Ile shule ya Tundu Lissu kule zanzibar hakuna hata mmoja anaweza kukosoa kama hataki kuumbuka. Iko deep sana. Nilikuwa sijui kama tanganyika tulipata uhuru mwaka 1958.
Msamehe..ndo asili yetu wanawakeWivu utakuua.
Uko sawa kabisa, kumbe ni bogus maandazi mmoja hivi.1: Ni mr negative, yani kwake yeye Tanzania haikuwahi kufanya jambo zuri hata siku moja. Tangu Uhuru hadi leo Tanzania haina jema hata moja kwake. Yaani kwake Tanzania imefeli kila kitu.
2: Anajua Sheria kuliko watanzania wote walio wahi kusoma na waliopo kwenye taaluma hiyo. Majaji, mahakimu, mawakili n.k wote kwake ni mambumbumbu tu wasiojua kitu kwenye sheria.
3: Yeye ndio msomi peke yake Tanzania nzima, walio baki wote ni vilaza kuanzia walimu wake walio mfundisha hadi viongozi wenzake alio nao chamani. Kwakifupi kwamba yeye ndio msomi pekee hapa Tanzania na ana fani na taaluma zote kabisa hajakosa hata moja.
4: Tanzania haikuwahi kuwa na kiongozi bora tangu Uhuru kuanzia baba wa Taifa ( ambaye kwake ni muuaji na ni mkolini aliye kalia Zanzibar kimabavu) hadi hawa viongozi wa sasa. Yaani ngazi zote kuanzia Marais wote hadi Wajumbe wa nyumba kumi wato kwake yeye ni takataka.
5:Ni mtu aliye tayari kutetea na kuunga mkono chochote ili mladi tu kinaisema vibaya Tanzania.
Yaani chochote kile kinachoweza kutumika kushambulia Tanzania na viongozi wake yupo tayari kukiunga mkono mladi tu kinampa faida kisiasa.
Hayo ni maoni yangu sio lazima yafanane na yako.
Unapoandika kitu, kiwekee na justification.1: Ni mr negative, yani kwake yeye Tanzania haikuwahi kufanya jambo zuri hata siku moja. Tangu Uhuru hadi leo Tanzania haina jema hata moja kwake. Yaani kwake Tanzania imefeli kila kitu.
2: Anajua Sheria kuliko watanzania wote walio wahi kusoma na waliopo kwenye taaluma hiyo. Majaji, mahakimu, mawakili n.k wote kwake ni mambumbumbu tu wasiojua kitu kwenye sheria.
3: Yeye ndio msomi peke yake Tanzania nzima, walio baki wote ni vilaza kuanzia walimu wake walio mfundisha hadi viongozi wenzake alio nao chamani. Kwakifupi kwamba yeye ndio msomi pekee hapa Tanzania na ana fani na taaluma zote kabisa hajakosa hata moja.
4: Tanzania haikuwahi kuwa na kiongozi bora tangu Uhuru kuanzia baba wa Taifa ( ambaye kwake ni muuaji na ni mkolini aliye kalia Zanzibar kimabavu) hadi hawa viongozi wa sasa. Yaani ngazi zote kuanzia Marais wote hadi Wajumbe wa nyumba kumi wato kwake yeye ni takataka.
5:Ni mtu aliye tayari kutetea na kuunga mkono chochote ili mladi tu kinaisema vibaya Tanzania.
Yaani chochote kile kinachoweza kutumika kushambulia Tanzania na viongozi wake yupo tayari kukiunga mkono mladi tu kinampa faida kisiasa.
Hayo ni maoni yangu sio lazima yafanane na yako.
Hawezi kukujibu, shemeji kashatoka chumbani na dada yake na amechukua simu yake.Ya uchaguzi wa Lema Arusha mjini na wa Bunda mjini kwa Ester Bulaya ..nikuongezee???
Swali zuri lkn tatizo umeuliza ubongo mfu.Hebu nikuulize, unafanya jema 1 alafu mabaya 10. Kwenye probability unaangukia wapi?
Mkuu wala usihangaike kutafuta eti ni kesi zipi. Mfano rahisi tu ni jinsi Alivyowekewa vizingiti vingi wakati wa kurudisha fomu yake kwenye Ofisi za NEC. Lakini hoja zote zile alizipangua na kisha kuibuka mshindi na Tume kumteua rasmi kuwa Mgombea Urais. Je hapo kwako wewe siyo masuala ya Kisheria??Kamanda nitajie hata case mbili alizo shinda tundu lissu
Wameelezwa ukweli Kisha wakaamua kumkataa mchana kweupeLissu anawaeleza watanzania ukweli mchungu na ambao msingependa watu waelezwe.
Ukatili,dhuluma, uonevu na unyanyasaji ndio sifa kuu za awamu hii na ambazo Lissu anazilaani majukwaani huku wananchi wanamshangilia.
Tulieni muelezwe ukweli.