Ukimya ni jibu bora kwa wajinga!

Ukimya ni jibu bora kwa wajinga!

Ndo hata mimi nimeshangaa! Halafu mida alikuwa hajaonekana huyu jingalao, kisha Leo anaibuka kusema watu wafanye kazi. Kwani kuna watu wameacha kufanya kazi? Threads kama hizo ndo zinazidisha sintofahamu.

Ni lazima wakanushe ili kupata wakati wa kuendelea kuweka mambo sawa ,hii ni kama itakuwa ni kweli lakini kwa sasa zinabaki kuwa ni tetesi tu.
 
yani hata polls zikiekwa na twaweza, na uhakika 70% wanafurahia, hivi nyie kwa akili ya kawaida, kipindi cha nyerere tu tulivyopokea habari mbaya nchi yote ilipoa watu wakalia kila pembe ya nchi, ni kwasababu ya mema aliyopanda na utu wake mwema, RIP blessed nyerere, ila huyu mrundi kila mtu anafurahia na mpaka sasa hamuoni tatizo, nyie mnaopinga watu kutoa mawaZo/hisia zao nyie mna maisha mazuri kupitia yeye (minority mnakula raha) while wengi tunateseka biashara haziendi, money velocity imepungua, midege inanunuliwa wapandaji hamna, mikopo kwa wanafunzi idadi inapungua, watu wanaopinga wanauliwa ( rip saa nane, azory, get well soon lissu) , ushuhuda wa Lema unakaribia kutimia, eh mwenyezi na iwe utakavyo
Ndege hazina wapandaji?? Hebu ingia mtandaoni fanya booking ya ndege ya kesho toka DSM kwenda mwanza asubuhi uone kama utapata nafasi!

Pia, mbona pesa za mikopo ya elimu ya juu za mwaka huu ni nyingi kuliko za mwaka jana?? Mikopo ipi inayopungua?
 
Ni lazima wakanushe ili kupata wakati wa kuendelea kuweka mambo sawa ,hii ni kama itakuwa ni kweli lakini kwa sasa zinabaki kuwa ni tetesi tu.
Kauli za watu waendelee na kazi zina mashaka. Nadhani huyu naye kapanic tu. Bila kutueleza nini kinaendelea zaidi ya kusema watu wafanye kazi utadhani kuna jambo ambalo ni baya linafichwa.

Kama rais anaumwa tu halafu wanafanya hivi, basi hao ndo washauri wabaya wenye kutaka kumfanya kama Mungu mtu. Nani asiyeugua dunia hii sisi binadamu?

Watu wanataka taarifa za rais wetu wewe jingalao Unakuja hapa kusema eti “fanyeni kazi” umejuaje watu wameacha kufanya kazi? Na kama wameacha kufanya kazi ninyi ndo mmesababisha hamsemi ukweli mnaleta taharuki.
 
Watanzania tuendelee kuchapa kazi ....#Hapakazitu.
1571553451885.png
 
yani hata polls zikiekwa na twaweza, na uhakika 70% wanafurahia, hivi nyie kwa akili ya kawaida, kipindi cha nyerere tu tulivyopokea habari mbaya nchi yote ilipoa watu wakalia kila pembe ya nchi, ni kwasababu ya mema aliyopanda na utu wake mwema, RIP blessed nyerere, ila huyu mrundi kila mtu anafurahia na mpaka sasa hamuoni tatizo, nyie mnaopinga watu kutoa mawaZo/hisia zao nyie mna maisha mazuri kupitia yeye (minority mnakula raha) while wengi tunateseka biashara haziendi, money velocity imepungua, midege inanunuliwa wapandaji hamna, mikopo kwa wanafunzi idadi inapungua, watu wanaopinga wanauliwa ( rip saa nane, azory, get well soon lissu) , ushuhuda wa Lema unakaribia kutimia, eh mwenyezi na iwe utakavyo
Ndege hazina wapandaji?? Hebu ingia mtandaoni fanya booking ya ndege ya kesho toka DSM kwenda mwanza asubuhi uone kama utapata nafasi!

Pia, mbona pesa za mikopo ya elimu ya juu za mwaka huu ni nyingi kuliko za mwaka jana?? Mikopo ipi inayopungua?
 
Ndege hazina wapandaji?? Hebu ingia mtandaoni fanya booking ya ndege ya kesho toka DSM kwenda mwanza asubuhi uone kama utapata nafasi!

Pia, mbona pesa za mikopo ya elimu ya juu za mwaka huu ni nyingi kuliko za mwaka jana?? Mikopo ipi inayopungua?
Aende Mwanza atambe, huyo kwao naangurukuru na Somanga huko
 
Kauli za watu waendelee na kazi zina mashaka. Nadhani huyu naye kapanic tu. Bila kutueleza nini kinaendelea zaidi ya kusema watu wafanye kazi utadhani kuna jambo ambalo ni baya linafichwa.

Kama rais anaumwa tu halafu wanafanya hivi, basi hao ndo washauri wabaya wenye kutaka kumfanya kama Mungu mtu. Nani asiyeugua dunia hii sisi binadamu?

Kabisa ..
 
Hata akifa hupewi nchi wewe.hata akifa ni mapenzi ya Mungu .hata wewe utakufa.mwanadamu ameumbiwa kuzaliwa na kufa.Shujaa atakuwa amekufa akiwatetea wanyonge.
Utaendelea kuwa mnyonge forever
 
Kifo cha MTU muovu ni furaha kwa dunia bali kifo cha MTU mwema ni huzuni kwa dunia.Heri Mungu angemuacha Mengi aishi awachukue waovu dunia ipumue
 
Tutajenga Hospitali kwa B 6 na zaidi
 
Back
Top Bottom