BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,050
- 10,491
Kuna vitu ukikaa ukafikiria sana unaweza kubaki unacheka tu. How come mnatumia budget kubwa kumlipa mtu kwa ajili ya kusema makofi tafadhali, wamependeza hawajapendeza eti bibi harusi kata keki umlishe bwana harusi aisee.
Hongereni sana ma MC kwa kufanya utapeli katika njia ambayo victim anaona ni sawa kweli wajinga ndio waliwao na mtaji wa tapeli ni mbumbuu
Kitu kizuri kuhusu mimi naangazia kuhusu changomoto at the same time natoa suggestions. Taratibu tutafika tu ndoa si jambo la ghafla ni mchakato kuanzia unapokutana na mwenzi wako mpaka pale mnapoamua kuwa ni wakati muafaka wa kufunga ndoa kimsingi mna space kubwa ya wakati kuhakikisha mna arrange kila kitu to perfection siku ya harusi (sherehe).
Hapa nitajikita kwenye case ya kupata MC bora kwa gharama sawa na bure kabisa na kuepuka makanjanja. Kwanza mtu wa kawaida asiye na changomoto yoyote ya kiumbaji ana uwezo wa kuongea tofauti ni kwenye sauti na lafudhi.
Ni jambo la kushangaza sana kwenye koo mbili yaani ya kiumeni na kikeni kukosa mtu ambaye ni mchangamfu anayeweza kusimama mbele ya ukumbi na kusema wamependeza hawajapendeza.
Nachomaanisha MC atoke kwenye familia kama wanafamilia mnajuana strength na weakness zenu nini faida ya MC kutoka kwenye familia kwanza mnapunguza gharama za MC maana nasikia kuna MC anakunja 5M+ within short period of time sasa huyu MC wenu wa familia atapata favor ya kutolipa mchango wa harusi na first priority kwenye chakula.
Incase hamjaridhika na hiyo hoja hapo juu nawapa nyingine hii hapa mtakuwa na muda mwingi wa kujadiliana naye namna mnavyotaka sherehe yenu iwe na mnampa muda wa kutosha wa kufanya rehearsal ili aweze kudeliver to the fullest.
MC msichukie mtafute ishu nyingine za kufanya maana Kataa ndoa imeanza kushika vichwa vya watu.
Hongereni sana ma MC kwa kufanya utapeli katika njia ambayo victim anaona ni sawa kweli wajinga ndio waliwao na mtaji wa tapeli ni mbumbuu
Kitu kizuri kuhusu mimi naangazia kuhusu changomoto at the same time natoa suggestions. Taratibu tutafika tu ndoa si jambo la ghafla ni mchakato kuanzia unapokutana na mwenzi wako mpaka pale mnapoamua kuwa ni wakati muafaka wa kufunga ndoa kimsingi mna space kubwa ya wakati kuhakikisha mna arrange kila kitu to perfection siku ya harusi (sherehe).
Hapa nitajikita kwenye case ya kupata MC bora kwa gharama sawa na bure kabisa na kuepuka makanjanja. Kwanza mtu wa kawaida asiye na changomoto yoyote ya kiumbaji ana uwezo wa kuongea tofauti ni kwenye sauti na lafudhi.
Ni jambo la kushangaza sana kwenye koo mbili yaani ya kiumeni na kikeni kukosa mtu ambaye ni mchangamfu anayeweza kusimama mbele ya ukumbi na kusema wamependeza hawajapendeza.
Nachomaanisha MC atoke kwenye familia kama wanafamilia mnajuana strength na weakness zenu nini faida ya MC kutoka kwenye familia kwanza mnapunguza gharama za MC maana nasikia kuna MC anakunja 5M+ within short period of time sasa huyu MC wenu wa familia atapata favor ya kutolipa mchango wa harusi na first priority kwenye chakula.
Incase hamjaridhika na hiyo hoja hapo juu nawapa nyingine hii hapa mtakuwa na muda mwingi wa kujadiliana naye namna mnavyotaka sherehe yenu iwe na mnampa muda wa kutosha wa kufanya rehearsal ili aweze kudeliver to the fullest.
MC msichukie mtafute ishu nyingine za kufanya maana Kataa ndoa imeanza kushika vichwa vya watu.