Ukiona choo ndotoni usikitumie

Ukiona choo ndotoni usikitumie

Uliyoandika ni kama hayatekeleziki!
Binadamu akiwa amelala au usingizini anakuwa katika hali ya unconscious ni kwa jinsi gani basi atafanyia kazi huu ushauri wako?
 
Uliyoandika ni kama hayatekeleziki!
Binadamu akiwa amelala au usingizini anakuwa katika hali ya unconscious ni kwa jinsi gani basi atafanyia kazi huu ushauri wako?
Hapana sio total unconscious bali ni subconscious... Usingizi ni namna ya kupumzisha mwili huku fahamu zikiwa live
 
Hapana sio total unconscious bali ni subconscious... Usingizi ni namna ya kupumzisha mwili huku fahamu zikiwa live
Is it subconscious or unconscious?Subconscious and unconscious seem like they would have similar meanings. In some contexts, they do. In others, it’s important to know the difference between these terms.
Unconscious means not awake or lacking awareness.
Subconscious refers to thoughts, actions or brain processes of which a person is not directly aware.
 
Is it subconscious or unconscious?Subconscious and unconscious seem like they would have similar meanings. In some contexts, they do. In others, it’s important to know the difference between these terms.
Unconscious means not awake or lacking awareness.
Subconscious refers to thoughts, actions or brain processes of which a person is not directly aware.
Okay so when you go limp it this unconscious or subconscious? That's unconscious..., you cannot be waked up in seconds and come up fully conscious immediately
But when you are asleep.. That is subconscious because you can be waked up n come live fully conscious!
 
Binadamu akiwa usingizini au katika hali ya kuzimia ni unconscious na huamka au kushtuka pale tu ambapo kunakuwa na stimuli ( mchocheo) wa kutosha kutoka nje au ndani ya mwili.
Hapana sio total unconscious bali ni subconscious... Usingizi ni namna ya kupumzisha mwili huku fahamu zikiwa live
 
Binadamu akiwa usingizini au katika hali ya kuzimia ni unconscious na huamka au kushtuka pale tu ambapo kunakuwa na stimuli ( mchocheo) wa kutosha kutoka nje au ndani ya mwili.
hapana kuzimia ni tofauti kabisa na kuwa usingizini... Kuzimia ni involuntary action huna amri na hicho kitendo na unakuwa hujui lolote mpaka unapozinduka
Kulala ni voluntary action... Yani una maamuzi na hiki kitendo na unaweza kujipangia muda wa kuamka... Na wakati ukiwa usingizini unaweza kuota
 
Akizirai ni temporary unconsciousness, coma ni prolonged state of unconsciousness.
hapana kuzimia ni tofauti kabisa na kuwa usingizini... Kuzimia ni involuntary action huna amri na hicho kitendo na unakuwa hujui lolote mpaka unapozinduka
Kulala ni voluntary action... Yani una maamuzi na hiki kitendo na unaweza kujipangia muda wa kuamka... Na wakati ukiwa usingizini unaweza kuota
 
Wengi wameshindwa kusoma kichwa cha habari na kukielewa.. Nimeandika ukiona choo ndotoni usikitumie.... Sijasema ukiota unajisaidia... Acha
n.jpeg
 
Huyo ni mimi kabisa, hadi class 4 ndipo nilipokomea kukitumia hiko choo ila kuanzia class 1-3 nilikuwa amiri jeshi wa matumizi
Dripboy said:
Aaaaah mimi nimeshakitumia sana hicho miaka ya giza na mpaka nikaozesha godoro 😝😝😝😝
 
Asante sana
 
Hebu someni heading kwa kutulia mtanielewa
Mkuu heading ni hiyohiyo "ukiona choo ndotoni usikitumie".

Sasa ndiyo nikakuuliza kwani ndani ya ndoto huwa tuna utashi ama maamuzi ya kufanya?

Ninavyoelewa ni kuwa ndoto huratibu yenyewe pa kwenda na cha kufanya.

Wewe huletewa tu matokeo ya ndoto ilikokwenda na ilichoenda kufanya.

Sasa kuikontro cha kufanya ilikokwenda wakati wewe haupo, ilikuacha usingizini ni vigumu.
 
Nikiwa advance mwaka 2013 niliwah kuota namezeshwa pingili la muwa likawa linakwama shingoni halipiti..asubuh niliamka koo(ndani ya koromeo) linauma
 
Mshana Jr swali fikirishi Je unawezaje ku-control mpk usikitumie choo wakati ndoto inapotokea mhusika unakuwa huna uwezo wa ku-control unachoota au je mtu unaweza kuzuia ndoto wakati inatokea wakati unakuwa katika un-conscious mind?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom