Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,901
- 20,410
Hiyo percentage ya ushindi inaongezeka wapi na nani anaiongeza? Hivi nyie siku Lowasa akitemwa kama alivyotemwa uwaziri Mkuu mtakimbilia wapi?Na mzidi kubaki hivyo hivyo kuwa kakata tamaa wakati kila kukicha percentage ya ushindi unaongezeka, hahahha vijana wa WAMA mnachekesha sana