pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 19,030
- 15,232
Hukuwahi kukumbukwa na uendawazimu kweli wewe? siamini! siamini! kwa vyovyote una ugonjwa wa akili umeshatafuna vyuzi nyingi huko kichwani! Ungejua kazi za CAG na wajibu wake usingaandika huu uharo!Mtu huyo Lazima atakuwa na tabia za Kichadema, Tabia za kutaka Taifa liharibikiwe tu, kutaka Serikali iliyoko madarakani iharibikiwe, kutaka CCM iharibikiwe, Mijitu hii ni Rahisi mno kuijua. Kwa kupitia comments mitandaoni
