Bunsen Burner
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 909
- 1,099
Yaani ndo nchi zetu za Afrika tulivyo..
..., mambo yaleyale na afadhali hata nchi kama SA wanajaribu kwa katiba yao na kuheshimu sheria zao, na jana tu tumeona yaliyofanyika kwa Jacob Zuma.... bado naona tuna safari ni ndefu...kazi iendelee.
..., mambo yaleyale na afadhali hata nchi kama SA wanajaribu kwa katiba yao na kuheshimu sheria zao, na jana tu tumeona yaliyofanyika kwa Jacob Zuma.... bado naona tuna safari ni ndefu...kazi iendelee.
Tanzania Marais hawawajibiki wakiwa madarakani kwakua wakimaliza muda wao haijalishi walichokifanya Bado wanabakia na heshima zao ,
Hakuna wa kuwawajibisha.