Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,209
- 40,650
Ni nusu kifo kabisaJe kulala ni kupoteza fahamu?
Ni nusu kifo kabisaJe kulala ni kupoteza fahamu?
Tusonge MbeleHapana naona kuna mahali tunashindwa kuelewana... Kwa njia hii hatuwezi kusonga mbele na mjadala
Okay kila la heriHapana naona kuna mahali tunashindwa kuelewana... Kwa njia hii hatuwezi kusonga mbele na mjadala
Nipo nje ya mada ila katika ndoto,
Iliwahi kunikuta hali hii, Nililala katika hali ya uhalisia nikapata ndoto, nikaota katika ndoto ya kwanza ya kwamba nimelala huku naota ambapo ndoto ya pili nikaota tena nimelala naota.
Yani ndoto moja ikawa na mtoto na mjukuu.
Kila nikijaribu kuwaelezea watu wananiona kama mwehu, haya mambo husababishwa na nini?
Ndoto taarifa
Ndoto maono
Hivyo unataka kuniambia kwamba nini kilitokea juu yangu?Ndoto ndani ya ndoto-- huo ni ulimwengu wa "kifo", ambao ni ngumu kwa roho iliyomo mwilini kwenda hadi iwe imeachana na mwili (imekufa).
Hivyo unataka kuniambia kwamba nini kilitokea juu yangu?
Maisha ya ndoto yapo kati ya duniani na Barzakh, maana yake ni kwamba roho inakuwa nusu ndani ya mwili na nusu imo Barzakh, unapoamka kutoka usingizini maana yake roho yako imo "full" katika mwili na mtu akifa maana yake roho yake "full" imeingia Barzakh ambamo roho inakuwa na maisha mapya ya kiroho.
Ndoto tunazoota wakati huo roho zetu huwa katikati ya maisha ya duniani na maisha ya Barzakh sasa inapotokea kwamba ukiwa mahali hapo ukaota ndoto ndani ya ndoto ndiyo nikasema hiyo ndoto ya pili si ya katikati ya duniani na Barakh bali ipo katika ullimwengu mwingine (another realm) na huo ulimwengu uliokaribu na sisi ni Barzakh na baada ya Barzakh unakuja ulimwengu wa akhera ambamo kuna kiyama (hukumu).
Ndiyo maana ninashangaa au labda lipo nje ya elimu na ufahamu wangu kwamba mtu aote ndoto ndani ya ndoto nje ya Barzakh?!!, yaani hiyo ndoto ya pili ni ya ulimwengu wa Barzakh ambamo zinaingia roho zilizotengana na miili yetu baada ya kufa.
Epuka kutumia choo ndotoni kwakuwa kama hujajisaidia kitandani basi kuna jambo baya linakutafuta....
Duh.! Umenikumbusha juzi Kati niko usingizini nimechoka na kazi za kutwa nzima sasa nikaota niko napiga kazi ngumu kwenye jengo flani la wahindi,Sikutaka kuileta mada hii mapema bali wakati huu.... Nina sababu maalum.... Baada ya muda mchache ujao tutaenda kulala, wala tusitambue yanayoendelea ulimwenguni... Mwili wa utashi utapumzika... Mwili wa roho uta take cover...!
Roho ni 'nafsi huru ' itafanya itakayo na kuenda itakako.. Taarifa utazipata kupitia ndotoni....
Ndoto taarifa
Ndoto maono
Ndoto mvurugano
Unapoona/ unapoota choo ndotoni kuna tafsiri kama tatu... Moja lazima iwe sahihi... Makinika... Usikitumie kwanza...
Choo ni uchafu... Hakuna anayependa uchafu.. Ukiona mtu anapenda uchafu ana walakini
Choo kinanuka... Hakuna anayependa harufu mbaya.. Ukiona mtu anapenda harufu mbaya ana walakini...!
Choo si kitu cha kuonekana hadharani... Kina sehemu yake ya kutunzwa... Ukikiona choo ndotoni si ishara njema(hapa ni kwa tafsiri ya kinyesi)
Choo ni mlango wa kuzimu ( hapa choo ni kile kibebeo cha uchafu wa kinyesi toka kwa mwanadamu)... Choo cha mnyama hakina kinyaa kama cha mwanadamu kwakuwa mnyama ni hayawani...
Epuka kutumia choo ndotoni kwakuwa kama hujajisaidia kitandani basi kuna jambo baya linakutafuta....
Asante mkuu, kweli maisha ni fumbo, kwa lugha nyepesi naweza kufahamu maana ya Barzakh? Je kwa hali hii kujitokeza kwangu huwenda nilikufa usingizini na kufufuka bila kujijua?