UKIMWI unavyotafuna vijana

Daah aiseeh inatisha!! Mwenyezi Mungu atusaidie kwa kweli
 
Usirahisishe mambo mkuu hizo dawa zinaua sana Figo na ini, pia ni mateso kuishi kwa kunywa dawa kila siku
 
Abdallah Kadidi
Rehema Kadidi
Mwantumu Kadidi

Hawa ni ndugu zangu wa kuzaliwa, mmoja kati ya hao niliowataja ni mtoto wa baba mdogo. Wawill wako Tanga mjini, mwingine yuko handeni.
Huyo aliyeko handeni nitajie kwa jina aisee maana na mimi niko handeni mjini
 
Abdallah Kadidi
Rehema Kadidi
Mwantumu Kadidi

Hawa ni ndugu zangu wa kuzaliwa, mmoja kati ya hao niliowataja ni mtoto wa baba mdogo. Wawill wako Tanga mjini, mwingine yuko handeni.
@tindo mi nipo handeni mjini hebu niambie huyo wa handeni ni yupi hapo
 
naomba serikali izuie madawa kugawa bure ila wanunue maana walikuwa hawasiikii wakitangaziwa kuna ukimwi na huko kwenye kuzini walikuwa wakitoa pesa na wapili ni mpokeaji na kwenye dawa waanze kulipa iwe fundisho kwa wengine maana ngono imezidi watu wanajisifia kkwenye miziki mapenzi tuuu na michezo ya kuigiza ni mapenzi tuu hawana jambo lingine
 
Watu kama vichaa.....ni ngono tuu....papuchi tamuu
 

sasa we huoni hio nayo ni shida kuzunguka kila siku mahospitali kujitibu? ee mungu tuepushe na magonjwa mazito...Amiin[emoji120]
 
Nini kifanyike? Kwa sasa naona kama kuna kampeni za kufanya watu waanze kuzoea tatizo la ugonjwa wa UKIMWI kwa kuwa MTU yoyote unaweza kupatwa na maambukizi kwa njia moja au nyingine.Hakuna aliyesalama kama katika ugonjwa kwa asilimia 100% sio UKIMWI,Ebola,Rift Valley Fever au Mafua ya Ndege na Nguruwe.Tujitahidi tu kadri tuwezavyo kuwa wasafi na waaminifu.
 
Na kweli hata zile kampeni zilizokuwa ninaendeshwa na TACAIDS naona zimepungua sana
Limeshakuwa gonjwa la kawaida tu sasa. Hivyo ndivyo jamii inavyofikiria, which is wrong. Hata kampeni elimisha zimefifia sana.
Umechukuliwa kama ugonjwa tu Wa kawaida kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…