Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 7,697
- 12,878
Kweli tupuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihiKanisa Linahitaji Watu 5 Tu
Mfungishaji
Muoaji
Muolewaji
Msimamizi 01
Msimamizi 02
Baaas. Thread closedKanisa Linahitaji Watu 5 Tu
Mfungishaji
Muoaji
Muolewaji
Msimamizi 01
Msimamizi 02
sawa kabisa, tuende sawa na hali ya uchumi.,,,,naunga mkono hojaKutokana na ugumu au vipaumbele vya maisha, watu wengi wanajitahidi kupunguza matumizi ya fedha yasiyokuwa ya lazima. Sasa wewe kipato chako hakitoshelezi kufanya sherehe ya harusi kubwa, huku ukitaka sherehe yako ianzie labda milioni 20, wakati wewe kianzio ulichonacho labda milioni 1; hizo zingine unategemea upate kwa watu, kwa njia ya kuchangisha, huo sio uungwana.
Kwa nini ujibebeshe mzigo usioweza, na matokeo yake ni kuwapa wachangiaji majukumu ambayo si ya lazima. Starehe upate wewe, kwa nini usumbue wengine?
Ukiniona nipo kwenye ndoa na sijawahi kukupa kadi ya harusi kwa ajili ya mchango; usiniletee kadi yako ya mchango wa harusi.
Nyongeza, labda na mtunza kumbukumbu mfano mpigapicha!Kanisa Linahitaji Watu 5 Tu
Mfungishaji
Muoaji
Muolewaji
Msimamizi 01
Msimamizi 02
Mimi sichangii mtu harusi hata siku moja, naona ni ujinga tu.....kuoa anaoa mtu mwingine halafu mimi nimchangie? Kama mtu hauko tayari kuoa si lazima ujilazimishe kuoa.Kutokana na ugumu au vipaumbele vya maisha, watu wengi wanajitahidi kupunguza matumizi ya fedha yasiyokuwa ya lazima. Sasa wewe kipato chako hakitoshelezi kufanya sherehe ya harusi kubwa, huku ukitaka sherehe yako ianzie labda milioni 20, wakati wewe kianzio ulichonacho labda milioni 1; hizo zingine unategemea upate kwa watu, kwa njia ya kuchangisha, huo sio uungwana.
Kwa nini ujibebeshe mzigo usioweza, na matokeo yake ni kuwapa wachangiaji majukumu ambayo si ya lazima. Starehe upate wewe, kwa nini usumbue wengine?
Ukiniona nipo kwenye ndoa na sijawahi kukupa kadi ya harusi kwa ajili ya mchango; usiniletee kadi yako ya mchango wa harusi.
ChatoSanamu Yake Inajengwa Wapi?
WatajiselfieNyongeza, labda na mtunza kumbukumbu mfano mpigapicha!
Tatizo sio hela, bali ni matumizi sahihi ya helaTafuta pesa upunguze makasiriko.
Sio vizuri kusumbua watu, starehe upate wewe, michango nitoe mimiUmeamua Kuoa?😂
Mambo ya maradhi hawachangii, ila mambo ya kurukaruka ukumbini wanataka michangoHizi Issue za michango ya harusi nilishaachana nazo miaka kumi iliyopita kiasi kwamba hata hapa kazini wananijua kuwa sichangiaji hivyo hata kadi hawajishughulishi kunipa
Pambaff thana, ukiumwa kama hawakuoni hiviMambo ya maradhi hawachangii, ila mambo ya kurukaruka ukumbini wanataka michango