Ukimya wake unaniweka njia panda, naomba ushauri

Ukimya wake unaniweka njia panda, naomba ushauri

Mi nakwambia mwanaume akikupenda hata awe bize kiasi gani atakutafuta tuu.Mi kuna mbunge alikuwa ananifuatilia kipindi cha kampeni alikuwa ananipigia simu kila siku I mean everyday hadi nikawa nazima sim coz naogopa wanasiasa mie.
Eti Msaga sumu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nakubaliana na wewe dada.... Nimependa nisikopendeka. That was my fault and inaweza kukutokea hata wewe. This is life.
 
Nakubaliana na wewe dada.... Nimependa nisikopendeka. That was my fault and inaweza kukutokea hata wewe. This is life.
Imewahi kunitokea na nimeshajifunza my dear.Unachotakiwa kuwa makini ni uhakikishe mwanaume amekupenda yeye.Sio amekutamani .Amekupenda
Tena na wewe ulivyo na msimamo ukipata anayekupenda hatobanduka nakwambia ukweli kutoka moyoni mwangu.
Mwanaume akifa akioza kwako you love him back kuliko kusubiri utayempenda wewe.Huyo ni imaginary husband hayupo duniani.Hata mimi naelekea kuolewa na mtu anayenipenda sana ila mimi nampenda kawaida.Naamini ndoa itakuwa nzuri coz hatanisababishia kichaa.
 
Imewahi kunitokea na nimeshajifunza my dear.Unachotakiwa kuwa makini ni uhakikishe mwanaume amekupenda yeye.Sio amekutamani .Amekupenda
Tena na wewe ulivyo na msimamo ukipata anayekupenda hatobanduka nakwambia ukweli kutoka moyoni mwangu.
Mwanaume akifa akioza kwako you love him back kuliko kusubiri utayempenda wewe.Huyo ni imaginary husband hayupo duniani.Hata mimi naelekea kuolewa na mtu anayenipenda sana ila mimi nampenda kawaida.Naamini ndoa itakuwa nzuri coz hatanisababishia kichaa.
Hongera dada. Nakutakia ndoa njema... Ubarikiwe!
 
Nimechelewa kwenda lunch kwa ajili ya comment za watu na majibu ya mtoa mada.

all in all nimegundua mtoa mada sio mgeni sana humu ameweka tu new ID or

mtoa mada ni mstarabu kuliko mnavyomfikiria.

Hii ni kwa sababu, majibu yake humu ndani ni ya kistaraabu according to me.

Asanteni.
 
You guys naona mnamkubali sana mwenzenu na comment ya kiume. Nashukuru kwa comment yake pia kwa kuwa amenipa mtazamo kwa upande wa mwanaume.

Mie nasema hivii... I am not desperate at all! Iko wazi kabisa kwamba nilirudi kwake after 3 months or so. Tena kwa kuunganishwa na dadangu. Mwenyewe nisingeweza kufanya hivo cause sikumpenda on first sight. Fact ni kwamba kanitongoza yeye sio mimi. Angekuwa mume wa mtu hapo sawa. He wasn't. What if he was to break up with her? That was none of my concern. I took my chance. He said he wanted to marry me and not date! How would I know for sure kama sio kukubali kwanza?

Then again, sex is just human need. He needed it & I also happened to need it at the time we met. We all quenched our thirsts.


hahhahahaha dada una mambo weweeeee, hakunaga mahusiano yanayoanza na I will marry yopu.

Y don't you just take note of what is happening all over the world?

But just love the way you comments with patience.
 
Oh I see! But Karma's a bitch... He will never find true love. He will always come across women with greed for money and will tear him apart. Just like the one he's dealing with right now. Until he's done with her, he's a bit broke.
Najua mtasema ana pesa atapata wengine.... Ila kwa kujitia nuksi na huyu mwizi aliye nae, atawavagaa mianawake mijizi forever.

Thats is your own wish. Not necessary kimtokee mtu mwingine.

You never know, cause. May be her girl has True Love like you are...

Life is a Lesson. You are a student of the world.
Songa mbele....
 
Kwa maelezo yako ilibidi ujielewe "hapo hakuna muoaji" and girlfriend hapokei simu yako we umo to?
 
hahhahahaha dada una mambo weweeeee, hakunaga mahusiano yanayoanza na I will marry yopu.

Y don't you just take note of what is happening all over the world?

But just love the way you comments with patience.
Mkuu... Maybe it was a joke. To me it's OK to joke about anything, but not to extend such a joke to people around us. That doesn't appear as a joke to me. That's serious.
If he never meant it, he shouldn't have said it several times when people are always around us. Sasa kwa wanaonijua, si watasema huyu mchumba wa flani, atamuoa alituambia siku flani? Kama kuna mwenye interest, si ndio nimeshampoteza?! Angeninong'oneza peke yangu, hapo sawa. Kunitangazia kwa watu, kumbe ananichora sio poa. And on top of that, namuuliza still anakausha tuu. Nimemkosea nini mpaka anitende hivo? Kosa langu kumpenda na kumjulisha? Coz kwangu mimi sioni kosa kumvulia pichu, hakuwa wa kwanza, wala sio wa mwisho. Wote tulikuwa na genye na tulitumia wakati huo tuliopata kukata hamu. Haliniumi kabisaa.... Kinachoniuma ni kuniharibia. Inawezekana kabisa hao ma-x walisikia ndio maana wakabadilisha mawazo.
 
Wewe hakupendi, unajikosha tu, kutwa kujipendekeza kwa vile ni staa, hakupendi kesha kutumia. Sepa.
 
Watu humu especially. Wanaume wanaongea, as wako naive na uanaume wao.
As if mahitaji ya mapenzi ni ya upande mmoja tu.

Kimsingi wanawake wanakua duped kwasababu mwanaume akitaka kitu hakati tamaa mpaka kieleweke...

Na mwanamke ambaye ni single ama aliyeumizwa atajikuta anatafuta tiba mwenyewe...

Pia sometimes kwenye love, reasons huondoka
 
Wewe hakupendi, unajikosha tu, kutwa kujipendekeza kwa vile ni staa, hakupendi kesha kutumia. Sepa.
Eboh! Kwani nimekataa? Kwani ye ndio wa kwanza? Na wala sio wa mwisho. Nimetuma post ili nishauriwe jinsi ya kukabiliana na hali nnlonayo. Najua kwamba hanipendi, nimeshaona picha na kuisoma namba. Nimependa kwa dhati na hio ni shida yangu, sio yake. Sijipendekezi na wala sitajipendekeza kwake. Kilichonisukuma kumtafuta ni hisia zangu za mapenzi. Hizo ndio napambana kuzi-overcome. Nikiweza, nachapa lapa. Kwani dushe, pesa na umaarufu ni kwa ajili yake tuu? Mapenzi hayachagui ndugu. Soo, please don't judge me.
 
Aya ngoja upende ....... Mwanaume asipokupenda utayaona mapenzi machungu.
Sure dada. Wapo kibao wanaonitoke, nnachofanya ni kuwapa nafasi labda atatokea wa kunipenda nami nimpende japo kidogo. SIWEZI KUWA NA MTU NISIYEMPENDA kabisa. We unaweza? Kama ndio, basi we mnafki. Unaweza kuwa mchawi kabisaa!
 
Oh I see! But Karma's a bitch... He will never find true love. He will always come across women with greed for money and will tear him apart. Just like the one he's dealing with right now. Until he's done with her, he's a bit broke.
Najua mtasema ana pesa atapata wengine.... Ila kwa kujitia nuksi na huyu mwizi aliye nae, atawavagaa mianawake mijizi forever.




Mkuu usimuombee mabaya cha msingi kumuombea mema Mungu atakulipa hayo mambo yapo nafikiri ata wewe unaweza kuwa ulimuumiza mtu ni mambo tu hayo kwenye mahusiano aiseee
 
Sure dada. Wapo kibao wanaonitoke, nnachofanya ni kuwapa nafasi labda atatokea wa kunipenda nami nimpende japo kidogo. SIWEZI KUWA NA MTU NISIYEMPENDA kabisa. We unaweza? Kama ndio, basi we mnafki. Unaweza kuwa mchawi kabisaa!
Sasa unafiki na uchawi unatokea wapi? Kisa nimekwambia ni bora mwanaume akupende? Hayo ni mawazo yangu .......kama unayaona hayafai unayaacha tu.

Na hata ndiyo naweza kuwa na mwanaume anayenipenda mie nisimpende mana hata biblia inasema wanaume wapendeni wake zenu....na wanawake waheshimuni waume zenu........mie nitamweshimu ila jukumu la kunipenda ni lake yeye mwanaume.....

Ndiyo maana unalilia hapa mana unachukua jukumu la mwanaume ..... Wewe unatakiwa kumweshimu.

NB.
Umenikuta sijazimua.....
 
Sasa unafiki na uchawi unatokea wapi? Kisa nimekwambia ni bora mwanaume akupende? Hayo ni mawazo yangu .......kama unayaona hayafai unayaacha tu.

Na hata ndiyo naweza kuwa na mwanaume anayenipenda mie nisimpende mana hata biblia inasema wanaume wapendeni wake zenu....na wanawake waheshimuni waume zenu........mie nitamweshimu ila jukumu la kunipenda ni lake yeye mwanaume.....

Ndiyo maana unalilia hapa mana unachukua jukumu la mwanaume ..... Wewe unatakiwa kumweshimu.

NB.
Umenikuta sijazimua.....






Hahahahahahahahahaha....sister hapo kwenye kuzimua umenifanya nimecheka mpaka basi ofisini...hile ofa yako kwa Mangi ya vinywaji nimeghairisha mpaka thread hii iwe closed aisee maana ukizimua itakuwa balaaa
 
Nimechelewa kwenda lunch kwa ajili ya comment za watu na majibu ya mtoa mada.

all in all nimegundua mtoa mada sio mgeni sana humu ameweka tu new ID or

mtoa mada ni mstarabu kuliko mnavyomfikiria.

Hii ni kwa sababu, majibu yake humu ndani ni ya kistaraabu according to me.

Asanteni.
Nina wasiwasi atakuwa miss chagga.


Sijamuona hapa leo.

Cc: miss chagga
 
Hahahahahahahahahaha....sister hapo kwenye kuzimua umenifanya nimecheka mpaka basi ofisini...hile ofa yako kwa Mangi ya vinywaji nimeghairisha mpaka thread hii iwe closed aisee maana ukizimua itakuwa balaaa
Nipe bwana usinibanie aiseee..... .....
 
Back
Top Bottom