Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,353
- 1,234
Kwa nini wamjadili na wakati walimtuma wenyewe?
Kwani si alipanda kuwakilisha sera za CCM?
Kwani si alipanda kuwakilisha sera za CCM?
Binafsi yangu aadhibiwe kwa sababu tunataka kuonyesha mfano kwa viongozi wetu wawe responsible na accountable, hili la matusi sii majukumu tulowatuma. Kama ingekuwa kijiweni iwe hata hapa JF labda... lakini kutoa matusi yale ktk mkutano wa hadhara sijui chale za matakoni halafu tunawajua walishughulikiwa jela kama vile hili ni jambo la kawaida japokuwa ni uongo uliotungwa..kusema kweli inasikitisha sana. Yaani hali iliyopo Jela kiongozi anaijua lakini anaifurahia kwa sababu anataka tu kurusha matusi..But you know what, I think it's a good thing. Mimi binafsi sitaki kabisa aadhibiwe.
Binafgsi yangu aadhibiwe kwa savbu tunataka kuonyesha mfano kwa viongozi wetu wawe accountable na hili la matusi sii majukumu tulowatuma. Kama ingekuwa kijiweni iwe hata hapa JF labda... lakini kutoa matusi yale ktk mkutano wa hadhara sijui chale za matakoni halafu tunawajua walishughulikiwa jela kama vile hili ni jambo la kwaida kusema kweli inasikitisha sana. Yaani hali iliyopo Jela kiongozi anaijua lakini anaifurahia kwa sababu anataka tu kurusha matusi..
I like lusinde to campain more for any ccm election!
NN, nadhani watu wamesahau kuwa Lusinde alifanya hivyo kwa jina la CCM, mbele ya viongozi wenzake, na mbele ya taifa akisifia rangi za chama chake na kumwagia kibwagizo. Aliwauliza watu "niwarambe nisiwarambe" wakamwambia "warambee" well kama watu waliona anawakera wangeweza kuondoka mmoja mmoja lakini hawakufanya hivyo. Tamko lolote sasa hivi litakuwa ni kujaribu kukumbuka ndoo kisimani - mtu kafika kisimani ndio anashtuka "oh ndoo yangu iko wapi?"
Sidhani kama Lusinde ndio sababu ya CCM kushindwa Arumeru, pengine ndiye kawapa hata hizo zilizopatikana maana Watanzania wanapenda sana matusi wala sii mchezo.. blog zote za matusi matusi, ndizo zinapanda chati zaidi.Lakini Bob, huoni kwamba huyu jamaa ndo anaweza kuizamisha meli ya CCM 2015? Au wewe bado unataka CCM iendelee tu kutawala?
Sidhani kama Lusinde ndio sababu ya CCM kushindwa Arumeru, pengine ndiye kawapa hata hizo zilizopatikana maana Watanzania wanapenda sana matusi wala sii mchezo.. blog zote za matusi matusi, ndizo zinapanda chati zaidi.
Michuzi imepungua wasomaji kutokana na kuacha dira ile ya mipasho, sasa kamsome Mange na facebook social groups za matusi matusi ndio utawaona kibao wamejazana na niseme karibu nusu ya viongozi wa CCM wanajua kuuchonga kwa matusi..Kama tunataka Change ni lazima tuanze sisi wenyewe kufikiri tofauti kuadhibiana na kutoendekeza matusi maana huko CCM wamejaa sana kina Tambwe, Sophia Simba, Anna Abdallah na mashangingi wenye kujua kuchonga. CCM inakwisha, na kifo chake kinatokana na kushindwa kuwaletea maendeleo wananchi sio kwa sababu ya JK au Lusinde..huu ni mtazamo wangu
Yawezekana lakini unajua hadi sasa naweza sema video hii imetazamwa na watu wengi kuliko hata hotuba za Mkapa, Slaa na Lowassa?Mimi nadhani hayo matusi ya Lusinde yatarahisisha kazi ya CHADEMA ya kuchora mstari wa utenganishi baina yake na CCM.