Ukimya ni jibu bora kwa wajinga!

Ukimya ni jibu bora kwa wajinga!

Mimi nilikuwa najua chuma/jiwe hakiwezi pitia changamoto kama hizi, nafikiri kama ikiwa kweli na akifanikiwa kutoka salama itabidi afanye analysis vyote anavyofanya ni vipi vinatengeneza chuki. Maana inaonesha watu wanasubiri mwisho mbaya
Hakuna Rais asiechukiwa
 
yani hata polls zikiekwa na twaweza, na uhakika 70% wanafurahia, hivi nyie kwa akili ya kawaida, kipindi cha nyerere tu tulivyopokea habari mbaya nchi yote ilipoa watu wakalia kila pembe ya nchi, ni kwasababu ya mema aliyopanda na utu wake mwema, RIP blessed nyerere, ila huyu mrundi kila mtu anafurahia na mpaka sasa hamuoni tatizo, nyie mnaopinga watu kutoa mawaZo/hisia zao nyie mna maisha mazuri kupitia yeye (minority mnakula raha) while wengi tunateseka biashara haziendi, money velocity imepungua, midege inanunuliwa wapandaji hamna, mikopo kwa wanafunzi idadi inapungua, watu wanaopinga wanauliwa ( rip saa nane, azory, get well soon lissu) , ushuhuda wa Lema unakaribia kutimia, eh mwenyezi na iwe utakavyo
 
Ila ukimya huu ni zaidi ya jibu

Itafika wakati, muda utapiga kelele na kelele ndo zitakuwa jibu sahihi
 
Back
Top Bottom