Au hata mtaji wa biashara, au kuchangia matibabu. Akili za hovyo hovyo tu.Halafu cha ajabu unakuta ndugu wanachangia harusi ya siku moja 20m halafu baada ya miaka miwili ndoa inavunjika! Ila kumchangia ndugu mmoja hiyo 20m akasome elimu ya chuo kwa miaka mitatu ambayo itakuja kumsaidia maishani nahi!
Teh watakuambia huyo ndugu tukimchangia akasome au akafanye biashara baadaye akifanikiwa atatusahau! Unabaki unajiuliza kwamba wakichangia harusi ndiyo watafaidika ama!Au hata mtaji wa biashara, au kuchangia matibabu. Akili za hovyo hovyo tu.
Mimi hata Kuhudhuria tuSichangii aina yoyote ya sherehe.
Labda kwavile wanakunywa pombe na kula nyama.Teh watakuambia huyo ndugu tukimchangia akasome au akafanye biashara baadaye akifanikiwa atatusahau! Unabaki unajiuliza kwamba wakichangia harusi ndiyo watafaidika ama!
Kazi kweli kweliLabda kwavile wanakunywa pombe na kula nyama.
Isipokuzika wewe ushakufa utaathirika vipi?Vipi kama anayeoa ni ndugu yako wa damu? Kama uwezo wa kuchangia huna sio lazima. Maisha ndio hayahaya. Jamii ndio itakuzika.
SawaKutokana na ugumu au vipaumbele vya maisha, watu wengi wanajitahidi kupunguza matumizi ya fedha yasiyokuwa ya lazima. Sasa wewe kipato chako hakitoshelezi kufanya sherehe ya harusi kubwa, huku ukitaka sherehe yako ianzie labda milioni 20, wakati wewe kianzio ulichonacho labda milioni 1; hizo zingine unategemea upate kwa watu, kwa njia ya kuchangisha, huo sio uungwana.
Kwa nini ujibebeshe mzigo usioweza, na matokeo yake ni kuwapa wachangiaji majukumu ambayo si ya lazima. Starehe upate wewe, kwa nini usumbue wengine?
Ukiniona nipo kwenye ndoa na sijawahi kukupa kadi ya harusi kwa ajili ya mchango; usiniletee kadi yako ya mchango wa harusi.
Wengine hawaelewi; kuna wakulungwa wamenipa kadi hapa, nipo nazitazama tu huku napiga bia yangu taratiibuNimeanza kutunza hela kwaajili ya tukio langu sitasumbua mtu,mana asikwambie mtu hakuna kitu kigumu kama kuwakumbusha kumbusha watu michango,kama mimi kupiga piga simu ndo siwezagi kabisa.
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Me mwenyewe nina kadi mbili..huyo mmoja ndo kanichosha elfu 50 single alafu double 80.Wengine hawaelewi; kuna wakulungwa wamenipa kadi hapa, nipo nazitazama tu huku napiga bia yangu taratiibu
Mi huwa nachangia mambo ya msingi tu, haya ya sherehe nilishaachana nayo, ingawa wakati mwingine unawakwaza wengine; lakini mi kipaumbele huwa ni kuchangia kwenye afya ya mtuMe mwenyewe nina kadi mbili..huyo mmoja ndo kanichosha elfu 50 single alafu double 80.
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Akikujibu nitag.Isipokuzika wewe ushakufa utaathirika vipi?
Kuuguza ndio muhimu zaidi kuliko kuzika; ingawa kwenye kukuuguza hutawaona ila ukifa watu kibaoVipi kama anayeoa ni ndugu yako wa damu? Kama uwezo wa kuchangia huna sio lazima. Maisha ndio hayahaya. Jamii ndio itakuzika.