Uchaguzi 2020 Ukimsikiliza sana Tundu Lissu utagundua sifa hizi kuu kwa huyu Rais mtarajiwa

1: Ni mr negative, yani kwake yeye Tanzania haikuwahi kufanya jambo zuri hata siku moja. Tangu Uhuru hadi leo Tanzania haina jema hata moja kwake. Yaani kwake Tanzania imefeli kila kitu.

2: Anajua Sheria kuliko watanzania wote walio wahi kusoma na waliopo kwenye taaluma hiyo. Majaji, mahakimu, mawakili n.k wote kwake ni mambumbumbu tu wasiojua kitu kwenye sheria.

3: Yeye ndio msomi peke yake Tanzania nzima, walio baki wote ni vilaza kuanzia walimu wake walio mfundisha hadi viongozi wenzake alio nao chamani. Kwakifupi kwamba yeye ndio msomi pekee hapa Tanzania na ana fani na taaluma zote kabisa hajakosa hata moja.

4: Tanzania haikuwahi kuwa na kiongozi bora tangu Uhuru kuanzia baba wa Taifa ( ambaye kwake ni muuaji na ni mkolini aliye kalia Zanzibar kimabavu) hadi hawa viongozi wa sasa. Yaani ngazi zote kuanzia Marais wote hadi Wajumbe wa nyumba kumi wato kwake yeye ni takataka.

5:Ni mtu aliye tayari kutetea na kuunga mkono chochote ili mladi tu kinaisema vibaya Tanzania.
Yaani chochote kile kinachoweza kutumika kushambulia Tanzania na viongozi wake yupo tayari kukiunga mkono mladi tu kinampa faida kisiasa.

Hayo ni maoni yangu sio lazima yafanane na yako.
Mini naomba nikujibu moja tu la Tanzania haijafanya kitu nikweli kabisa Tanzania haijafanya kitu kwani kila uchaguzi uwemdogo aumkuu kwa nchi nzima amna ahadi zingine ni
Elimu
Maji
Afya
Umeme
Barabara
Sijawahi kusikia vimekamilika tunazunguka mbuyu kwamwendo wachini zaidi yakinyonga
 
Kama ni kweli,ni kwanini hamtaki hotuba zake ziwafikie wananchi kwa njia ya video,redio na magazeti?

Ni kwa nini tukio la kushambuliwa kwake limekuwa na ugumu wa kuchunguzwa na kutolewa ripoti na polisi?

Nina maswali mengi,kwanza ni jibu hayo mawili
 
4: Tanzania haikuwahi kuwa na kiongozi bora tangu Uhuru kuanzia baba wa Taifa ( ambaye kwake ni muuaji na ni mkolini aliye kalia Zanzibar kimabavu) hadi hawa viongozi wa sasa. Yaani ngazi zote kuanzia Marais wote hadi Wajumbe wa nyumba kumi wato kwake yeye ni takataka.


Inawezekana kuna ukweli hapa haiwezekani nchi huru miaka zaidi ya 55 kampeni zote tunaimba ahadi zile zile bila kua na sera muhimu...kila awamu inasema barabara,maji ,barabara ,maji wakati nchi ina maji kila kona,madini kibao,misitu nk hivyo tawala zilizopita hazikufikiri vizuri maana nchi yetu inahitaji sera ya utekelezaji na sio ahadi moja moja kwani ukisema nitajenga barabara ni upuuzi maana hiyo ni kazi ya serikali na ni wajibu wake sio kuja kunadi kwa wananchi minor ishu kama hizo.
 
Lissu anawaeleza watanzania ukweli mchungu na ambao msingependa watu waelezwe.

Ukatili,dhuluma, uonevu na unyanyasaji ndio sifa kuu za awamu hii na ambazo Lissu anazilaani majukwaani huku wananchi wanamshangilia.

Tulieni muelezwe ukweli.
Wewe ni kijana mdogo sana katika ustawi wa Tanzania, acha kukariri historia ya kwenye vitabu.
 
1.kweli kabisa Tangu uhuru hatunafanya kitu chochote maadui wetu waliotangazwa 58 wotewanazidi kuongezeka kwa kasi.
Umasikini unakua sana.
Ujinga usiseme.
Magonjwa ndio kwao maralia kipindupindu typhod nk.

2.Hakika Lissu anajua sheria kuliko watu wote Tanzania amefanya kazi na mashirika makubwa na Taasisi za level ya kidunia.
Ameshinda kesi nyingi sana more than 98%

3. Lissu ni Msomi na mbobezi mkubwa sana wa masuala ya sheria na Ishu zote mtambuka

4. Hakuna jambo wala sekta Yoyote tunayoweza kujivunia, wala hakuna taasisi yoyote tunayoweza kusema imefanya vizuri kwa miaka 60 sasa woote waliharibu sana.

Na marais wengi wa Tanzania sio wanaochaguliwa na wananchi kwenye Kura.

5. Mi nimemuona akiomba mijadala ya kitaifa akishauri na kuonya mambo mengi ya kitaifa.

Ni mtazamo wangu.
No sense
 
Unataka aache kujifunza nakuelimika ili awe mbumbumbu kama wewe.Hakuna kushikiana akili dunia ya sasa.Mambo mengi yako wazi nikiasi cha mtu kuamua kuamsha kichwa nakuelewa sio kusubiri mtu mwingine afikiri kwa niaba.
Wewe ni kijana mdogo sana katika ustawi wa Tanzania, acha kukariri historia ya kwenye vitabu.
 
Usisahau kuwa ana hulka ya chuki kwa yeyote anayetofautiana nae kimawazo, kifikra na falsafa..eg zito, dr silaa, magufuli, alimchukia sana kikwete na wengineo.
 
1: Ni mr negative, yani kwake yeye Tanzania haikuwahi kufanya jambo zuri hata siku moja. Tangu Uhuru hadi leo Tanzania haina jema hata moja kwake. Yaani kwake Tanzania imefeli kila kitu.

2: Anajua Sheria kuliko watanzania wote walio wahi kusoma na waliopo kwenye taaluma hiyo. Majaji, mahakimu, mawakili n.k wote kwake ni mambumbumbu tu wasiojua kitu kwenye sheria.

3: Yeye ndio msomi peke yake Tanzania nzima, walio baki wote ni vilaza kuanzia walimu wake walio mfundisha hadi viongozi wenzake alio nao chamani. Kwakifupi kwamba yeye ndio msomi pekee hapa Tanzania na ana fani na taaluma zote kabisa hajakosa hata moja.

4: Tanzania haikuwahi kuwa na kiongozi bora tangu Uhuru kuanzia baba wa Taifa ( ambaye kwake ni muuaji na ni mkolini aliye kalia Zanzibar kimabavu) hadi hawa viongozi wa sasa. Yaani ngazi zote kuanzia Marais wote hadi Wajumbe wa nyumba kumi wato kwake yeye ni takataka.

5:Ni mtu aliye tayari kutetea na kuunga mkono chochote ili mladi tu kinaisema vibaya Tanzania.
Yaani chochote kile kinachoweza kutumika kushambulia Tanzania na viongozi wake yupo tayari kukiunga mkono mladi tu kinampa faida kisiasa.

Hayo ni maoni yangu sio lazima yafanane na yako.
Hujamuelewa Lissu. Lissu sio mwana ccm, Lissu sio mwoga, Lissu sio mnafiki.
 
Usisahau kuwa ana hulka ya chuki kwa yeyote anayetofautiana nae kimawazo, kifikra na falsafa..eg zito, dr silaa, magufuli, alimchukia sana kikwete na wengineo.
Hii nayo pia ni moja ya sifa yake muhimu.
 
Wewe unasumbuliwa na mambo mawili, kwanza hutaki kuujua ukweli kuhusu Tanzania kupitia kusoma na kujielimisha na pili ukiambiwa ukweli na wanaojua pia hutaki. Lissu ni mtu anayesoma na kufuatilia mambo ya nchi hii sana na hivyo anayafahamu kweli kweli, ndiyo maana majuzi kule visiwani alitoa darasa tosha na hakuna hata mmoja aliyemzomea au kumpinga. Mwisho wewe pia umezoea kudanganywa sanaa.
Wewe unasoma na kufuatilia mambo ya nchi hii ?
 
Lissu anawaeleza watanzania ukweli mchungu na ambao msingependa watu waelezwe.

Ukatili,dhuluma, uonevu na unyanyasaji ndio sifa kuu za awamu hii na ambazo Lissu anazilaani majukwaani huku wananchi wanamshangilia.

Tulieni muelezwe ukweli.
Ukweli kuwa Nyerere alikalia Zanzibar ki mabavu?
 
Ana kauli yake ya kuita ccm kuwa maccm..wakati hata huyo mbowe aliyemfundisha siasa hajawahi kuita wanaccm maccm.
Hilo nalo ni tatizo lingine kubwa la kutukana ovyo
 
Ukiwa na upeo mdogo wa kufikiria mambo huwezi kumuelewa kabisa TAL, Na utakua unayabeba maneno yake bila kuchakata ubongo kama alivyo mtoa post.
Kipimo Cha upeo mkubwa wa kufikiri ni kukubaliana tu na Lissu kwa kila akisemacho?
Ukifikiri kinyume na yeye tu tayari unakuwa na upeo mdogo wa kufikiri?
 
1.kweli kabisa Tangu uhuru hatunafanya kitu chochote maadui wetu waliotangazwa 58 wotewanazidi kuongezeka kwa kasi.
Umasikini unakua sana.
Ujinga usiseme.
Magonjwa ndio kwao maralia kipindupindu typhod nk.

2.Hakika Lissu anajua sheria kuliko watu wote Tanzania amefanya kazi na mashirika makubwa na Taasisi za level ya kidunia.
Ameshinda kesi nyingi sana more than 98%

3. Lissu ni Msomi na mbobezi mkubwa sana wa masuala ya sheria na Ishu zote mtambuka

4. Hakuna jambo wala sekta Yoyote tunayoweza kujivunia, wala hakuna taasisi yoyote tunayoweza kusema imefanya vizuri kwa miaka 60 sasa woote waliharibu sana.

Na marais wengi wa Tanzania sio wanaochaguliwa na wananchi kwenye Kura.

5. Mi nimemuona akiomba mijadala ya kitaifa akishauri na kuonya mambo mengi ya kitaifa.

Ni mtazamo wangu.
Lisu ni mwanasheria wa kawaida Sana , huko kwenye korido za mahakama ila akiwa Chadema anawadanganya yeye ndio bora.

Kuna manguli wa sheria wametulia na wanafahamika ila sio Lisu.

Utofauti wake ni kuwa anapenda Sana Umaarufu na anatumia siasa na hasa anamtumia Magufuli kujiongezea umaarufu.

Muda wa Magufuli ukipita Lisu hatakuwa na mtu mwingine wa kumsema kama anavyofanya sasa.
 
CCM imejibu hoja nyingi za Lissu japo kisiasa na kuungaunga lakini ile ya Zanzibar hakuna aliyejibu wanaogopa kuchokoza moto.
Wewe unasumbuliwa na mambo mawili, kwanza hutaki kuujua ukweli kuhusu Tanzania kupitia kusoma na kujielimisha na pili ukiambiwa ukweli na wanaojua pia hutaki. Lissu ni mtu anayesoma na kufuatilia mambo ya nchi hii sana na hivyo anayafahamu kweli kweli, ndiyo maana majuzi kule visiwani alitoa darasa tosha na hakuna hata mmoja aliyemzomea au kumpinga. Mwisho wewe pia umezoea kudanganywa sanaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom