feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 6,742
- 12,435
Mimi nilikua sijui kua ukimtoa Karume mdogo marais wazanzibar waliobakia wote waliteuliwa LUMUMBA hawakuwahi pigiwa Kura.
Ile shule ya Tundu Lissu kule zanzibar hakuna hata mmoja anaweza kukosoa kama hataki kuumbuka. Iko deep sana. Nilikuwa sijui kama tanganyika tulipata uhuru mwaka 1958.