Ukiona Mtu anashabikia Ubabe Wa CAG

unasemaaa
Screenshot_2019-04-14-15-48-41-1.jpeg
 
Sasa ndugu uko mzima kweli cag hana chma anatetea masilahi ya watanzania wote,yaani masilahi ya taifa kwa ujumla sasa unatakaje?haki ya mungu watanzania sijui tunalaana gani mimi hata sikuelewi kabisa mtu wewe mimi ccm dam lakini sikuelewi ndugu yangu.
Kwani wabunge wanatetea maslahi ya nani wewee. Tatizo ni lile neno...ni lini CAG alifanya tathmini ya utendaji wa bunge na kutoa hiyo ripoti kwa vyombo husika..? Swali hili hakina jibu..sasa iweje leo anaitathmini bunge mdomoni tu ghafla bila research findings..wajameni hivi CAG si msomi yule au...sio...anatia aibu wasomi nchi hii..hiviiii yule..ni..........yaani najizuia kusema maneno mabaya kwasababu natumia busara..siropoki..vinginevyo ningekuwa sina busara ningeropoka maneno mabaya sana hapa..inaudhi sana..hivi niulize ameshawahi kuwasikia CAG waliopita wakina Utouh..wakitoa maneno kama hayo..? Au udhaifu umeanza awamu hii atuambie basi..na huko awamu nyingine hakukukuwa na udhaifu..sawa...?
 
Punguza mahaba
Kwani wabunge wanatetea maslahi ya nani wewee. Tatizo ni lile neno...ni lini CAG alifanya tathmini ya utendaji wa bunge na kutoa hiyo ripoti kwa vyombo husika..? Swali hili hakina jibu..sasa iweje leo anaitathmini bunge mdomoni tu ghafla bila research findings..wajameni hivi CAG si msomi yule au...sio...anatia aibu wasomi nchi hii..hiviiii yule..ni..........yaani najizuia kusema maneno mabaya kwasababu natumia busara..siropoki..vinginevyo ningekuwa sina busara ningeropoka maneno mabaya sana hapa..inaudhi sana..hivi niulize ameshawahi kuwasikia CAG waliopita wakina Utouh..wakitoa maneno kama hayo..? Au udhaifu umeanza awamu hii atuambie basi..na huko awamu nyingine hakukukuwa na udhaifu..sawa...?
 
Mtu huyo Lazima atakuwa na tabia za Kichadema, Tabia za kutaka Taifa liharibikiwe tu, kutaka Serikali iliyoko madarakani iharibikiwe, kutaka CCM iharibikiwe, Mijitu hii ni Rahisi mno kuijua. Kwa kupitia comments mitandaoni
We kenge kila thread ukianzisha unakosea!!!...Uniona...ukiona...More...Mbowe!!!What is it for?Stop advertising your foolishness
 
Mtu huyo Lazima atakuwa na tabia za Kichadema, Tabia za kutaka Taifa liharibikiwe tu, kutaka Serikali iliyoko madarakani iharibikiwe, kutaka CCM iharibikiwe, Mijitu hii ni Rahisi mno kuijua. Kwa kupitia comments mitandaoni

Sawa sina shaka pombe za weekend zinakunaniliu.

Kumbe hamtaki kuambiwa kuwa mnatukwibia?
Sasa imefika karibu 3.+trilion.
Muueni kama anawafanya msipore kwa uhuru
 
Uko sahihi kabisa.
Kwani wabunge wanatetea maslahi ya nani wewee. Tatizo ni lile neno...ni lini CAG alifanya tathmini ya utendaji wa bunge na kutoa hiyo ripoti kwa vyombo husika..? Swali hili hakina jibu..sasa iweje leo anaitathmini bunge mdomoni tu ghafla bila research findings..wajameni hivi CAG si msomi yule au...sio...anatia aibu wasomi nchi hii..hiviiii yule..ni..........yaani najizuia kusema maneno mabaya kwasababu natumia busara..siropoki..vinginevyo ningekuwa sina busara ningeropoka maneno mabaya sana hapa..inaudhi sana..hivi niulize ameshawahi kuwasikia CAG waliopita wakina Utouh..wakitoa maneno kama hayo..? Au udhaifu umeanza awamu hii atuambie basi..na huko awamu nyingine hakukukuwa na udhaifu..sawa...?
 
Mtu huyo Lazima atakuwa na tabia za Kichadema, Tabia za kutaka Taifa liharibikiwe tu, kutaka Serikali iliyoko madarakani iharibikiwe, kutaka CCM iharibikiwe, Mijitu hii ni Rahisi mno kuijua. Kwa kupitia comments mitandaoni
ww upo upande gani kwanza tujue
 
Mtu huyo Lazima atakuwa na tabia za Kichadema, Tabia za kutaka Taifa liharibikiwe tu, kutaka Serikali iliyoko madarakani iharibikiwe, kutaka CCM iharibikiwe, Mijitu hii ni Rahisi mno kuijua. Kwa kupitia comments mitandaoni
Na hiyo mijitu ndio hii HAPA
tapatalk_1546618366899.jpeg
tapatalk_1537102006512.jpeg
tapatalk_1537986306530.jpeg
 
Kwani wabunge wanatetea maslahi ya nani wewee. Tatizo ni lile neno...ni lini CAG alifanya tathmini ya utendaji wa bunge na kutoa hiyo ripoti kwa vyombo husika..? Swali hili hakina jibu..sasa iweje leo anaitathmini bunge mdomoni tu ghafla bila research findings..wajameni hivi CAG si msomi yule au...sio...anatia aibu wasomi nchi hii..hiviiii yule..ni..........yaani najizuia kusema maneno mabaya kwasababu natumia busara..siropoki..vinginevyo ningekuwa sina busara ningeropoka maneno mabaya sana hapa..inaudhi sana..hivi niulize ameshawahi kuwasikia CAG waliopita wakina Utouh..wakitoa maneno kama hayo..? Au udhaifu umeanza awamu hii atuambie basi..na huko awamu nyingine hakukukuwa na udhaifu..sawa...?
Swali zuri, ndiyo udhaifu wa Bunge umeanza Awamu hii baada wabunge dhaifu wa CCM kumchagua Spika dhaifu ambaye ni mbunge dhaifu fundi wa kupiga rungu wagombea wenzie kupata uongozi.
 
Back
Top Bottom