Ukimsajilia mtu line jela inakuita

Ukimsajilia mtu line jela inakuita

Sijaelewa mfano Kuna watoto wadogo chini ya miaka 18 ambao wanasoma shule za mbali na hawawezi sajili vitambulisho vya NIDA sababu hawajafikia umri wa kusajili inakuwaje ?

Hawahitaji kusajiliwa Simu na wazazi wao?
Kwenye vikao vyenu vya chama huwa hamyazungumzii haya!?

Au wewe ni mpiga debe tu, huku wenzako wanatumbua keki?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jela zitajaa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwenye vikao vyenu vya chama huwa hamyazungumzii haya!?

Au wewe ni mpiga debe tu, huku wenzako wanatumbua keki?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kila mtu Ni.muwinda keki tu wewe

Billy gates aliwahi sema hata chizi aweza tengeneza pesa Lakini swala Ni hiyo pesa yaweza kuwa sustainable?au Ni short time Kama ya guest house? Yeye akasema yeye analala SAA nne tu kwa siku kila siku anachohangaika nacho Ni long sustainability ya biashara zake sio kapata dola ngapi mwaka huu na Ni bilionea namba ngapi mwaka huu.Keki huoza haraka je keki ingine itakuweko in the long run au is just a short run time cake?

Upinzani mfano walikuwa kipindi Cha kikwete wanatukana Serikali Sana kupata kura wale keki kweli wengi wakapata keki ya ubunge na udiwani na uenyekiti Serikali za mitaa Lakini je hiyo approach Ni sustainable?Nchi nzima Serikali ya mitaa upinzani umepigwa chini na bado uchaguzi mkuu Waja

Approach yeyote kipimo Ni sustainability iwe kea CCM au upinzani.

Hata mwehu mbona aweza pewa keki iwe CCM au upinzani issue is it sustainable?
 
Kwamadai Nilio sikia Lkn Sina Uhakika Nayo Nikwamba

Hawaruhusu kuwa na Line Zaidi Ya Moja

Katika Mtandao Mmoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kukomoana huku unaweza kuwa na Laini 2 na zaidi kwa matumizi tofauti, unaweza kuwa na laini kwa ajili ya familia na watu wako wa karibu na nyingine kwa ajili ya masuala ya kazi na watu wengine wa kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weee uende ukaibe huko afu udondoshe laini wajuba waje kunidaka mimi
Sijawahi kuwa mkosefu hata hapa jf sijawahi pigwa ban.. kweli upo serious nikose kuingia jf na unaweza nisaidia!! Nikajuae wewe si mkatili,huruma imetanda mpaka ktk unyoya wako! Nitakuwa mgeni wa nani usiponistiri wewe..? Usiwe mkaidi kama hasidi nihurumie
 
Sio kila mtu Ni.muwinda keki tu wewe
Inaonekana hauna sauti/ haujulikani kabisa chamani maana hauishi kulalamikia maamuzi ya serikali!

Kwa ninavyomjua boss wako (mwenyekiti), ungelikuwa kwenye "nafasi" na ukamshauri kuhusu hili, kesho tu unashangaa yuko page za mbele akitoa TAMKO LA HISANI la kuruhusu na kuamrisha watoto wapewe cards za NIDA!

Bahati mbaya hauna hiyo nafasi. Wewe ni mwananchi wa chini sana huko mavumbini.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi kuwa mkosefu hata hapa jf sijawahi pigwa ban.. kweli upo serious nikose kuingia jf na unaweza nisaidia!! Nikajuae wewe si mkatili,huruma imetanda mpaka ktk unyoya wako! Nitakuwa mgeni wa nani usiponistiri wewe..? Usiwe mkaidi kama hasidi nihurumie
Nani kakwambia mpaka uwe mkosefu ndio upigwe ban JF, nishawai pigwa Ban kwa tuma mada mojaaranyingi natuma kama ×6 inaferi baadae ikakubali zimeapia nyuzi zote sita nataka kuwaambia wafute tu BAN.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaonekana hauna sauti/ haujulikani kabisa chamani maana hauishi kulalamikia maamuzi ya serikali!

Kwa ninavyomjua boss wako (mwenyekiti), ungelikuwa kwenye "nafasi" na ukamshauri kuhusu hili, kesho tu unashangaa yuko page za mbele akitoa TAMKO LA HISANI la kuruhusu na kuamrisha watoto wapewe cards za NIDA!

Bahati mbaya hauna hiyo nafasi. Wewe ni mwananchi wa chini sana huko mavumbini.



Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaa haaa haaa mbavu zangu mimi 2020 hii hapa imeshafika
 
Back
Top Bottom