaani najizuia kusema maneno mabaya kwasababu natumia busara..siropoki..vinginevyo ningekuwa sina busara ningeropoka maneno mabaya sana hapa..inaudhi sana..hivi niulize ameshawahi kuwasikia CAG waliopita wakina Utouh..wakitoa maneno kama hayo..? Au udhaifu umeanza awamu hii atuambie basi..na huko awamu nyingine hakukukuwa na udhaifu..sawa...?
Alisema hivi Bunge ni dhaifu, linashindwa kusimamia serikali.. Tathmini ilikuwa kupitia 1.5T mbayo hadi leo mimi na wewe hatujui zilikwenda wapi na pamoja na ripoti kupelekwa bungeni, bado bunge halifanya chochote
 
Pia ukiona mtu anamshabikia Ndugaye kwenye sakata la kukataa kufanya kazi na CAG basi jua akili zake zimefungiwa nira
Mtu huyo Lazima atakuwa na tabia za Kichadema, Tabia za kutaka Taifa liharibikiwe tu, kutaka Serikali iliyoko madarakani iharibikiwe, kutaka CCM iharibikiwe, Mijitu hii ni Rahisi mno kuijua. Kwa kupitia comments mitandaoni
 
Huyo ni chimia tumbo tu
Sasa ndugu uko mzima kweli cag hana chma anatetea masilahi ya watanzania wote,yaani masilahi ya taifa kwa ujumla sasa unatakaje?haki ya mungu watanzania sijui tunalaana gani mimi hata sikuelewi kabisa mtu wewe mimi ccm dam lakini sikuelewi ndugu yangu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Majizi utayajua tu kwa kupitia nyuzi au komenti zao, yanajificha ficha lakini inafika siku yanashindwa na kujiexposed.
 
CAG ni msomi kuliko maccm wote na neno alilotumia ni sahihi
Kwani wabunge wanatetea maslahi ya nani wewee. Tatizo ni lile neno...ni lini CAG alifanya tathmini ya utendaji wa bunge na kutoa hiyo ripoti kwa vyombo husika..? Swali hili hakina jibu..sasa iweje leo anaitathmini bunge mdomoni tu ghafla bila research findings..wajameni hivi CAG si msomi yule au...sio...anatia aibu wasomi nchi hii..hiviiii yule..ni..........yaani najizuia kusema maneno mabaya kwasababu natumia busara..siropoki..vinginevyo ningekuwa sina busara ningeropoka maneno mabaya sana hapa..inaudhi sana..hivi niulize ameshawahi kuwasikia CAG waliopita wakina Utouh..wakitoa maneno kama hayo..? Au udhaifu umeanza awamu hii atuambie basi..na huko awamu nyingine hakukukuwa na udhaifu..sawa...?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Umeandika mataputapu tupu
Mtu huyo Lazima atakuwa na tabia za Kichadema, Tabia za kutaka Taifa liharibikiwe tu, kutaka Serikali iliyoko madarakani iharibikiwe, kutaka CCM iharibikiwe, Mijitu hii ni Rahisi mno kuijua. Kwa kupitia comments mitandaoni
 
CAG alikuza mambo kwa kushindwa kung'amua mbinu bora ya kutuliza mambo aliyoyavuruga ile ya kushuka ili alingane na wenzake. "Professionalism" ilikosekana kwa Professor!!!
 
CAG ni mteule Wa Nani, aliyemteua nikutoka Chama gani, na Serikali ya chama gani? Fikiria kabla ya kubwbwaja
Basi kama munampinga mteule na aliyemteua hayupo upande wenu ni vyema mngemkataa na aliyemteua!unless naye awe upande wenu,na akiwa upande wenu basi yupo kinyume na waliomchagua! Maana issue ya Cag na spika ****** ni personal! Ila wabunge wa ccm ambao wengi ni mapopoma wameamua kusimama na ****** japo hawaamini anachokiamini ******!!ila taratibu mtaelewa tu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
CAG alikuza mambo kwa kushindwa kung'amua mbinu bora ya kutuliza mambo aliyoyavuruga ile ya kushuka ili alingane na wenzake. "Professionalism" ilikosekana kwa Professor!!!
Aliyekuza mambo ni spika!wala si Cag
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mpumbavu ndio atakuelewa haswa kutoka lumumba,mtu unaiba toka ameingia madarakani huku spika akitibiwa marukanga yake nje ya nchi kwa bilioni wakti cd4 hata muhimbili wanaongeza kiroho safi...pumbavu wahed wewe
Mtu huyo Lazima atakuwa na tabia za Kichadema, Tabia za kutaka Taifa liharibikiwe tu, kutaka Serikali iliyoko madarakani iharibikiwe, kutaka CCM iharibikiwe, Mijitu hii ni Rahisi mno kuijua. Kwa kupitia comments mitandaoni
 
kp-aprili18-2019-jpg.1076177


Kisiki kimewashinda sasa wanabaki kulia lia.
 
Alisema hivi Bunge ni dhaifu, linashindwa kusimamia serikali.. Tathmini ilikuwa kupitia 1.5T mbayo hadi leo mimi na wewe hatujui zilikwenda wapi na pamoja na ripoti kupelekwa bungeni, bado bunge halifanya chochote
Hahahah nashindwa kuelewa huu ndio mwisho wa akili yako sio. Basi sawa..
 
Back
Top Bottom