Uchaguzi 2020 Ukimsikiliza sana Tundu Lissu utagundua sifa hizi kuu kwa huyu Rais mtarajiwa

Mimi nilikua sijui kua ukimtoa Karume mdogo marais wazanzibar waliobakia wote waliteuliwa LUMUMBA hawakuwahi pigiwa Kura.
Ile shule ya Tundu Lissu kule zanzibar hakuna hata mmoja anaweza kukosoa kama hataki kuumbuka. Iko deep sana. Nilikuwa sijui kama tanganyika tulipata uhuru mwaka 1958.
 
Utopolo mtupu, jiwe tumuite nani vile ambaye anaona wenzake waliomtangulia hawajafanya kitu maoni ya kipumbafu kutoka pumbafu fulan hapo korido za Lumumba
 
1: Ni mr negative, yani kwake yeye Tanzania haikuwahi kufanya jambo zuri hata siku moja. Tangu Uhuru hadi leo Tanzania haina jema hata moja kwake. Yaani kwake Tanzania imefeli kila kitu.

2: Anajua Sheria kuliko watanzania wote walio wahi kusoma na waliopo kwenye taaluma hiyo. Majaji, mahakimu, mawakili n.k wote kwake ni mambumbumbu tu wasiojua kitu kwenye sheria.

3: Yeye ndio msomi peke yake Tanzania nzima, walio baki wote ni vilaza kuanzia walimu wake walio mfundisha hadi viongozi wenzake alio nao chamani. Kwakifupi kwamba yeye ndio msomi pekee hapa Tanzania na ana fani na taaluma zote kabisa hajakosa hata moja.

4: Tanzania haikuwahi kuwa na kiongozi bora tangu Uhuru kuanzia baba wa Taifa ( ambaye kwake ni muuaji na ni mkolini aliye kalia Zanzibar kimabavu) hadi hawa viongozi wa sasa. Yaani ngazi zote kuanzia Marais wote hadi Wajumbe wa nyumba kumi wato kwake yeye ni takataka.

5:Ni mtu aliye tayari kutetea na kuunga mkono chochote ili mladi tu kinaisema vibaya Tanzania.
Yaani chochote kile kinachoweza kutumika kushambulia Tanzania na viongozi wake yupo tayari kukiunga mkono mladi tu kinampa faida kisiasa.

Hayo ni maoni yangu sio lazima yafanane na yako.
Uko sawa kabisa, kumbe ni bogus maandazi mmoja hivi.
 
1: Ni mr negative, yani kwake yeye Tanzania haikuwahi kufanya jambo zuri hata siku moja. Tangu Uhuru hadi leo Tanzania haina jema hata moja kwake. Yaani kwake Tanzania imefeli kila kitu.

2: Anajua Sheria kuliko watanzania wote walio wahi kusoma na waliopo kwenye taaluma hiyo. Majaji, mahakimu, mawakili n.k wote kwake ni mambumbumbu tu wasiojua kitu kwenye sheria.

3: Yeye ndio msomi peke yake Tanzania nzima, walio baki wote ni vilaza kuanzia walimu wake walio mfundisha hadi viongozi wenzake alio nao chamani. Kwakifupi kwamba yeye ndio msomi pekee hapa Tanzania na ana fani na taaluma zote kabisa hajakosa hata moja.

4: Tanzania haikuwahi kuwa na kiongozi bora tangu Uhuru kuanzia baba wa Taifa ( ambaye kwake ni muuaji na ni mkolini aliye kalia Zanzibar kimabavu) hadi hawa viongozi wa sasa. Yaani ngazi zote kuanzia Marais wote hadi Wajumbe wa nyumba kumi wato kwake yeye ni takataka.

5:Ni mtu aliye tayari kutetea na kuunga mkono chochote ili mladi tu kinaisema vibaya Tanzania.
Yaani chochote kile kinachoweza kutumika kushambulia Tanzania na viongozi wake yupo tayari kukiunga mkono mladi tu kinampa faida kisiasa.

Hayo ni maoni yangu sio lazima yafanane na yako.
Unapoandika kitu, kiwekee na justification.

Lissu kasema Tanzania haijafanya jambo zuri hata siku moja?

Hata baba yake na mama yake kukutana Tanzania na kumzaa yeye si uambo zuri kwake?

Hata yeye kusomeshwa Tanzania kasema si jambo zuri?
 
Kama hayo yote uliyoyaeliza ni kweli, "Kwanini Alishambuliwa kwa RISASI badala ya HOJA"?

Ni wazi kuwa Mh. Lissu muziki wake siyo wa kitoto. Na hadi hivi sasa nasikia Jiwe yuko hoi kwa mawazo.

Sioni haja yenu kutumia muda mwingi kumshambulia Mh Lissu kama Yeye bali hoja zake kwa Ninyi kuzileta hoja zilizo bora zaidi ili Wananchi/Wapiga kura wazipime na kisha kufanya maamuzi.

"Wekeni silaha na matusi pembeni tupambaneni kwa hoja majukwaani"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiki ndo kinaenda kumtokea Lodilofa aka Tobo Lissu 28/10
 

Attachments

  • zechicharito1_20200912_144730_0.mp4
    407.3 KB
Kamanda nitajie hata case mbili alizo shinda tundu lissu
Mkuu wala usihangaike kutafuta eti ni kesi zipi. Mfano rahisi tu ni jinsi Alivyowekewa vizingiti vingi wakati wa kurudisha fomu yake kwenye Ofisi za NEC. Lakini hoja zote zile alizipangua na kisha kuibuka mshindi na Tume kumteua rasmi kuwa Mgombea Urais. Je hapo kwako wewe siyo masuala ya Kisheria??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muanzisha mada unapaswa kujua kuwa kuna tofauti kati ya NCHI na SERIKALI. Wewe kwa ufahamu wako, unadhani Lissu anaisema serikali au Tanzania?
 
CCM tujaribu kujibu hoja sio kufanya ngonjera za kijinga kama za mleta mada. Kama huna cha kujibu wananchi sio wajinga. Limekorogwa sasa tulinywe. Hoja zijibiwe.
 
Hayo hayatutishi ukizingatia anaongea na watanzania waliongongozwa na kiongozi mkatili kuliko wote africa. Magufuli ni dikteta hitler wa africa.
 
Lissu anawaeleza watanzania ukweli mchungu na ambao msingependa watu waelezwe.

Ukatili,dhuluma, uonevu na unyanyasaji ndio sifa kuu za awamu hii na ambazo Lissu anazilaani majukwaani huku wananchi wanamshangilia.

Tulieni muelezwe ukweli.
Wameelezwa ukweli Kisha wakaamua kumkataa mchana kweupe
 
Mbona hizi ni sifa za mheshimiwa Rais wetu anayetokea Chato? Yeye ndio amesema mwenyewe hapangiwi na kwa vitendo ameonesha kwamba anajua kila kitu hamna mtaalam zaidi yake.

Hata waliomtangulia kasema walikuwa wanachezea nchi yeye ndio mzalendo.
 
This is a very fair characterization of this puppet!

Mkuu, ukipenda gonga kinywaji kwa gharama yangu.
 
32 Reactions
Reply
Back
Top Bottom