Illuminata Rodgers
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,845
- 2,017
- Thread starter
- #21
Thank you PutinA lovely word from a lovely Luminosity!
Yes unajua kuachana namtu kwa kumzushia Uongo machoni pawatu ili umfanye asiaminike tena nijambo baya sana na lakukemea ,kama MTU kakufanyia ubaya wee kwenda zako IPO siku huo Ubaya utajidhihirisha kweli machon pa wengi !!.
Wanaume Wa iyo huwa niwabaya sana nahuishia kutanga tanga ,, Na mwanamke aloachwa na mwanamme Wa aina iyo huwa ni mzuri sana nje na ndani , na ikitokea Umekuja na Umemshika mkono , nakutembea naye njiani ktk wakati ambao nayeye anastruggle kuifanya jamii impende , basi moja kwa moja atakukabidhi kuanzia unyayo mpaka nywele zake .
"Sometimes good looks do not go to with virtue and ugliness do not go with sins".
It hurts you know yan mtu baada ya ku break Up anaanza kuongea shit about you na mengne ambayo hayapo kabisaaa but yanaibuka baaada ya yeye kuamua ku move on