UKIMWI unavyotafuna vijana

Nikaona tu Nindiy kama wanarudiana na yule wa zamani,halafu nikamuona yule wa zamani kama amechoka hivi. Nikajiuliza au ni hii unga? Lakini mmh. Wakati nikasikia Nindiy eti anatoka na huyu simba #1 musician. Mmh...!. Nikaogopa sana,nikajisikia machungu sana. MUNGU anusuru isiwe kama ninavyowaza. Kwani huyu warumi anasemaje kuhusu hii kitu?
 
We utakua nao afu istoshe unaexperience ya maumivu ya roho

Mi Niliwah Pima majib ya mwanz yakawa tata..... Asee niliwaza vingi sana ktk age ya 25" """"" Ningekufa kwa stress lkn kilichonipa moyo ni mpenz angu baada ya kupima akawa fresh. ......hvo nilkaa 6month nikaenda Pima tena nikawa poaaaaaaàaaaa sitasahau.....moja ya kitu kinachoua kupitia Ukimwi ni Stress Over""
N.B
Ukimwi Upo na Unaua
Huoni kuna utata katika kitu kinaitwa UKIMWI?Kama mara ya kwanza walisema umenasa na wakati huohuo mpenzi wako yuko safi lkn Baada ya muda nawe ukaambiwa safi?Unaweza enda pima tena ukaambiwa umenasa.
 
Kwanini mtu akifa kwa ukimwi kutajwa sababu ya kifo chake inakuwa shida wakati magonjwa mengine yanatajwa kama maralia, kansa, tezi nk ukimwi una shida gani?
Ni mindset tu as muafrika alizokaririshwa na mzungu ili propaganda za HIV/AIDS zifanye kazi. Tushaaminishwa AIDS ndio ugonjwa Hatari sana na ukiupata basi lazima ufe. Wengi wanakufa mapema sio AIDS, Wanakufa stress. Stress zinaweza kushusha kinga zako za mwili kwa muda mfupi sana.
 
Miaka kumi ijaoyo watu maarufu na vijana wanaoonekna nyota wengi watakuwa wanaishi kwa matumaini
Nijambo ambalo sio siri na nina dhani Serikali pitia idara nyeti ya taifa kiusalama ni muda mwafaka wakaliangalia hili kwa macho sita watu wanakufa na ukweli hausemwi ila walio na macho ya mbali watakubaliana nami 99% ya vijana na watu maarufu nyuma yake kuna siri ya hiki kirusi ila hakuna anayesema tunaishia sema malaria na UTI kali.

Tunasahau kuwa kushuka kinga ya mwili huleta hayo magonjwa kwa kiwango kisichodhibitika.

Nani aliokoe taifa nani asimame kuwaambia vijana na watanzania Ukimwi unatumaliza silence na kesho yetu ni ya mashaka.

Ndugu mbona unateseka hivi? Umeathirika?
 
Sio hisani, Hiyo ni Biashara.Hakuna mzungu wa kumpa muafrika kitu cha bure.Kinachofanyika ni kuja contracts zao za kilaghai na mnapewa ARV,CONDOM na NETI.

Naona boss kabadilika, umesogezwa mbele kidogo, hata nikupitie unitoe kaka?
 
Back
Top Bottom