Illuminata Rodgers
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,845
- 2,017
Unapoamua kuachana na mtu achana nae for good usimtafutie sababu kwa kumzulia jambo lisilo la kweli na kumpakaza mabaya kwa wengine, kwani kufanya hivo haitakufanya wewe kuonekana mwema kwa wengine na haisaidii chochote wala haiongezi chochote. Hakuna mtu anaforce mtu awe nae hiyo ni choice when u decide to move on move for good.