Uchaguzi 2020 Ukimsikiliza sana Tundu Lissu utagundua sifa hizi kuu kwa huyu Rais mtarajiwa

Dam55

JF-Expert Member
Oct 8, 2015
5,592
11,831
1: Ni mr negative, yani kwake yeye Tanzania haikuwahi kufanya jambo zuri hata siku moja. Tangu Uhuru hadi leo Tanzania haina jema hata moja kwake. Yaani kwake Tanzania imefeli kila kitu.

2: Anajua Sheria kuliko watanzania wote walio wahi kusoma na waliopo kwenye taaluma hiyo. Majaji, mahakimu, mawakili n.k wote kwake ni mambumbumbu tu wasiojua kitu kwenye sheria.

3: Yeye ndio msomi peke yake Tanzania nzima, walio baki wote ni vilaza kuanzia walimu wake walio mfundisha hadi viongozi wenzake alio nao chamani. Kwakifupi kwamba yeye ndio msomi pekee hapa Tanzania na ana fani na taaluma zote kabisa hajakosa hata moja.

4: Tanzania haikuwahi kuwa na kiongozi bora tangu Uhuru kuanzia baba wa Taifa ( ambaye kwake ni muuaji na ni mkolini aliye kalia Zanzibar kimabavu) hadi hawa viongozi wa sasa. Yaani ngazi zote kuanzia Marais wote hadi Wajumbe wa nyumba kumi wato kwake yeye ni takataka.

5: Ni mtu aliye tayari kutetea na kuunga mkono chochote ili mladi tu kinaisema vibaya Tanzania.
Yaani chochote kile kinachoweza kutumika kushambulia Tanzania na viongozi wake yupo tayari kukiunga mkono mladi tu kinampa faida kisiasa.

Hayo ni maoni yangu sio lazima yafanane na yako.
 
Lissu anawaeleza watanzania ukweli mchungu na ambao msingependa watu waelezwe.

Ukatili,dhuluma, uonevu na unyanyasaji ndio sifa kuu za awamu hii na ambazo Lissu anazilaani majukwaani huku wananchi wanamshangilia.

Tulieni muelezwe ukweli.
 
1.kweli kabisa Tangu uhuru hatunafanya kitu chochote maadui wetu waliotangazwa 58 wotewanazidi kuongezeka kwa kasi.
Umasikini unakua sana.
Ujinga usiseme.
Magonjwa ndio kwao maralia kipindupindu typhod nk.

2.Hakika Lissu anajua sheria kuliko watu wote Tanzania amefanya kazi na mashirika makubwa na Taasisi za level ya kidunia.
Ameshinda kesi nyingi sana more than 98%

3. Lissu ni Msomi na mbobezi mkubwa sana wa masuala ya sheria na Ishu zote mtambuka

4. Hakuna jambo wala sekta Yoyote tunayoweza kujivunia, wala hakuna taasisi yoyote tunayoweza kusema imefanya vizuri kwa miaka 60 sasa woote waliharibu sana.

Na marais wengi wa Tanzania sio wanaochaguliwa na wananchi kwenye Kura.

5. Mi nimemuona akiomba mijadala ya kitaifa akishauri na kuonya mambo mengi ya kitaifa.

Ni mtazamo wangu.
 
1.kweli kabisa Tangu uhuru hatunafanya kitu chochote maadui wetu waliotangazwa 58 wotewanazidi kuongezeka kwa kasi.
Umasikini unakua sana.
Ujinga usiseme.
Magonjwa ndio kwao maralia kipindupindu typhod nk.

2.Hakika Lissu anajua sheria kuliko watu wote Tanzania amefanya kazi na mashirika makubwa na Taasisi za level ya kidunia.
Ameshinda kesi nyingi sana more than 98%

3.Lissu ni Msomi na mbobezi mkubwa sana wa masuala ya sheria na Ishu zote mtambuka,.
4.Hakuna jambo wala sekta Yoyote tunayoweza kujivunia, wala hakuna taasisi yoyote tunayoweza kusema imefanya vizuri kwa miaka 60 sasa woote waliharibu sana.
Na marais wengi wa Tanzania sio wanaochaguliwa na wananchi kwenye Kura.

5Mi nimemuona akiomba mijadala ya kitaifa akishauri na kuonya mambo mengi ya kitaifa.


Ni mtazamo wangu

Kamanda nitajie hata case mbili alizo shinda tundu lissu
 
1: Ni mr negative, yani kwake yeye Tanzania haikuwahi kufanya jambo zuri hata siku moja. Tangu Uhuru hadi leo Tanzania haina jema hata moja kwake. Yaani kwake Tanzania imefeli kila kitu.

2: Anajua Sheria kuliko watanzania wote walio wahi kusoma na waliopo kwenye taaluma hiyo. Majaji, mahakimu, mawakili n.k wote kwake ni mambumbumbu tu wasiojua kitu kwenye sheria.

3: Yeye ndio msomi peke yake Tanzania nzima, walio baki wote ni vilaza kuanzia walimu wake walio mfundisha hadi viongozi wenzake alio nao chamani. Kwakifupi kwamba yeye ndio msomi pekee hapa Tanzania na ana fani na taaluma zote kabisa hajakosa hata moja.

4: Tanzania haikuwahi kuwa na kiongozi bora tangu Uhuru kuanzia baba wa Taifa ( ambaye kwake ni muuaji na ni mkolini aliye kalia Zanzibar kimabavu) hadi hawa viongozi wa sasa. Yaani ngazi zote kuanzia Marais wote hadi Wajumbe wa nyumba kumi wato kwake yeye ni takataka.

5:Ni mtu aliye tayari kutetea na kuunga mkono chochote ili mladi tu kinaisema vibaya Tanzania.
Yaani chochote kile kinachoweza kutumika kushambulia Tanzania na viongozi wake yupo tayari kukiunga mkono mladi tu kinampa faida kisiasa.

Hayo ni maoni yangu sio lazima yafanane na yako.
Umeandika ukweli mtupu.
 
1.kweli kabisa Tangu uhuru hatunafanya kitu chochote maadui wetu waliotangazwa 58 wotewanazidi kuongezeka kwa kasi.
Umasikini unakua sana.
Ujinga usiseme.
Magonjwa ndio kwao maralia kipindupindu typhod nk.

2.Hakika Lissu anajua sheria kuliko watu wote Tanzania amefanya kazi na mashirika makubwa na Taasisi za level ya kidunia.
Ameshinda kesi nyingi sana more than 98%

3.Lissu ni Msomi na mbobezi mkubwa sana wa masuala ya sheria na Ishu zote mtambuka,.
4.Hakuna jambo wala sekta Yoyote tunayoweza kujivunia, wala hakuna taasisi yoyote tunayoweza kusema imefanya vizuri kwa miaka 60 sasa woote waliharibu sana.
Na marais wengi wa Tanzania sio wanaochaguliwa na wananchi kwenye Kura.

5Mi nimemuona akiomba mijadala ya kitaifa akishauri na kuonya mambo mengi ya kitaifa.


Ni mtazamo wangu
Majaji wote wanaujua umahiri w Lissu kwenye sheria. Ma- Atoney general waliowahi kusik nyaifa na machief jutice wanatambu uwezo.wa Lissu. Akina Macho ya makengeza wazee wa Havard wenye IQ kubwa wanamkubali Lissu. Bongo lala wa tandale ndio hawamwelewi.
 
1: Ni mr negative, yani kwake yeye Tanzania haikuwahi kufanya jambo zuri hata siku moja. Tangu Uhuru hadi leo Tanzania haina jema hata moja kwake. Yaani kwake Tanzania imefeli kila kitu.

2: Anajua Sheria kuliko watanzania wote walio wahi kusoma na waliopo kwenye taaluma hiyo. Majaji, mahakimu, mawakili n.k wote kwake ni mambumbumbu tu wasiojua kitu kwenye sheria.

3: Yeye ndio msomi peke yake Tanzania nzima, walio baki wote ni vilaza kuanzia walimu wake walio mfundisha hadi viongozi wenzake alio nao chamani. Kwakifupi kwamba yeye ndio msomi pekee hapa Tanzania na ana fani na taaluma zote kabisa hajakosa hata moja.

4: Tanzania haikuwahi kuwa na kiongozi bora tangu Uhuru kuanzia baba wa Taifa ( ambaye kwake ni muuaji na ni mkolini aliye kalia Zanzibar kimabavu) hadi hawa viongozi wa sasa. Yaani ngazi zote kuanzia Marais wote hadi Wajumbe wa nyumba kumi wato kwake yeye ni takataka.

5:Ni mtu aliye tayari kutetea na kuunga mkono chochote ili mladi tu kinaisema vibaya Tanzania.
Yaani chochote kile kinachoweza kutumika kushambulia Tanzania na viongozi wake yupo tayari kukiunga mkono mladi tu kinampa faida kisiasa.

Hayo ni maoni yangu sio lazima yafanane na yako.

Si ndiyo maana ni nchi masikini ya mwisho wakati rasilimali tunazo ni kwasababu hakuna mazuri yanayofanywa kila tukitaka kwenda mbele anakuja Rais mpya anadharau yote ya mwenzake anaanza ya kwake angalia BRN, Umeme wa Gas viko wapi awamu hii, angalia ubinafsishaji wa awamu ya 3 na nini kiliendelea awamu ya 4 sasa kuna nini kizuri katika hizo awamu huku kuwakopesha wanafunzi wakati wenyewe hatukukopeshwa ndiyo mazuri hayo.
 
Msingi wa Maendeleo ya Watu ni kuwa na uhakika kuwa sheria, katiba itafutwa bila kupuuzwa au upendeleo na haki kutendeka.

Uhuru , Haki na Kazi vikiwepo basi uwekezaji ngazi ya mtu mmoja ,familia, jamii , kampuni utaweza kufanyika na nchi itapata maendeleo ya kiuchumi, kijamii na kisiasa.

Ikiwa hakuna Uhuru na haki basi hata kazi hazitatendela kwa ufanisi, wawekezaji wa ndani na wadau wa maendeleo wadau wa nje hawatakuja kuwekeza, dhuluma baina ya mtu na mtu, serikali kwa mtu itatamalaki na mwisho chuki dhidi ya serikali au mtu au kiongozi.

Dawa ya yote haya ni UHURU, HAKI NA KAZI halafu mambo yote yatakwenda sawasawa.
 
Majaji wote wanaujua umahiri w Lissu kwenye sheria. Ma- Atoney general waliowahi kusik nyaifa na machief jutice wanatambu uwezo.wa Lissu. Akina Macho ya makengeza wazee wa Havard wenye IQ kubwa wanamkubali Lissu. Bongo lala wa tandale ndio hawamwelewi.
Tena hapo amesubiri shemeji yake ameweka simu chaji ndiyo na yeye amepata nafasi ya kupost hii takataka yake
 
1: Ni mr negative, yani kwake yeye Tanzania haikuwahi kufanya jambo zuri hata siku moja. Tangu Uhuru hadi leo Tanzania haina jema hata moja kwake. Yaani kwake Tanzania imefeli kila kitu.

2: Anajua Sheria kuliko watanzania wote walio wahi kusoma na waliopo kwenye taaluma hiyo. Majaji, mahakimu, mawakili n.k wote kwake ni mambumbumbu tu wasiojua kitu kwenye sheria.

3: Yeye ndio msomi peke yake Tanzania nzima, walio baki wote ni vilaza kuanzia walimu wake walio mfundisha hadi viongozi wenzake alio nao chamani. Kwakifupi kwamba yeye ndio msomi pekee hapa Tanzania na ana fani na taaluma zote kabisa hajakosa hata moja.

4: Tanzania haikuwahi kuwa na kiongozi bora tangu Uhuru kuanzia baba wa Taifa ( ambaye kwake ni muuaji na ni mkolini aliye kalia Zanzibar kimabavu) hadi hawa viongozi wa sasa. Yaani ngazi zote kuanzia Marais wote hadi Wajumbe wa nyumba kumi wato kwake yeye ni takataka.

5:Ni mtu aliye tayari kutetea na kuunga mkono chochote ili mladi tu kinaisema vibaya Tanzania.
Yaani chochote kile kinachoweza kutumika kushambulia Tanzania na viongozi wake yupo tayari kukiunga mkono mladi tu kinampa faida kisiasa.

Hayo ni maoni yangu sio lazima yafanane na yako.
Ma-ccm Mungu Anawaona Kutuambia Kuwa Mgombea Wenu Ni Mpole na Msikivu Na Mnyenyekevu. Mmetukosea Sana Sisi WananChi Hasa Wabukoba na Mtwara.

Kwa kweli sisi wananchi tunaojitambua Tumehuzunishwa Sana kwa Slow slow kuudanganya Uuma!! Eti! Meko ni mpole na Msikivu ,kama hizo sifa ni za kweli basi Asingetukashifu sisi WanaNchi Wa BUKOBA Pindi tulipo Patwa na Majanga

Badala yake Meko anatuambia SERIKARI yake haikureta tetemeko.
 
1: Ni mr negative, yani kwake yeye Tanzania haikuwahi kufanya jambo zuri hata siku moja. Tangu Uhuru hadi leo Tanzania haina jema hata moja kwake. Yaani kwake Tanzania imefeli kila kitu.

2: Anajua Sheria kuliko watanzania wote walio wahi kusoma na waliopo kwenye taaluma hiyo. Majaji, mahakimu, mawakili n.k wote kwake ni mambumbumbu tu wasiojua kitu kwenye sheria.

3: Yeye ndio msomi peke yake Tanzania nzima, walio baki wote ni vilaza kuanzia walimu wake walio mfundisha hadi viongozi wenzake alio nao chamani. Kwakifupi kwamba yeye ndio msomi pekee hapa Tanzania na ana fani na taaluma zote kabisa hajakosa hata moja.

4: Tanzania haikuwahi kuwa na kiongozi bora tangu Uhuru kuanzia baba wa Taifa ( ambaye kwake ni muuaji na ni mkolini aliye kalia Zanzibar kimabavu) hadi hawa viongozi wa sasa. Yaani ngazi zote kuanzia Marais wote hadi Wajumbe wa nyumba kumi wato kwake yeye ni takataka.

5:Ni mtu aliye tayari kutetea na kuunga mkono chochote ili mladi tu kinaisema vibaya Tanzania.
Yaani chochote kile kinachoweza kutumika kushambulia Tanzania na viongozi wake yupo tayari kukiunga mkono mladi tu kinampa faida kisiasa.

Hayo ni maoni yangu sio lazima yafanane na yako.
Praise and worship team mnateseka mkiambiwa ukweli. Hahahaha Lissuuuu ongeza dozi kidogo wameshikwa na tumbo la kuendesha hukuuuuu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom