OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
The loudest is the weakest we will cross the bridge when we get there.
And we will see EL when we get there hahahahaha mkuu unanikumbusha mbali sana
The loudest is the weakest we will cross the bridge when we get there.
Kuna ripoti ya Madaktari wanaomtibu ambayo inaonesha kuwa Lowasa hawezi hata kukimbia mita 10
mchague uone atafanya ninTake care for what?
Hahahahah mkuu hasa kundi la WAMA likisikia lowasaa kapita hapa mharo unawatoka...Ripoti ya daktari MwanaDiwani? Hiyo ripoti ni ya wale wanaomwogopa Lowassa. Isikuumize kichwa
Atakuwa na ale jambo la moyoni,sio bure. Akiwa rais ndipo mtajua kuwa EL alikuwa na lake jambo. Rais ni mtu mwenye mamlaka ya juu kuliko ofisi yoyote hapa nchini.
Ukimya mwingine sio mzuri hata kidgo na epuka sana mtu unayemtukana,unakaripia unamuita kila jina baya halfu kakaa kimya. Watch out!
Mkuu ukimia ni dawa tosha....nakushauri na wewe jifunze kutunza vitu kifuani mtu yoyote mwenye uwezo wa kuweka vitu kifuani huyo kaiva, ila ukiona mtu analia lia huyo bado sana kama kuna jamaa yangu moja aliyetangaza maadui 11 kuwa watahama nchi kwa tafsiri pana huyo hana kifua hata kidgo na sio ajabu hata mambo yake ya familia anatoa nje, mwanaume jasiri utunza vitu kifuani
Ocampofour Alisemaje huyo NyalanduUkimya ndio dawa ya kila kitu,...kuna waziri moja (Nyalandu) kapigwa siku mbili tu ya tatu akafunguka kuhusu Aunt Ezekiel sasa lowassa tokea 1995 anapigwa tu na bado yuko imara, kwa kweli tanzania tunataka kiongozi anayeweza kuweka mambo makubwa na madogo katika vifua...
Ocampofour Alisemaje huyo Nyalandu
ingekuwa hivyo
Kuna siku niliwaza juu ya Afya ya EL. na kujiuliza "Hivi EL angekuwa chama cha upinzani kama kina Dr. Slaa,Mboe au Lissu si tungekwisha msahau. Mana nikiangalia jinsi Makamanda wanavyopambanaga na polisiccm, na jinsi EL watu wanavyodai kuwa hawezi kukimbia ata mita10 sijui ingekuaje.
Andaeni chumba cha kumpepea Lowasa atakapokosa huu urais najua atatokwa na jasho zaidi hata ya mwezi mzima hamtaamini.
Kuna ripoti ya Madaktari wanaomtibu ambayo inaonesha kuwa Lowasa hawezi hata kukimbia mita 10
Ulivyo comment ni dhahiri kabisa imeonyesha upeo wako wa kufikiri ulivyo mdogo rudi shuleee