Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,733
- 39,834
Je ukimwi ukisogeleana na mtu karibu unamuambukiza, Ukipiga chafya mbele yake anapata? Wazee ambao hata tendo la ndoa hawashiriki wanapata?Kosoa kwa maelezo ili tunufaike. UKIMWI na COVID-19 vyote ni public health issues!
Hiyo ndo maana ya hatari?korona ni hatari kuliko ukimwi inaua ndani ya muda mfupi
Sijawahi sikia wakikataa makanisani.. Lete video kama zinavyokuja za Gwaji boi.. Mbona maneno mengi mtaalamKutosikia ni matatizo yako binafsi.
Kama huna taarifa za msimamo wa kanisa katoliki na makanisa mengine, kaa kimya! Hakuna kiongozi wa dini aliyewahi kubali kondomu kwa waumini wake. Wao binafsi wanatumia, lakini makanisani kama anavyofanya Gwajima walishakataa.
Kwa andiko lako wewe ni mtu wa "Nguin". ebu tafakari haya......Nahisi viongozi wetu wana usahaulifu au uelewa usiolingana na wananchi wa nchi hii. Viongozi wa dini wamepinga matumizi ya kondomu miaka yote, lakini hatujawahi sikia serikali ikiagiza wakamatwe. Dini zote kubwa hapa nchini, hawataki kuruhusu waumini wao kutumia kondomu. Kosa la Gwajima lina tofauti gani na hao wengine?
UKIMWI unaua watu wengi Afrika hii na Tanzania yetu kuliko COVID-19. Kinga ikiwa ni matumizi ya kondomu. Kondomu zikapigwa vita hadhalani! Serikali hawa hawa! CCM hawa hawa! Hadi leo wameufyata! Nauliza swali kama la Gwajima, Chanjo ina manufaa gani kwa viongozi wetu kuliko barakoa?
Una umri gani? MAkanisa yamekuwa ni kitovu cha elimu mbovu! Kama umemaliza shule hivi karibuni, jaribu kusoma evolution ya HIV na matumizi ya kondomu. Utayaona boss. Kama ni graduate wa siku hizi sioni ajabu maana utakutana na Anglican wakiruhusu ushoga.Sijawahi sikia wakikataa makanisani.. Lete video kama zinavyokuja za Gwaji boi.. Mbona maneno mengi mtaalam
Offtrack! Zero score! Tatizo la Gwajima ni mode of transmission? Kinachojadiliwa ni viongozi wa dini kupinga maagizo ya serikali. Siyo mara ya kwanza. Walishapinga hata chanjo ya Polio kwa wasichana.Kwa andiko lako wewe ni mtu wa "Nguin". ebu tafakari haya......
1. Mode of transmission of Ukimwi na corona ni tofauti sana. Ugonjwa wowote ambao ni air transmitted ni hatari kuliko ule wa skin/body fluid contact, etc tena privately contact between 2 people .....
2. management of Ukimwi is simple compared to Covid
3. Covid 19 is associated with high mortality rate compared to HIV in a aspecified time interval from infection
4. Infectivity is easy with covid compared to HIV
Muuguze mgonjwa wa covid!Sayansi ya sayari gani hiyo?
Offtrack! Zero score! Tatizo la Gwajima ni mode of transmission? Kinachojadiliwa ni viongozi wa dini kupinga maagizo ya serikali. Siyo mara ya kwanza. Walishapinga hata chanjo ya Polio kwa wasichana.
Serikali inasema tumia kondomu wao wanasema ni immoral
Serikali inasema nenda uchanjwe wao wanasema acha ni hatari
It needs wasting no time to elaborate airborne and whatever to a logical person.
Asante maana mleta hoja nimemjibu aka respond as if he is not the one who posted the stuff! robinson crusoe na huyyu alivyojibu kama mimi....... mode of transmission ya corona ni more catastrophic if left unchecked compared to HIV ndiyo maana watu hawalazimishwi kuvaa condom.. sijui kama utaelewa.... kwaheriJe ukimwi ukisogeleana na mtu karibu unamuambukiza, Ukipiga chafya mbele yake anapata? Wazee ambao hata tendo la ndoa hawashiriki wanapata?
Chanjo ya UKIMWI wameanza majaribio leoNahisi viongozi wetu wana usahaulifu au uelewa usiolingana na wananchi wa nchi hii. Viongozi wa dini wamepinga matumizi ya kondomu miaka yote, lakini hatujawahi sikia serikali ikiagiza wakamatwe. Dini zote kubwa hapa nchini, hawataki kuruhusu waumini wao kutumia kondomu. Kosa la Gwajima lina tofauti gani na hao wengine?
UKIMWI unaua watu wengi Afrika hii na Tanzania yetu kuliko COVID-19. Kinga ikiwa ni matumizi ya kondomu. Kondomu zikapigwa vita hadhalani! Serikali hawa hawa! CCM hawa hawa! Hadi leo wameufyata! Nauliza swali kama la Gwajima, Chanjo ina manufaa gani kwa viongozi wetu kuliko barakoa?
Gwajima hana kosa lolote (kisheria)japo anapotosha. Huyo waziri aliyeamrisha akamatwe nadhani wengi mnamjua ni nusu kichaa. Kosa la Gwajima liko within his political party. Chama anachokiwakilisha ndiyo kinatakiwa kimwajibishe kwa kwenda kinyume na matakwa yake. Kwangu mimi kinachotakiwa kufanywa na chama chake ni kumpa options mbili: ama aachie ngazi kwenye ubunge abaki mwanachama wa kawaida, au aachie ngazi kwenye uongozi wa kiroho na abaki kama muumini wa kawaida. Hii ni kwa sababu kuna mgongano wa maslahi anapokuwa na uongozi sehemu zote mbili.Sasa, Mjadala umenoga!
Kweli! Tofauti ya kinga ya UKIMWI na COVID-19 ni ipi? magonjwa haya yote ni kirusi. Ukivaa kondomu unajikinga na kuwakinga wengine. Ukichanjwa unajikinga na kuwakinga wengine. Kwa nini Serikali ikamate wanaopinga chanjo ya corona lakini wanaopinga matumizi ya kondomu wao wana haki?
Kuhusu kusambaa ni kweli kabisa. Na hili hasa ndilo limeiweka dunia kwenye wanguwangu.Asante maana mleta hoja nimemjibu aka respond as if he is not the one who post the stuff! robinson crusoe na huyyu alivyojibu kama mimi....... mode of transmission ya corona ni more catastrophic if left unchecked compared to HIV ndiyo maana watu hawalazimishwi kuvaa condom.. sijui kama utaelewa.... kwaheri
Mkuu wewe una umri mkubwa, graduate--- Lete video nione. Mbona unarefusha mjadala wakati ni mfupi tu? Nataka nione context ya kwanini hao wanaokataza condoms hawakuagizwa wakamatwe, isipokuwa kwa Gwajima pekee, ewe graduate---Una umri gani? MAkanisa yamekuwa ni kitovu cha elimu mbovu! Kama umemaliza shule hivi karibuni, jaribu kusoma evolution ya HIV na matumizi ya kondomu. Utayaona boss. Kama ni graduate wa siku hizi sioni ajabu maana utakutana na Anglican wakiruhusu ushoga.
Ukimwi umeua watu wangapi kwa muda gani na kovid imepita na watu wangapi kwa muda gani? Pili ukimwi ukiamua kuuepuka ni rahisi je kovid?Nahisi viongozi wetu wana usahaulifu au uelewa usiolingana na wananchi wa nchi hii. Viongozi wa dini wamepinga matumizi ya kondomu miaka yote, lakini hatujawahi sikia serikali ikiagiza wakamatwe. Dini zote kubwa hapa nchini, hawataki kuruhusu waumini wao kutumia kondomu. Kosa la Gwajima lina tofauti gani na hao wengine?
UKIMWI unaua watu wengi Afrika hii na Tanzania yetu kuliko COVID-19. Kinga ikiwa ni matumizi ya kondomu. Kondomu zikapigwa vita hadhalani! Serikali hawa hawa! CCM hawa hawa! Hadi leo wameufyata! Nauliza swali kama la Gwajima, Chanjo ina manufaa gani kwa viongozi wetu kuliko barakoa?
Plus wanabugua mbolea balaa kuongeza siku za kuishi bila kusema loloteNahisi viongozi wetu wana usahaulifu au uelewa usiolingana na wananchi wa nchi hii. Viongozi wa dini wamepinga matumizi ya kondomu miaka yote, lakini hatujawahi sikia serikali ikiagiza wakamatwe. Dini zote kubwa hapa nchini, hawataki kuruhusu waumini wao kutumia kondomu. Kosa la Gwajima lina tofauti gani na hao wengine?
UKIMWI unaua watu wengi Afrika hii na Tanzania yetu kuliko COVID-19. Kinga ikiwa ni matumizi ya kondomu. Kondomu zikapigwa vita hadhalani! Serikali hawa hawa! CCM hawa hawa! Hadi leo wameufyata! Nauliza swali kama la Gwajima, Chanjo ina manufaa gani kwa viongozi wetu kuliko barakoa?
Kwani mtandao unaotumia kuandika haya ukitafuta takwimu za UKIMWI hutapata? Kwa nini unauliza? Ongeza Malaria.Ukimwi umeua watu wangapi kwa muda gani na kovid imepita na watu wangapi kwa muda gani? Pili ukimwi ukiamua kuuepuka ni rahisi je kovid?