Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,211
- 113,520
Hivi CCM wameshatoa tamko lolote kuhusiana na mbunge wao Livingston Lusinde kuporomosha mitusi kule Arumeru?
Last edited by a moderator:
.zile ni bangi za mchana..! KWANZA AOWAOMBE MSAMAHA WANAWAKE KWA KUWATUKANA NA MIMBA ZAO..!
I like lusinde to campain more for any ccm election!
Hivi CCM wameshatoa tamko lolote kuhusiana na mbunge wao Livingston Lusinde kuporomosha mitusi kule Arumeru?
NN
Inasikitisha kuona hadi sasa, hakuna kiongozi yeyote wa CCM aliyekana matusi ya Lusinde
it is really disappointing