Ukimsajilia mtu line jela inakuita

Ukimsajilia mtu line jela inakuita

Namba ya NIDA ni SHIDA
IMG-20200118-WA0006.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sheria ni kwa Ajiri ya kukomoana watu weusi hakika Dr Smith yupo sahihi watu weusi Akili zetu azipo Sawa...
Mmmmmh, kwani lengo hasa la sarakasi zote hizi ni nini, kukomoana au?

Mimi nilidhani wangesema ukimsajilia mtu kisha akatenda kosa la jinai kwa kutumia hiyo simu ndio jela itakuita, ila kumsajilia tu? Kwani kuna nini nyuma ya pazia na huu usajili hivi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi wale waswahili wa kusema kizuri kula na nduguyo,mbona hawakutoa ufafanuzi kuhusu kibaya ule na Nani..?
Pole mfungwa wa watu😜😂
Mchuma janga hula na wakwao
 
Kwamadai Nilio sikia Lkn Sina Uhakika Nayo Nikwamba

Hawaruhusu kuwa na Line Zaidi Ya Moja

Katika Mtandao Mmoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Vodacom nina tatu, na zote walisajili.
Waliniuliza ni za nini. nikaelezea kuwa moja ni yangu, nyingine ya home na nyingine ina ishi ofisini wakanielewa...
 
Back
Top Bottom