Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,920
Utapigwa na bumbuwazi utakaposikia siku hiyo anatangazwa rais wa jamhuri ya muungano wa TZ.Nani ampe Urais Lowasa? Labda kama Watanzania wote watakuwa mataahira
Utapigwa na bumbuwazi utakaposikia siku hiyo anatangazwa rais wa jamhuri ya muungano wa TZ.Nani ampe Urais Lowasa? Labda kama Watanzania wote watakuwa mataahira
Membe je??Wote Lowasa na Nchimbi ni wale wale tu. hawana jipya
Wote hawa hakuna Rais hapo ni watu wa kufanya kazi zingine lakini siyo urais tena wasituzoee kabisa atapatikana Rais mzuri tu siyo wezi kama huyu mzee.Wote Lowasa na Nchimbi ni wale wale tu. hawana jipya
Silence miens yes.
Anaitwa fisadi- Kimya.
Hawezi kuzunguka uwanja wa taifa ata raundi moja- Kimya.
Afya mgogoro- Kimya.
Huko umeenda mbali. Chukulia Lowasa ni Rais wa nchi, huku anatakiwa kimataifa na ndani ya nchi ziara zinamngoja, na kuna hafla kibao za kitaifa. Nadhani tutakuwa na Rais kama Michael Satta wa Zambia
Pengine yote yanayosemwa juu yake ameona ni ukweli mtupu, sasa awajibu nini ??
Membe je??
Ukimya wa Lowasa unaashiria kukata tamaa na anaandamwa na maradhi yasiyotibika
Wote Lowasa na Nchimbi ni wale wale tu. hawana jipya
Hata Membe naye ni wale wale tu. hawa wameanzisha siasa za makundi ambazo hazina tija ndani ya chama chetu na Watanzania kwa ujumlaMembe je??
Labda kama anakupelekesha wewe unayepumua kwa fadhila zakeMkuu achana na lowassa ni moto wa kuotea mbali aisee anawapeleka ile mbaya....hahahaha ila kwa Nchimbi nakuunga mkono hafai kabisa hata kidogo (objectively)
Huko umeenda mbali. Chukulia Lowasa ni Rais wa nchi, huku anatakiwa kimataifa na ndani ya nchi ziara zinamngoja, na kuna hafla kibao za kitaifa. Nadhani tutakuwa na Rais kama Michael Satta wa Zambia