Ukimya wake unaniweka njia panda, naomba ushauri

Ukimya wake unaniweka njia panda, naomba ushauri

daaah!!!!!
nazidi kugundua mengi kwenye mahusiano....!!!!
kosa ulilofanya dada ni kumpotezea mwanzoni halaf baadae ukajileta mwenyewe kwa tamaa za pesa!!!
yeye kafanya kukukomoa ili akufundishe dunia inaendaje..... siku nyingine usiseme umempenda mtu ambaye umepata ushawishi kwa dada zako!!!
by the way ni muda wa kutulia sio kuumiza kichwa maisha yenyewe hayaeleweki haya...!!!!
 
daaah!!!!!
nazidi kugundua mengi kwenye mahusiano....!!!!
kosa ulilofanya dada ni kumpotezea mwanzoni halaf baadae ukajileta mwenyewe kwa tamaa za pesa!!!
yeye kafanya kukukomoa ili akufundishe dunia inaendaje..... siku nyingine usiseme umempenda mtu ambaye umepata ushawishi kwa dada zako!!!
by the way ni muda wa kutulia sio kuumiza kichwa maisha yenyewe hayaeleweki haya...!!!!
Mkuu.. Hunijui, nami sikujui. Laiti ungenijua usingesema nashobokea pesa. Rudia tena kusoma post, zingatia hapo nilipo-bold."Si kwa uzuri, umaarufu au pesa aliyo nayo, la hasha!". Pesa kitu gani? Anazo yeye tu? Akifa atazikwa nazo? Ana mkatabana na Mungu kwamba hatofilisika? Kwa uhakika, hizo pesa zitadumu milele? Je kama ni za kishetani? Haya ni maisha, kuna kupanda na kushuka. Anayetoa ni Mungu, na ndio huyox2 anayechukua. Pesa my foot! Nna miguu, mikono & akili za kusaka mshiko. Sitegemei kuhongwa... U feel me?
 
TBH, unaonekana very decent lady. Ni bahati mbaya tu uliangukia kwa mtu asiye wako. Sasa anza kitumia akili zaidi ya mapenzi ili umtoe mawazoni mwako.
Pia, your dating cycle inapungua...they say, as you mature, you date less and less. Ni lazima kufanya maamuzi, sisemi uchukue yoyote lakini if the man suits your needs, mpe nafasi.
 
Dada mbona hapo ni dhahiri hautakiwi.....mtafute huyo mwingine muanze maisha mapya.

As if namtamani hata... Kuwa na mtu usiyempenda ni sawa na kubaka hisia zako mwenyewe.
 
TBH, unaonekana very decent lady. Ni bahati mbaya tu uliangukia kwa mtu asiye wako. Sasa anza kitumia akili zaidi ya mapenzi ili umtoe mawazoni mwako.
Pia, your dating cycle inapungua...they say, as you mature, you date less and less. Ni lazima kufanya maamuzi, sisemi uchukue yoyote lakini if the man suits your needs, mpe nafasi.
Sure my man.... I still have a pool to choose on. I will for sure get one wa kubanana nae. Soon, and will bring you feedback. Especially you. Unaonekana umenielewa kwa kweli. Thanks man!
 
we umependa au ni sababu ya dadako alikushinikiza, jamaa sio muoaji we jiongeze umwache kiroho safi, kukuambia anakuoa ilikuwa gia ya kupata tunda mamy
Sikupenda kwa kushinikizwa mkuu.. Love takes time. Alichofanya dadangu ni kuniunganisha tu na jamaa. Mengine alituachia. Hakunilazimisha. Mi ni mtu mzima. I fell in love before when I was young/teen. Ni basi tuu, upendo hauchagui mkuu.
 
Last Activity: Apr 13, 2016 at 4:10 PM
Joined: Monday
Messages: 2
Likes Received: 1
Trophy Points: 3
Gender: Female
Birthday: October 11
Hivi ulisema wewe ni msomaji mzuri wa JF?
upo uweaekano ni msomaji mzuri wa jf ila kwa ID nyengine na sasa anaomba ushauri kwa ID mpya, kuepuka watu kama nyinyi. baadae mnaweza mkaja kumsakama na hii thread yake lol.. mpe ushauri acha longo longo.
 
Sure my man.... I still have a pool to choose on. I will for sure get one wa kubanana nae. Soon, and will bring you feedback. Especially you. Unaonekana umenielewa kwa kweli. Thanks man!
Karibu sana best. Just keep your head up high and don't be hasty, lazima upate mtu sahihi kwako.
 
Ni kweli lakini umeshasema zamani. Zama zinabadilika chief. Hizi ni zama tofauti. Nitaoa soon.. Kuolewa sio mpango tena. Ngoja nizichange kwanza. Nitapita na yule nnayemtaka na kummudu. Haina shidaa
Ndo maana nikasema elimu inawadanganya
 
Sikupenda kwa kushinikizwa mkuu.. Love takes time. Alichofanya dadangu ni kuniunganisha tu na jamaa. Mengine alituachia. Hakunilazimisha. Mi ni mtu mzima. I fell in love before when I was young/teen. Ni basi tuu, upendo hauchagui mkuu.
Kama kweli ulifell in love, ilikuwaje ukakaa miezi 3 bila ya kuwasiliana nae, yani baada ya kurudi safari yako, au wakati uko safarini?? kiufupi nadhani uliamua kumpotezea ila ulipokuja shawishia na dada sijui marafiki zako, wakakwambia kuhusu pesa n.k. ukashawishika, ukarudisha majeshi, SIKILIZA HUYO SI MWANAUME, Kwanza atakwambiaje nina girlfriend halaf bado ukubali kuchanganywa Umerogwa wewe??? mkubali huyo ambae ana nia kukuoa sasa hivi na kama unasubiri wakumpenda wewe utazeeka hapo una miaka 7 mpaka 10 tu iliyobaki kuzaa, endelea kuruka ruka uje ulee watoto na uzee.
 
Kama kweli ulifell in love, ilikuwaje ukakaa miezi 3 bila ya kuwasiliana nae, yani baada ya kurudi safari yako, au wakati uko safarini?? kiufupi nadhani uliamua kumpotezea ila ulipokuja shawishia na dada sijui marafiki zako, wakakwambia kuhusu pesa n.k. ukashawishika, ukarudisha majeshi, SIKILIZA HUYO SI MWANAUME, Kwanza atakwambiaje nina girlfriend halaf bado ukubali kuchanganywa Umerogwa wewe??? mkubali huyo ambae ana nia kukuoa sasa hivi na kama unasubiri wakumpenda wewe utazeeka hapo una miaka 7 mpaka 10 tu iliyobaki kuzaa, endelea kuruka ruka uje ulee watoto na uzee.
Bibie...Kupenda mtu inachukua muda. Sikurupukagi hata siku moja. I take my time to see if there's chemistry or not. Mie sio mwanamke wa kushobokea mtu kisa pesa & umaarufu. Nimezaliwa kwenye pesa, najua kuzisaka hazinipi kiwewe. Na kama kudate matajiri, nimedate... ningekuwa nawehuka na utajiri si ningeshaolewa long time? Halafuu naanzaje kumtafuta mtu ambaye sijampenda? Alinitongoza yeye na kuniomba nafasi kwa adabu kabisaaa. Hio ni baaada ya kuona sishobokei chenchi zake au umaarufu wake. U feel me? Hunijui, don't judge me!
 
Na jambo lingine nataka kuliweka wazi hapa... Nilifanya kautafiti kangu kadogo nikagundua kwamba jamaa alikuwa na huyo mwanamke kwa sababu ya kipato cha nguvu. Mimi sio maskini, ila sikumzidi kipato huyo girlfriend wake. Naona siku hizi hata kwa wanawake linapendwa pochi na si mtu!
Amenipa machungu ya kuendelea kuzichanga kwa nguvu sana asee...
 
Back
Top Bottom