Uchaguzi 2020 Ukimsikiliza sana Tundu Lissu utagundua sifa hizi kuu kwa huyu Rais mtarajiwa

1: Ni mr negative, yani kwake yeye Tanzania haikuwahi kufanya jambo zuri hata siku moja. Tangu Uhuru hadi leo Tanzania haina jema hata moja kwake. Yaani kwake Tanzania imefeli kila kitu.

2: Anajua Sheria kuliko watanzania wote walio wahi kusoma na waliopo kwenye taaluma hiyo. Majaji, mahakimu, mawakili n.k wote kwake ni mambumbumbu tu wasiojua kitu kwenye sheria.

3: Yeye ndio msomi peke yake Tanzania nzima, walio baki wote ni vilaza kuanzia walimu wake walio mfundisha hadi viongozi wenzake alio nao chamani. Kwakifupi kwamba yeye ndio msomi pekee hapa Tanzania na ana fani na taaluma zote kabisa hajakosa hata moja.

4: Tanzania haikuwahi kuwa na kiongozi bora tangu Uhuru kuanzia baba wa Taifa ( ambaye kwake ni muuaji na ni mkolini aliye kalia Zanzibar kimabavu) hadi hawa viongozi wa sasa. Yaani ngazi zote kuanzia Marais wote hadi Wajumbe wa nyumba kumi wato kwake yeye ni takataka.

5:Ni mtu aliye tayari kutetea na kuunga mkono chochote ili mladi tu kinaisema vibaya Tanzania.
Yaani chochote kile kinachoweza kutumika kushambulia Tanzania na viongozi wake yupo tayari kukiunga mkono mladi tu kinampa faida kisiasa.

Hayo ni maoni yangu sio lazima yafanane na yako.

umesahau hadi polisi kwake ni takataka
 
Mtu anaye jivunia elimu yake wew unateseka nn nyumbu wew
1: Ni mr negative, yani kwake yeye Tanzania haikuwahi kufanya jambo zuri hata siku moja. Tangu Uhuru hadi leo Tanzania haina jema hata moja kwake. Yaani kwake Tanzania imefeli kila kitu.

2: Anajua Sheria kuliko watanzania wote walio wahi kusoma na waliopo kwenye taaluma hiyo. Majaji, mahakimu, mawakili n.k wote kwake ni mambumbumbu tu wasiojua kitu kwenye sheria.

3: Yeye ndio msomi peke yake Tanzania nzima, walio baki wote ni vilaza kuanzia walimu wake walio mfundisha hadi viongozi wenzake alio nao chamani. Kwakifupi kwamba yeye ndio msomi pekee hapa Tanzania na ana fani na taaluma zote kabisa hajakosa hata moja.

4: Tanzania haikuwahi kuwa na kiongozi bora tangu Uhuru kuanzia baba wa Taifa ( ambaye kwake ni muuaji na ni mkolini aliye kalia Zanzibar kimabavu) hadi hawa viongozi wa sasa. Yaani ngazi zote kuanzia Marais wote hadi Wajumbe wa nyumba kumi wato kwake yeye ni takataka.

5:Ni mtu aliye tayari kutetea na kuunga mkono chochote ili mladi tu kinaisema vibaya Tanzania.
Yaani chochote kile kinachoweza kutumika kushambulia Tanzania na viongozi wake yupo tayari kukiunga mkono mladi tu kinampa faida kisiasa.

Hayo ni maoni yangu sio lazima yafanane na yako.
 
Wewe unasumbuliwa na mambo mawili, kwanza hutaki kuujua ukweli kuhusu Tanzania kupitia kusoma na kujielimisha na pili ukiambiwa ukweli na wanaojua pia hutaki. Lissu ni mtu anayesoma na kufuatilia mambo ya nchi hii sana na hivyo anayafahamu kweli kweli, ndiyo maana majuzi kule visiwani alitoa darasa tosha na hakuna hata mmoja aliyemzomea au kumpinga. Mwisho wewe pia umezoea kudanganywa sanaa.
 
1: Ni mr negative, yani kwake yeye Tanzania haikuwahi kufanya jambo zuri hata siku moja. Tangu Uhuru hadi leo Tanzania haina jema hata moja kwake. Yaani kwake Tanzania imefeli kila kitu.

2: Anajua Sheria kuliko watanzania wote walio wahi kusoma na waliopo kwenye taaluma hiyo. Majaji, mahakimu, mawakili n.k wote kwake ni mambumbumbu tu wasiojua kitu kwenye sheria.

3: Yeye ndio msomi peke yake Tanzania nzima, walio baki wote ni vilaza kuanzia walimu wake walio mfundisha hadi viongozi wenzake alio nao chamani. Kwakifupi kwamba yeye ndio msomi pekee hapa Tanzania na ana fani na taaluma zote kabisa hajakosa hata moja.

4: Tanzania haikuwahi kuwa na kiongozi bora tangu Uhuru kuanzia baba wa Taifa ( ambaye kwake ni muuaji na ni mkolini aliye kalia Zanzibar kimabavu) hadi hawa viongozi wa sasa. Yaani ngazi zote kuanzia Marais wote hadi Wajumbe wa nyumba kumi wato kwake yeye ni takataka.

5:Ni mtu aliye tayari kutetea na kuunga mkono chochote ili mladi tu kinaisema vibaya Tanzania.
Yaani chochote kile kinachoweza kutumika kushambulia Tanzania na viongozi wake yupo tayari kukiunga mkono mladi tu kinampa faida kisiasa.

Hayo ni maoni yangu sio lazima yafanane na yako.

Akili ndogo ya Lumumba huwezi kumuelewa TL tulia dawa iwaingie.
 
Wewe unasumbuliwa na mambo mawili, kwanza hutaki kuujua ukweli kuhusu Tanzania kupitia kusoma na kujielimisha na pili ukiambiwa ukweli na wanaojua pia hutaki. Lissu ni mtu anayesoma na kufuatilia mambo ya nchi hii sana na hivyo anayafahamu kweli kweli, ndiyo maana majuzi kule visiwani alitoa darasa tosha na hakuna hata mmoja aliyemzomea au kumpinga. Mwisho wewe pia umezoea kudanganywa sanaa.
Ile shule ya Tundu Lissu kule zanzibar hakuna hata mmoja anaweza kukosoa kama hataki kuumbuka. Iko deep sana. Nilikuwa sijui kama tanganyika tulipata uhuru mwaka 1958.
 
1: Ni mr negative, yani kwake yeye Tanzania haikuwahi kufanya jambo zuri hata siku moja. Tangu Uhuru hadi leo Tanzania haina jema hata moja kwake. Yaani kwake Tanzania imefeli kila kitu.

2: Anajua Sheria kuliko watanzania wote walio wahi kusoma na waliopo kwenye taaluma hiyo. Majaji, mahakimu, mawakili n.k wote kwake ni mambumbumbu tu wasiojua kitu kwenye sheria.

3: Yeye ndio msomi peke yake Tanzania nzima, walio baki wote ni vilaza kuanzia walimu wake walio mfundisha hadi viongozi wenzake alio nao chamani. Kwakifupi kwamba yeye ndio msomi pekee hapa Tanzania na ana fani na taaluma zote kabisa hajakosa hata moja.

4: Tanzania haikuwahi kuwa na kiongozi bora tangu Uhuru kuanzia baba wa Taifa ( ambaye kwake ni muuaji na ni mkolini aliye kalia Zanzibar kimabavu) hadi hawa viongozi wa sasa. Yaani ngazi zote kuanzia Marais wote hadi Wajumbe wa nyumba kumi wato kwake yeye ni takataka.

5:Ni mtu aliye tayari kutetea na kuunga mkono chochote ili mladi tu kinaisema vibaya Tanzania.
Yaani chochote kile kinachoweza kutumika kushambulia Tanzania na viongozi wake yupo tayari kukiunga mkono mladi tu kinampa faida kisiasa.

Hayo ni maoni yangu sio lazima yafanane na yako.
Kwa wataalamu wa physcology na physchiatry watakuambia ana ugonjwa unaoitwa GRANDIOSITY.
 
UHURU , HAKI NA KAZI

Mradi wa Bomba la Mafuta Wapigiwa Kelele Kwa Kuleta Athari Za Kiuchumi na Kijamii

Uhuru, Haki ndiyo msingi mambo yote, mradi wa bomba la mafuta wapigiwa kelele na kundi la Haki za Binadamu kwa wananchi wanaomiliki ardhi na mali zingine linapopita mradi wa bomba la mafuta toka Uganda mpaka bandari ya Tanga kutolipwa fidia stahiki.

Hii ni baada ya familia zaidi ya 12,000 kulazimishwa kuondoka ktk ardhi za makazi, kilimo na mali zao zingine. Serikali zalaumiwa kwa kutotambua uhuru na haki za msingi za wananchi hao wakati wa kupisha mradi huo upite katika maeneo yao.

11 September 2020

KAMPALA, Uganda

French oil firm displaced 12,000 in Uganda, Tanzania

‘There is need to assist the people with land where the pipelines are going to be constructed,’ says human rights group

Two research reports on oil released Thursday highlight major risks of oil projects by French energy company Total in Uganda and Tanzania.

Oil from Uganda is to be pumped through pipelines to Tanzania’s Port of Dar es Salaam. But many residents on land through which the pipes are planned to pass have been affected.

At least 12,000 families in Tanzania and Uganda have lost land, according to the reports. There is also endangerment of sensitive and vital ecosystems.
Read more:
Source : French oil firm displaced 12,000 in Uganda, Tanzania
 
Msingi wa Maendeleo ya Watu ni kuwa na uhakika kuwa sheria, katiba itafutwa bila kupuuzwa au upendeleo na haki kutendeka.

Uhuru , Haki na Kazi vikiwepo basi uwekezaji ngazi ya mtu mmoja ,familia, jamii , kampuni utaweza kufanyika na nchi itapata maendeleo ya kiuchumi, kijamii na kisiasa.

Ikiwa hakuna Uhuru na haki basi hata kazi hazitatendela kwa ufanisi, wawekezaji wa ndani na wadau wa maendeleo wadau wa nje hawatakuja kuwekeza, dhuluma baina ya mtu na mtu, serikali kwa mtu itatamalaki na mwisho chuki dhidi ya serikali au mtu au kiongozi.

Dawa ya yote haya ni UHURU, HAKI NA KAZI halafu mambo yote yatakwenda sawasawa.
Basisiii
 
1 Jun 2017
Dar es Salaam, Tanzania

Wananchi Kimara DSM waburuzwa wavunje nyumba kupisha barabara

TANROADS yawapa wananchi notisi ya siku 30 bila fidia. Wananchi waishtaki Serikali mahakama ya ardhi. Vikongwe waongea ya moyoni. Rais Magufuli aombwa kuingilia sakata hili.
 
Mtwara, Tanzania

7 Oct 2016
OPERESHENI TOKOMEZA KANGOMBA

Timu ya kupambana na ununuzi wa zao la korosho kwa mfumo mbovu wa kangomba yafanikiwa kukamata zaidi ya kilo 600 na kuzitaifisha.
 
1: Ni mr negative, yani kwake yeye Tanzania haikuwahi kufanya jambo zuri hata siku moja. Tangu Uhuru hadi leo Tanzania haina jema hata moja kwake. Yaani kwake Tanzania imefeli kila kitu.

2: Anajua Sheria kuliko watanzania wote walio wahi kusoma na waliopo kwenye taaluma hiyo. Majaji, mahakimu, mawakili n.k wote kwake ni mambumbumbu tu wasiojua kitu kwenye sheria.

3: Yeye ndio msomi peke yake Tanzania nzima, walio baki wote ni vilaza kuanzia walimu wake walio mfundisha hadi viongozi wenzake alio nao chamani. Kwakifupi kwamba yeye ndio msomi pekee hapa Tanzania na ana fani na taaluma zote kabisa hajakosa hata moja.

4: Tanzania haikuwahi kuwa na kiongozi bora tangu Uhuru kuanzia baba wa Taifa ( ambaye kwake ni muuaji na ni mkolini aliye kalia Zanzibar kimabavu) hadi hawa viongozi wa sasa. Yaani ngazi zote kuanzia Marais wote hadi Wajumbe wa nyumba kumi wato kwake yeye ni takataka.

5:Ni mtu aliye tayari kutetea na kuunga mkono chochote ili mladi tu kinaisema vibaya Tanzania.
Yaani chochote kile kinachoweza kutumika kushambulia Tanzania na viongozi wake yupo tayari kukiunga mkono mladi tu kinampa faida kisiasa.

Hayo ni maoni yangu sio lazima yafanane na yako.
Tired of nasty posts!
 
1: Ni mr negative, yani kwake yeye Tanzania haikuwahi kufanya jambo zuri hata siku moja. Tangu Uhuru hadi leo Tanzania haina jema hata moja kwake. Yaani kwake Tanzania imefeli kila kitu.

2: Anajua Sheria kuliko watanzania wote walio wahi kusoma na waliopo kwenye taaluma hiyo. Majaji, mahakimu, mawakili n.k wote kwake ni mambumbumbu tu wasiojua kitu kwenye sheria.

3: Yeye ndio msomi peke yake Tanzania nzima, walio baki wote ni vilaza kuanzia walimu wake walio mfundisha hadi viongozi wenzake alio nao chamani. Kwakifupi kwamba yeye ndio msomi pekee hapa Tanzania na ana fani na taaluma zote kabisa hajakosa hata moja.

4: Tanzania haikuwahi kuwa na kiongozi bora tangu Uhuru kuanzia baba wa Taifa ( ambaye kwake ni muuaji na ni mkolini aliye kalia Zanzibar kimabavu) hadi hawa viongozi wa sasa. Yaani ngazi zote kuanzia Marais wote hadi Wajumbe wa nyumba kumi wato kwake yeye ni takataka.

5:Ni mtu aliye tayari kutetea na kuunga mkono chochote ili mladi tu kinaisema vibaya Tanzania.
Yaani chochote kile kinachoweza kutumika kushambulia Tanzania na viongozi wake yupo tayari kukiunga mkono mladi tu kinampa faida kisiasa.

Hayo ni maoni yangu sio lazima yafanane na yako.

Unayemwongelea ni huyu mliyepanga kumdhulumu roho yake kwa risasi zaidi ya 36 mchana kweupe?

Huyu mnayefanya kila kitu kumzuia asisikike kwa sababu Watanzania wataona hafai?

Huyu huyu mnayepanga kumwibia kura kwa maana asivyofaa watanzania walio wengi wanampenda mno?

Ni huyu huyu ambaye mamlaka zenu zote zimejipanga kumtendea ndivyo sivyo?

Ya kuwa nyie na jiwe ndiyo wa maana zaidi kuliko yeye kwa mema miliyowafanyia wengine wakiwamo kina Azory, kina Ben achilia mbali kutupora uhuru na haki zetu?

You must be joking!

Kwa hakika yako ni maajabu ya Firauni!
 
1: Ni mr negative, yani kwake yeye Tanzania haikuwahi kufanya jambo zuri hata siku moja. Tangu Uhuru hadi leo Tanzania haina jema hata moja kwake. Yaani kwake Tanzania imefeli kila kitu.

2: Anajua Sheria kuliko watanzania wote walio wahi kusoma na waliopo kwenye taaluma hiyo. Majaji, mahakimu, mawakili n.k wote kwake ni mambumbumbu tu wasiojua kitu kwenye sheria.

3: Yeye ndio msomi peke yake Tanzania nzima, walio baki wote ni vilaza kuanzia walimu wake walio mfundisha hadi viongozi wenzake alio nao chamani. Kwakifupi kwamba yeye ndio msomi pekee hapa Tanzania na ana fani na taaluma zote kabisa hajakosa hata moja.

4: Tanzania haikuwahi kuwa na kiongozi bora tangu Uhuru kuanzia baba wa Taifa ( ambaye kwake ni muuaji na ni mkolini aliye kalia Zanzibar kimabavu) hadi hawa viongozi wa sasa. Yaani ngazi zote kuanzia Marais wote hadi Wajumbe wa nyumba kumi wato kwake yeye ni takataka.

5:Ni mtu aliye tayari kutetea na kuunga mkono chochote ili mladi tu kinaisema vibaya Tanzania.
Yaani chochote kile kinachoweza kutumika kushambulia Tanzania na viongozi wake yupo tayari kukiunga mkono mladi tu kinampa faida kisiasa.

Hayo ni maoni yangu sio lazima yafanane na yako.
Dk Salimin Amour amepigwa upofu na Mwenyezi Mungu kutokana na utawala wake wa kidhalimu, kuzuia haki za maelfu ya Wapemba kuishi. Ukimsikiliza jiwe na kufuatilia matendo yake, anaonekana kuifuata njia ile ile.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom