UKIMWI unavyotafuna vijana

UKIMWI unavyotafuna vijana

Pole sana na mateso unayopitia. Hebu fikiri ni vipi utaishi bila kujua hatma ya maisha yako hadi lini? Jilipue tu mkuu kuna faida nyingi zaidi ya kujua hatma ya maisha yako kuliko hasara.
Asante ila Nina amani na furaha sana.kuliko anaepima kila mwezi utazani atakufa
 
Hakuna wakati mgumu kwa mgonjwa wa ukimwi kama wakati wa kudungwa ile sindano ya damu ya viral load, huwa nawaonea huruma sana.

Vijana jitahidini mjilinde acheni ngono zembe ukimwi Upo na unatisha kuliko unavyofahamu.
Huwa wanadungwa sehemu gani ya mwili na nini kinakufanya uone huruma ni mchakato wenye maumivu?
 
Hii kwa sasa haina shida watoto wanazaliwa salama kabisa shida ilikuwa miaka ya 90 kuja katikati ya 2000 ambao kwa sasa ni vijana wengi walizaliwa na hili janga.
Tembea uone Mkuu.

Kuna maeneo baadhi ya wajawazito hadi leo hawaendi clinic hata mara moja mpaka siku anajifungua tena kwa mkunga wa jadi.

Kwa mazingira hayo mtoto atazaliwaje salama?
 
ARV zipo usitutishe bana hatuogopi kimwi tunaogopa wahisani kusitisha ufadhili
Wa ARV
 
Cha ajabu ni kwamba tz ni taifa ambalo limejaa guest houses, tofauti na mataifa jirani kenya na mozambique, na swali langu ni hili hapa, mbona tz guest houses zimejaa kila mji, kijiji na kwingineko, hio ni ishara ya kuwa watz wanapenda kufanya sex sana tena sana, na hii jambo pia inachangia pakubwa kwa kuifanya tz kuwa taifa masikini ajabu licha ya kujariwa kuwa na a lot of natural resources, na pia watu sio wengi ambao wana elimu bora, pia hio huchangia pakubwa, so tiba ni watu wapewe elimu kuhusu hii ugojwa
 
Tembea uone Mkuu.

Kuna maeneo baadhi ya wajawazito hadi leo hawaendi clinic hata mara moja mpaka siku anajifungua tena kwa mkunga wa jadi.

Kwa mazingira hayo mtoto atazaliwaje salama?
Duh!!!kuna sababu ya muhimu inayowafanya wasiende kwenye vituo vya afya?
 
Siri nzito inayopelekea UKIMWI kutmalaki ni jambo moja tu, with kutangaza ugonjwa tofauti hasa wakati wa kusoma historia ya maremu, tungetangaza kuwa marehemu kaondoka na ngwengwe mke na michepuko yake isingeguswa na HIV -ve, TUPIMWE WOTE KISHA ATAKAEKUTWA POZITIVU APIGWE CHAPA KWENYE TAKO NA ITANGAZWE ILI KILA ATAKAEKUWAA MIADI KABLA YA KUTUMBUKIZA MBOYOGO a.k.MKUYENGE NI LAZIMA TUCHUGULIANE MAKALIONI
Umetoa idea nzuri sana. Wenye nao wawekwe alama sehemu ambazo zinaonekana tu wakati we tukio. Hii si udhalilishaji bali kuokoa jahazi
 
Asante ila Nina amani na furaha sana.kuliko anaepima kila mwezi utazani atakufa
Jifariji tu mkuu, ungekuwa na amani usingehofu. Bila shaka record zako ndizo zinazokutisha. Kama hutojali niPm nikusaidie nyenzo upime hata nyumbani kama Upo Dar.
 
Hamna ukimwi tena ,sijawahi sikia kwenye mazishi mtu ametangulia mbele ya haki kwa ukimwi,
 
Back
Top Bottom