Ukiona Mtu anashabikia Ubabe Wa CAG

Mtu huyo Lazima atakuwa na tabia za Kichadema, Tabia za kutaka Taifa liharibikiwe tu, kutaka Serikali iliyoko madarakani iharibikiwe, kutaka CCM iharibikiwe, Mijitu hii ni Rahisi mno kuijua. Kwa kupitia comments mitandaoni
Uzalendo bwana !!!

Ni kama ule usemi alinifundisha mwalimu wangu wa Darasa la saba

E. Msigala Teacher Big !!! popote ulipo mwl. wangu busara zako bado zinaniongoza hasa katika utawala huu wa kudhalimu

Alinifundisha usemi usemao siku zote ukweli na uongo hujitenga huku akitumia ule mfano maarufu wa mafuta na maji huku akufanya kwa vitendo

Musiba kaka yangu MAKUSUDICALLY kabisaaa umeamua kuuza utu wako kwa kushabikia dhambi zilizo dhahiri mbele ya macho yako

We kweli MAKUSUDICALLY wa kiwango cha shetani

Tunakuona lakini tunakusikia pia picha, maandishi na rekodi mbalimbali yakiwemo magazeti yako lolzinabaki ujue

Kisaikolojoa hasira huku umeshiba japo vya hovyo woga hutanda ila hasira huku unanjaa woga huondoka na ukatili unachukia nafasi

Kumbukeni kwa mwaka wa 2019/2020 kutakua na baa la njaa hivyo watu watakua na hasira huku wakiwa na njaa

Ukiona mwenzio ananyolewa na wewe tia zako maji

Da uzalendo unataka moyo zana
IMG_20190420_002242.jpeg
 
Mtu huyo Lazima atakuwa na tabia za Kichadema, Tabia za kutaka Taifa liharibikiwe tu, kutaka Serikali iliyoko madarakani iharibikiwe, kutaka CCM iharibikiwe, Mijitu hii ni Rahisi mno kuijua. Kwa kupitia comments mitandaoni

Mods yaani mmemwacha huyu mpumbavu anatamba humu na uzi wake wa chuki?alistahili awe ban.
By the way ,unawachagulia watu ni nani wampinge na nani wamsapoti?
Nani anahangaika na serikali dhaifu hii iliyoshindwa? Unataka ishindwe mara ngapi?
 
Mtu huyo Lazima atakuwa na tabia za Kichadema, Tabia za kutaka Taifa liharibikiwe tu, kutaka Serikali iliyoko madarakani iharibikiwe, kutaka CCM iharibikiwe, Mijitu hii ni Rahisi mno kuijua. Kwa kupitia comments mitandaoni
Wewe mbweha ebu peleka ufala wako huko kwa mbumbumbu vilaza wenzako usirudie tena kuleta ushamba wako hapa jukwaani, tambua kuwa hili ni jukwaa la wenye upeo mkubwa acha kuleta ujinga wako humu.
 
Mtu huyo Lazima atakuwa na tabia za Kichadema, Tabia za kutaka Taifa liharibikiwe tu, kutaka Serikali iliyoko madarakani iharibikiwe, kutaka CCM iharibikiwe, Mijitu hii ni Rahisi mno kuijua. Kwa kupitia comments mitandaoni

Wewe mleta mada ni mtu dhaifu sana
 
Na ukiona mtu anaandika ujumbe kama wako ujue ni mshabiki wa faru ndungai ambaye uwezo wake as kufikiri ni mdogo anaongoza chombo cha kutunga sheria lakini hajui katiba akili za wana ccm ni ndogo sana
Mtu huyo Lazima atakuwa na tabia za Kichadema, Tabia za kutaka Taifa liharibikiwe tu, kutaka Serikali iliyoko madarakani iharibikiwe, kutaka CCM iharibikiwe, Mijitu hii ni Rahisi mno kuijua. Kwa kupitia comments mitandaoni
 
Kwani wabunge wanatetea maslahi ya nani wewee. Tatizo ni lile neno...ni lini CAG alifanya tathmini ya utendaji wa bunge na kutoa hiyo ripoti kwa vyombo husika..? Swali hili hakina jibu..sasa iweje leo anaitathmini bunge mdomoni tu ghafla bila research findings..wajameni hivi CAG si msomi yule au...sio...anatia aibu wasomi nchi hii..hiviiii yule..ni..........yaani najizuia kusema maneno mabaya kwasababu natumia busara..siropoki..vinginevyo ningekuwa sina busara ningeropoka maneno mabaya sana hapa..inaudhi sana..hivi niulize ameshawahi kuwasikia CAG waliopita wakina Utouh..wakitoa maneno kama hayo..? Au udhaifu umeanza awamu hii atuambie basi..na huko awamu nyingine hakukukuwa na udhaifu..sawa...?
Wewe mwenyewe ni mbumbumbu kilaza hajielewi hata unachokiandika hujui wala hujakisoma ni kigezo gani umekitumia uonekane una busara? CAG hapaswi kufanya kazi kwa kuangalia wengine wa nyuma walifanya vipi kazi, anafanya kazi kwa mujibu wa sheria siyo kwa vigezo vyako vya kishamba toka kolomije, nini kinakuudhi? Ufala wako ndiyo unakuudhi mwenyewe, hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu atamuona CAG ana makosa zaidi ya nyie mazuzu msiojielewa tu.
 
Mtu huyo Lazima atakuwa na tabia za Kichadema, Tabia za kutaka Taifa liharibikiwe tu, kutaka Serikali iliyoko madarakani iharibikiwe, kutaka CCM iharibikiwe, Mijitu hii ni Rahisi mno kuijua. Kwa kupitia comments mitandaoni





Tutamtetea CAG na mtu yeyote hata angekua ni Msemaji wa Chama kama Polepole endapo tu anapotetea Fedha za umma zinazotumika pia kuwalipa Mishahara Wazalendo halisi Wafuatao ambao hawana Vyama na hawaruhusiwi Kikatiba kuwa na vyama :-

(1)Majaji wasio na vyama ambao wasikiliza kesi za watu wa vyama vyote bila kujali vyama vyao.
(2)Wanajeshi wetu wapendwa (JWTZ) wasio na vyama wanaotujengea mpaka Ukuta na nyumba za umma na kulinda mipaka ya nchi sio mipaka wala mapaka ya vyama.
(3) Polisi Wetu wasio na vyama wanaotulinda usiku na mchana tunafurahi na kutembea vifua mbele na kufanya mambo yetu kwa amani.
(4) Askari wetu wa Magereza wasio na vyama ambao wanawalinda hata watuhumiwa na wafungwa wote bila kujali vyama vyao.
(5)Askari wa Uhamiaji wasio na vyama na ambao wanafuatilia kwa karibu wahamiaji na wale wanaoingia kiholela nchini kwetu bila vibali.
(6) Askari wetu wa Zima Moto na uokoaji wanaojitolea kuingia kwenye Moto na kwenye majanga ya mafuriko na maji n.k kusaidia kunusuru watu wasipate madhara makubwa au majengo yasiteketee kwa moto.

..Pia Tutamtetea na kumpigania CAG wetu Mpendwa sana Mchamungu na Mwenzetu ,Raia Mwema na Mzalendo wa kweli ,Mwadilifu, asiyejali maslahi yake binafsi ,aliyejitolea kwa vitendo Konyesha mianya ya Mafisadi na majizi ya kula fedha za umma bila huruma ndani ya Vyama vya siasa , bunge na serikali , muumini mwenye kumuhofu Mungu na kuamini kuwa kuna Siku ya Kiama ambapo ataulizwa juu ya aliyoyafanya kwa ajili kunusuru pesa za umma na sio kushirikiana na wanaozimaliza kama wanavyofanya CCM na Chadema, ambao Bungeni CCM inamtumia Spika na wabunge wake kumlazimisha Mh. Rais aingie kwenye mtego wa kumfukuza Mwana wa Wanyonge wa Tanzania Bara na Visiwani na dunia kwa ujumla wakati nje ya Bunge Chadema wanamwandama baada ya kuwaumbua kuwa Chama kimegeuka kuwa Kikoba cha kukopeshana Magari ,sio Mwingine ni CAG ,Alhaj Prof. Assad.
Mungu ampe Uzima na Maisha Marefu ili aishuhudie Tanzania mpya yenye Wapinga wizi wa fedha za umma bila kujali vyama.

Tunapenda CAG huyu muadilifu kama tunavyopenda Pesa halali.

Wale walioshiba na kuvimbiwa Pesa haramu hawaoni umuhimu wa kuwa na CAG muadilifu .

Tutamlinda CAG wetu muadilifu kama tunavyolinda pesa zetu halali.

Tutampigania CAG wetu kama tunavyopigania Pesa zetu za vipato vyetu halali zinapojaribu kuporwa na vibaka.

Tumechoka kuitwa Dhaifu kutokana na umaskini wetu wakati wenzetu wakijiona wenye nguvu kutokana na mapesa ya wizi na ufisadi.

KIBWAGIZO:
CAG sema , sema usiogope sema , sisi Wazalendo wa kweli, hatuogopi Mafisadi Sema x 2.
 
Mtu huyo Lazima atakuwa na tabia za Kichadema, Tabia za kutaka Taifa liharibikiwe tu, kutaka Serikali iliyoko madarakani iharibikiwe, kutaka CCM iharibikiwe, Mijitu hii ni Rahisi mno kuijua. Kwa kupitia comments mitandaoni
Kwahyo wewe upo na Spika upande wa kutetea Wanyonge?
 
Swali zuri, ndiyo udhaifu wa Bunge umeanza Awamu hii baada wabunge dhaifu wa CCM kumchagua Spika dhaifu ambaye ni mbunge dhaifu fundi wa kupiga rungu wagombea wenzie kupata uongozi.
Hujaweka msisitizo .
Sentensi haijakaa vizuri
Unapompiga mtu ghafla kwa kutumia Gongo zito kabisa ni kujariby kuua.

Ni vizuri kuwekea msisitizo sentensi yako kwa kusema, " aliyejaribu kumuua mgombea ubunge mwenzake kwa kumpiga kwa kitu kizito mpaka akapoteza fahamu"

Ni Tanzania Pekee inayompa Ubunge na Uspika juu Mtu wa namna hiyo.
Mchana kweupe anakupiga na gongo usiku anakupyupyuuuu.

Hatari sana shekhe.!!
Tumuombe Mwenyezi Mungu atunusuru na Watu hawa.
 
Hapana mkuu! Wabunge wa ccm wapo pale kutetea maslahi yao na ya chama Chao tu! Ndiyo maana waliipinga katiba mpya,na sasa hawataki CAG! Na Cag yupo pale kulinda maslahi ya wananchi dhidi ya serikali ambayo wabunge wa ccm ni sehemu yake!
Pia Wabunge wa CCM wamekataa na kupinga wakishirikiana na Naibu Spika Suala la kujadili namna ya kujenga mazingira ya kuwaongezea Mishahara Watumishi wa umma ambao wengi wao kuanzia wale wanaowalinda wana mishahara isiyokidhi mahitaji ya wiki mbili.

Wabunge wa CCM walioshiba hawataki kukaa na kujadili Mishahara ya wafanyakazi wa umma lakini wanajadili neno udhaifu kwa karibu wiki nzima.

Wabunge wa CCM wanaangalia maslahi yao binafsi na kunusuru Chama kilichosajiliwa kama vyama vingine.
Chama kimekua kama dini tena dini zenye Watu wenye misimamo ya kigaidi ya kuzitetea kwa namna yoyote hata kwa kutoa uhai na kuangamiza chochote.

Ni rahisi mtu kuhama dini na akaishi maisha ya amani na Mwenyezi Mungu akambariki lakini leo Mtu akihama CCM anaingia kwenye misukosuko na uadui mkubwa.

Mwenyezi Mungu atunusuru na hiki Chama na watu wake walioacha utu na ubinadamu na Haki.
 
Naona wanataka kukitia kitumbua chako mchanga , si bure, bila shaka utakuwa ni mnufaika wa ule mgao wa trillion kazaa zilizopotea kule hazina kwa mtoto wa dada.
Mtu huyo Lazima atakuwa na tabia za Kichadema, Tabia za kutaka Taifa liharibikiwe tu, kutaka Serikali iliyoko madarakani iharibikiwe, kutaka CCM iharibikiwe, Mijitu hii ni Rahisi mno kuijua. Kwa kupitia comments mitandaoni
 
Back
Top Bottom