Ukiona Mtu anashabikia Ubabe Wa CAG

Mtu huyo Lazima atakuwa na tabia za Kichadema, Tabia za kutaka Taifa liharibikiwe tu, kutaka Serikali iliyoko madarakani iharibikiwe, kutaka CCM iharibikiwe, Mijitu hii ni Rahisi mno kuijua. Kwa kupitia comments mitandaoni
Ni vyema ukatambua kwamba kujitabanaisha na wenye nguvu na kujitenga na wanyonge ni dalili ya kwanza ya udhaifu na unafiki. Pia utambue vyama vya siasa vipo kisheria na ni sehemu ihalalishayo matumizi ya demokrasia katika utawala wa kisiasa nchini. Ujue kuwa mwanachama au mpenzi wa chama chochote cha kisiasa sio kosa na ni dalili ya kwanza ya watu waliopevuka kisiasa. Ni ujinga kufikiria kwamba upinzani wa kisiasa ni uadui. Ni ujinga zaidi kufifisha uwepo utaratibu wa kidemokrasia za kutoa mawazo tofauti na yale ya waliomadarakani. Mfumo wa kidemokrasia tunaoutumia upo baada ya mifumo ya kiimla kushindwa kuendelea kuwepo. Historia inaonyesha nchi na wananchi wake huondoa mifumo ya kiimla kama ya akina Kagame ni suala la muda tu.
 
Kwani wabunge wanatetea maslahi ya nani wewee. Tatizo ni lile neno...ni lini CAG alifanya tathmini ya utendaji wa bunge na kutoa hiyo ripoti kwa vyombo husika..? Swali hili hakina jibu..sasa iweje leo anaitathmini bunge mdomoni tu ghafla bila research findings..wajameni hivi CAG si msomi yule au...sio...anatia aibu wasomi nchi hii..hiviiii yule..ni..........yaani najizuia kusema maneno mabaya kwasababu natumia busara..siropoki..vinginevyo ningekuwa sina busara ningeropoka maneno mabaya sana hapa..inaudhi sana..hivi niulize ameshawahi kuwasikia CAG waliopita wakina Utouh..wakitoa maneno kama hayo..? Au udhaifu umeanza awamu hii atuambie basi..na huko awamu nyingine hakukukuwa na udhaifu..sawa...?
.........."huo utakuwa udhaifu wa bunge"..........
 
CAG:Nimegundua makato yasiyo halali Kwa watumishi.


Mungu shusha pigo Kwa hawa wanyonyaji,mbariki Assad
 
Kwani wabunge wanatetea maslahi ya nani wewee. Tatizo ni lile neno...ni lini CAG alifanya tathmini ya utendaji wa bunge na kutoa hiyo ripoti kwa vyombo husika..? Swali hili hakina jibu..sasa iweje leo anaitathmini bunge mdomoni tu ghafla bila research findings..wajameni hivi CAG si msomi yule au...sio...anatia aibu wasomi nchi hii..hiviiii yule..ni..........yaani najizuia kusema maneno mabaya kwasababu natumia busara..siropoki..vinginevyo ningekuwa sina busara ningeropoka maneno mabaya sana hapa..inaudhi sana..hivi niulize ameshawahi kuwasikia CAG waliopita wakina Utouh..wakitoa maneno kama hayo..? Au udhaifu umeanza awamu hii atuambie basi..na huko awamu nyingine hakukukuwa na udhaifu..sawa...?
Ccm inazidi kulemaza hili Taifa! Ona hiki kituko sasa, hajui hata anatetea nini!
 
Mtu huyo Lazima atakuwa na tabia za Kichadema, Tabia za kutaka Taifa liharibikiwe tu, kutaka Serikali iliyoko madarakani iharibikiwe, kutaka CCM iharibikiwe, Mijitu hii ni Rahisi mno kuijua. Kwa kupitia comments mitandaoni
Waliosema Siyoo wameshinda☻☻
FB_IMG_1555504118860.jpg
 
Uzalendo bwana !!!

Ni kama ule usemi alinifundisha mwalimu wangu wa Darasa la saba

E. Msigala Teacher Big !!! popote ulipo mwl. wangu busara zako bado zinaniongoza hasa katika utawala huu wa kudhalimu

Alinifundisha usemi usemao siku zote ukweli na uongo hujitenga huku akitumia ule mfano maarufu wa mafuta na maji huku akufanya kwa vitendo

Musiba kaka yangu MAKUSUDICALLY kabisaaa umeamua kuuza utu wako kwa kushabikia dhambi zilizo dhahiri mbele ya macho yako

We kweli MAKUSUDICALLY wa kiwango cha shetani

Tunakuona lakini tunakusikia pia picha, maandishi na rekodi mbalimbali yakiwemo magazeti yako lolzinabaki ujue

Kisaikolojoa hasira huku umeshiba japo vya hovyo woga hutanda ila hasira huku unanjaa woga huondoka na ukatili unachukia nafasi

Kumbukeni kwa mwaka wa 2019/2020 kutakua na baa la njaa hivyo watu watakua na hasira huku wakiwa na njaa

Ukiona mwenzio ananyolewa na wewe tia zako maji

Da uzalendo unataka moyo zana
View attachment 1076189
Hivi kumbe ni Musiba ??!!. Tunahangaika na nghweu .
 
Kwani wabunge wanatetea maslahi ya nani wewee. Tatizo ni lile neno...ni lini CAG alifanya tathmini ya utendaji wa bunge na kutoa hiyo ripoti kwa vyombo husika..? Swali hili hakina jibu..sasa iweje leo anaitathmini bunge mdomoni tu ghafla bila research findings..wajameni hivi CAG si msomi yule au...sio...anatia aibu wasomi nchi hii..hiviiii yule..ni..........yaani najizuia kusema maneno mabaya kwasababu natumia busara..siropoki..vinginevyo ningekuwa sina busara ningeropoka maneno mabaya sana hapa..inaudhi sana..hivi niulize ameshawahi kuwasikia CAG waliopita wakina Utouh..wakitoa maneno kama hayo..? Au udhaifu umeanza awamu hii atuambie basi..na huko awamu nyingine hakukukuwa na udhaifu..sawa...?
CAG alikuwa hana haja ya kufanya tathimini yoyote kuhusu utendaji wa kazi wa Bunge la Tanzania, nafikiri kilichomfadhaisha CAG ni pale kazi zake zinazowakilishwa Bungeni kuwa hazifanyiwi kazi..!?

Katika hili Bunge la kupiga Makofi na kusifia kila kitu kinachofanywa na Serikali hata mtoto mdogo ataona kuwa hili Bunge lina Udhaifu wa Utendaji

CAG NI MZALENDO WA KWELI
 
CAG sio ubabe bali msimamo. Na hiv ni vitu viwili tofauti.
Toka report yake itoke alieanzisha balaa ni speaker akataka kuonyesha ubabe. Kagonga mwamba.
Nani mjinga kati ya hao?

Mtu huyo Lazima atakuwa na tabia za Kichadema, Tabia za kutaka Taifa liharibikiwe tu, kutaka Serikali iliyoko madarakani iharibikiwe, kutaka CCM iharibikiwe, Mijitu hii ni Rahisi mno kuijua. Kwa kupitia comments mitandaoni
 
CAG ameteuliwa na rais. Lakin katiba inamntaka rais ameteue. Narudia tena..ni katiba.
Katiba haijasema wala kuahinisha mahali.. kuwa CAG akishateuliwa afanye kazi za ccm..
Bali katika inamtaka atimize majukumu yake kama part ya serikali.

Mjue kutenganisha majukumu ya rais na mwenyekiti wa chama.
CAG ni mteule Wa Nani, aliyemteua nikutoka Chama gani, na Serikali ya chama gani? Fikiria kabla ya kubwbwaja
 
Anyway, sasa hivi ndio nimeelewa; kumbe police wakipiga pesa Tsh 16.6B hutakiwi kusema kama mzalendo wa nchi hi, bwana mhe radio kunda India akiwa mgonjwa anae kaa hotelini kwa muda wa Zaidi ya miezi 6 na kutumia billions of money, hili nalo halitakiwi kujulikana, mzalendo unatakiwa ulifiche; ccm kuzipiga bilioni 3 za NSSF na lenyewe halitakiwi kusemwa popote, ukisema, wewe sio mzalendo kabisa. Wanaotakiwa kuusema wizi ndani ya nchi ni watu ambao sio wazalendo, ni Chadema/ACT pekee yao Kwa kua wao sio wazalendo.
Nadhani tumkumbushe hata mhe No 1 asiseme kama anapiga vita rushwa, maanake kwa kufanya hivyo pia na yeye anakua sio mzalendo.
 
Mtu huyo Lazima atakuwa na tabia za Kichadema, Tabia za kutaka Taifa liharibikiwe tu, kutaka Serikali iliyoko madarakani iharibikiwe, kutaka CCM iharibikiwe, Mijitu hii ni Rahisi mno kuijua. Kwa kupitia comments mitandaoni
Mijitu kama wewe mwenye mtindio ndo kawaida yenu kuona comnent za wengine hazifai
 
Ccm mnatetea ufisadi
Kwani wabunge wanatetea maslahi ya nani wewee. Tatizo ni lile neno...ni lini CAG alifanya tathmini ya utendaji wa bunge na kutoa hiyo ripoti kwa vyombo husika..? Swali hili hakina jibu..sasa iweje leo anaitathmini bunge mdomoni tu ghafla bila research findings..wajameni hivi CAG si msomi yule au...sio...anatia aibu wasomi nchi hii..hiviiii yule..ni..........yaani najizuia kusema maneno mabaya kwasababu natumia busara..siropoki..vinginevyo ningekuwa sina busara ningeropoka maneno mabaya sana hapa..inaudhi sana..hivi niulize ameshawahi kuwasikia CAG waliopita wakina Utouh..wakitoa maneno kama hayo..? Au udhaifu umeanza awamu hii atuambie basi..na huko awamu nyingine hakukukuwa na udhaifu..sawa...?
 
Back
Top Bottom